Zanzibar finestWamepigwwaaaaaaa
sasa nimegundua wewe ndo mwanayanga mwenzetu ambaye ule mwiko upo nyuma yako.Kwa Sisi malegendary wa uchambuzi hapa jf Baada ya mchezo wa Jana tumejua tu kuwa Ile ilikuwa na planned Yanga kupoteza Ili kuficha mbinu Kwa mamelodi
Mamelodi walituma watu wao Ili kusoma mbinu za Yanga ..so Yanga hawakua mafala ....wakaamua kuficha mbinu zao zote na kumua kucheza soka butua butua nadhani mliona mpira wa Jana
Pia Yanga wamepoteza mechi Ili kumruhusu mpinzani wa Makolo ( Azam) awasogelee Ili waendelee kusumbuana wenyewe Kwa wenyewe ofcourse mbinu hii ni Kali ....nimeipenda[emoji23][emoji23]
View attachment 2938085
Tena huyo ni ule mwiko wa pilau wa jungu la kilo 20.... π π πsasa nimegundua wewe ndo mwanayanga mwenzetu ambaye ule mwiko upo nyuma yako.
Pumbafu kabisa wewe. Hujui mpira kacheze bao la kete tuKwa Sisi malegendary wa uchambuzi hapa jf Baada ya mchezo wa Jana tumejua tu kuwa Ile ilikuwa na planned Yanga kupoteza Ili kuficha mbinu Kwa mamelodi
Mamelodi walituma watu wao Ili kusoma mbinu za Yanga ..so Yanga hawakua mafala ....wakaamua kuficha mbinu zao zote na kumua kucheza soka butua butua nadhani mliona mpira wa Jana
Pia Yanga wamepoteza mechi Ili kumruhusu mpinzani wa Makolo ( Azam) awasogelee Ili waendelee kusumbuana wenyewe Kwa wenyewe ofcourse mbinu hii ni Kali ....nimeipenda[emoji23][emoji23]
View attachment 2938085
ameandika kitu cha kioumbavu sana. muda wote najiuliza hawa simba wanatuambia tuchomoe mwiko nyuma.....haya matusi wanayatoa wapi. kumbe kuna mijitu tupo nayo inatembea ina mwiko nyuma. na wewe unakazia kuwa ni ile miiko mikubwa ya kusongea ugali watu watano????????????????????????Ten huyo ni ule mwiko wa pilau wa jungu la kilo 20.... π π π
Bi mkubwa acha uchocheziWaliplan mpaka kijana wao Feitoto afunge goli.π€π€π€
Plan tu.Bi mkubwa acha uchochezi
Tutakupeleka kwa mkemia mkuu oohoooo!
πππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ten huyo ni ule mwiko wa pilau wa jungu la kilo 20.... [emoji23] [emoji23] [emoji23]