Uchambuzi: Yanga ilipanga kupoteza mechi ya derby

Uchambuzi: Yanga ilipanga kupoteza mechi ya derby

Salam wakuu

Katika ulimwengu wa uchumi Kuna kitu kinaitwa opportunity cost ambapo una sacrifice kimoja Ili kupata kingine

Turudi kwenye uchambuzi wetu

Katika kipindi hiki Yanga ilikuwa inapitia kipindi kugumu mno kutokana na mechi ilizonazo pale mjini CAF hivyo kwenye ulimwengu wetu ilipaswa Yanga achague kimoja kati ya kushinda derby au kwenda 1/2 fainali .....

Yanga wakachagua kwenda nusu fainali na sio kumpiga kolo .....then ndicho kilichotokea pale tarehe 16 ambapo hata ukicheki evidence zifuatazo

_Yanga hakutumia nguvu nyingi katika gemu tofauti na Simba

,_yanga hawakuwa na wining mentality
_ Simba alichagua kushinda derby Kwa kuwa anajua pale mjini CAF ....mwendo kaumaliza
Hii ni polimilai. Tulia kijana
 
Hawa tunaosikia wamekufa sababu ya ushabiki wa mpira inawezekana hawakuwahi fikiri watakufa sababu ya ushabiki. Ukiona jambo linakukaa akilini sana ujue linaweza kupa msongo wa mawazo na pressure na haya mambo huondoa watu duniani.
 
Ukisikia akili za gongowazi huu ndio mfano hai.Wanaweweseka kwa sababu hata margin ya ushindi ni kubwa ukitoa nusu fainali waliokandwa 4.Margin ya goli moja au mbili moja ndio huwa kawaida katika mechi za miaka ya karibuni.
Kukandwa viwili tena vya kufuatana imewafanya gongowazi wawehuke.Nabi kaongea mpaka kiswahili. Halafu anakuja mjinga mmoja anasema ohh hatukutaka kushinda!!!
Maneno ya Manara yanazidi kujidhihirisha kwamba walionazo ni wawili tu.
It is too low even for their standard.
 
Salam wakuu

Katika ulimwengu wa uchumi Kuna kitu kinaitwa opportunity cost ambapo una sacrifice kimoja Ili kupata kingine

Turudi kwenye uchambuzi wetu

Katika kipindi hiki Yanga ilikuwa inapitia kipindi kugumu mno kutokana na mechi ilizonazo pale mjini CAF hivyo kwenye ulimwengu wetu ilipaswa Yanga achague kimoja kati ya kushinda derby au kwenda 1/2 fainali .....

Yanga wakachagua kwenda nusu fainali na sio kumpiga kolo .....then ndicho kilichotokea pale tarehe 16 ambapo hata ukicheki evidence zifuatazo

_Yanga hakutumia nguvu nyingi katika gemu tofauti na Simba

,_yanga hawakuwa na wining mentality
_ Simba alichagua kushinda derby Kwa kuwa anajua pale mjini CAF ....mwendo kaumaliza
Wakati mwingine hua tunasingizia mtu karogwa kumba wala uchawi hau husiki ni ujinga wa mtu tuu
 
Hawa tunaosikia wamekufa sababu ya ushabiki wa mpira inawezekana hawakuwahi fikiri watakufa sababu ya ushabiki. Ukiona jambo linakukaa akilini sana ujue linaweza kupa msongo wa mawazo na pressure na haya mambo huondoa watu duniani.
Hao ni mashabiki maandazi mkuu....sisi ni wachambuzi by professional
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Ukisikia akili za gongowazi huu ndio mfano hai.Wanaweweseka kwa sababu hata margin ya ushindi ni kubwa ukitoa nusu fainali waliokandwa 4.Margin ya goli moja au mbili moja ndio huwa kawaida katika mechi za miaka ya karibuni.
Kukandwa viwili tena vya kufuatana imewafanya gongowazi wawehuke.Nabi kaongea mpaka kiswahili. Halafu anakuja mjinga mmoja anasema ohh hatukutaka kushinda!!!
Maneno ya Manara yanazidi kujidhihirisha kwamba walionazo ni wawili tu.
It is too low even for their standard.
Fuatilia mkuu
 
Salam wakuu

Katika ulimwengu wa uchumi Kuna kitu kinaitwa opportunity cost ambapo una sacrifice kimoja Ili kupata kingine

Turudi kwenye uchambuzi wetu

Katika kipindi hiki Yanga ilikuwa inapitia kipindi kugumu mno kutokana na mechi ilizonazo pale mjini CAF hivyo kwenye ulimwengu wetu ilipaswa Yanga achague kimoja kati ya kushinda derby au kwenda 1/2 fainali .....

Yanga wakachagua kwenda nusu fainali na sio kumpiga kolo .....then ndicho kilichotokea pale tarehe 16 ambapo hata ukicheki evidence zifuatazo

_Yanga hakutumia nguvu nyingi katika gemu tofauti na Simba

,_yanga hawakuwa na wining mentality
_ Simba alichagua kushinda derby Kwa kuwa anajua pale mjini CAF ....mwendo kaumaliza
Boko haram waapa kutoiangusha Rivers Utd..
 
Inaonekana kipigo kimekuuma sana hadi unatafuta maneno ya kujifariji, pia inaonekana umeanza kushabikia mpira juzijuzi. katika historia ya hizi timu hakuna anayekubali kupoteza mechi kirahisi.
 
Back
Top Bottom