Uchambuzi: Yanga wamefungwa kimakusudi Ili kuwazubaisha mamelodi na simba

Kumbe kufungwa inauma hivi..hii mada ya ngapi hadi kesho utakua umefungua mada zaidi ya 20 za kujifariji na kuitukana simba. Sababu ni moja tu wew ni.jobless.
Naweza finance ...ukoo wako wote mkuu....
 
Kwa hiyo mbinu za Yanga zipo kwenye mechi ya Zamu tu?
 
Najua waliofeli ndio wenye akili na waliofaulu ndio wajinga. Hata nyuzi zako huwa unaandika hivyo hivyo kinyume nyume. Ndio uelewa wako unapoishia.
Unaweza faulu...pia hata Kwa Chabo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…