Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oya, Eid Mubarak.Waliplan mpaka kijana wao Feitoto afunge goli.🤔🤔🤔
Kabisa ukikandwa kandika....Ukikandwa kandika View attachment 2938133View attachment 2938134
😂Hapo ndio ujiulize sasa
Form IV aliefeli.Ali kamwe ni professional kwenye usemaji
Najua waliofeli ndio wenye akili na waliofaulu ndio wajinga. Hata nyuzi zako huwa unaandika hivyo hivyo kinyume nyume. Ndio uelewa wako unapoishia.Kufeli Kuna factors nyingi behind...sio Kwamba huna akili
Kwa hiyo mbinu za Yanga zipo kwenye mechi ya Zamu tu?Kwa Sisi malegendary wa uchambuzi hapa jf Baada ya mchezo wa Jana tumejua tu kuwa Ile ilikuwa na planned Yanga kupoteza Ili kuficha mbinu Kwa mamelodi
Mamelodi walituma watu wao Ili kusoma mbinu za Yanga ..so Yanga hawakua mafala ....wakaamua kuficha mbinu zao zote na kumua kucheza soka butua butua nadhani mliona mpira wa Jana
Pia Yanga wamepoteza mechi Ili kumruhusu mpinzani wa Makolo ( Azam) awasogelee Ili waendelee kusumbuana wenyewe Kwa wenyewe ofcourse mbinu hii ni Kali ....nimeipenda[emoji23][emoji23]
View attachment 2938085
Tena huyo ni ule mwiko wa pilau wa jungu la kilo 20....
Ndo ajabu. Mie nilidhani mechi inachezwa Oman maana kanzu zilikuwa nyingi VIP.Waliplan mpaka kijana wao Feitoto afunge goli.[emoji848][emoji848][emoji848]