Diazepam
JF-Expert Member
- Dec 3, 2020
- 1,263
- 3,523
Nyie mlipigwa bhana, mngekuwa hamuitaki hiyo game wale mastar wenu wasingeingia....halafu pia kale kazee kenu kaprofesa uchwara Kangekuwa hakaitaki mechi kasingeongea lugha 4 kwa mara moja pale maana kalidata kakajua ni mourinho kumbe muhuni robertinho.
Mlizidiwa mkapigwa magoli usijifariji utopolo.
Mlizidiwa mkapigwa magoli usijifariji utopolo.