Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,437
- 13,836
- Thread starter
-
- #21
Yule aliyezikwa chato ni CCM, huyu mliemwalika kwenye shughuli yenu ni CCM.sukuma gang mpaka depression iwauwe mkazikwe chato kwa yule mbwa wenu ndo wengine wanaweza pata akili huko lumumba
Nasema hivi mamayenu amewapiga chenga hata hamjulikan uwt mmeadhimisha wapi jiongezr wewe shauri yako.Mgeni rasmi mkutano wa chadema ni mwenyekiti wa CCM tumia akili kidogo
Vita dhidi ya rushwa? Vipi mapesa ya plea bargaining akaunti zake China?Ndugu wadanganyika wenzangu,
Ilani ya uchaguzi ya CHADEMA ya mwaka 2015 pamoja na mambo mengine, ilikuwa na mambo yafuatayo;
1. Kujenga reli mpya na kukarabati zilizopo kwa viwango vya kisasa kwa kuzingatia maslahi ya nchi.
2. Kuboresha bandari zilizopo na kujenga mpya kama vitega uchumi vya taifa ili kurejesha biashara tulizopoteza kwa nchi jirani.
3. Kujenga barabara nchini kwa kuzingatia ubora
4. Kujenga shirika la ndege la taifa
5. Kujenga miundombinu ya kisasa kwa lengo la kuondoa misongamano ya magari katika majiji, kuimarisha usafiri wa majini kwa kuboresha na kuweka miundombinu mipya.
Baada tu ya kuapishwa kuwa rais wa JMT, hayati Magufuli alianza kuyatekeleza mengi mazuri ya yaliyomo kwenye ilani ya CHADEMA, mpaka CHADEMA wenyewe wakakiri kuwa "anatekeleza ilani yetu".
Lakini JPM hakuishia hapo, alikwenda mbali zaidi na kutekeleza hata mengine mazuri ambayo hayakuwepo kwenye ilani za vyama vya siasa, kwa mfano;
1. Afya (ujenzi wa hospitali, vituo vya afya na zahanati nchi nzima),
2. Elimu (bure kwa wototo wote),
3. Madini (kudhibiti utoroshwaji wa madini na wizi uliokuwa unafanywa na makampuni ya mabeberu kwa miaka nenda rudi, ikiwa ni pamoja na kupitia upya mikataba ya madini nchini),
4. Ukusanyaji wa mapato (kuanzishwa kwa mfumo wa malipo kwa control namba na kuwaondoa wahuni waliokuwa wamejichomeka katikati kama mawakala wa kukusanya fedha za serikali),
5. vita dhidi ya rushwa (hata wale ambao walizoea kuiweka serikali mfukoni walifikiwa na kunyooshwa)
6. Nishati (ujenzi wa bwawa la kuzalisha umeme la mwalimu Nyerere na kuacha kununua umeme wa bei ghali kutoka kwa makampuni ya kihuni na kifisadi)
Kwa upande wa CHADEMA hoja zao zote zikayeyuka kama barafu juani, mbaya zaidi mwaka 2015 uongozi wa chama ulimpokea Edward Ngoyai kuwa mgombea wao wa urais, mtu ambaye walitumia zaidi ya miaka mitatu wakiwaaminisha watanzania kuwa ni fisadi papa na hasafishiki. Kwahiyo hoja ya kupinga ufisadi na wizi serikalinin nayo ikawa imeishia hapo, hoja yao kuu ikabaki "kuwaondoa CCM madaraka" ambayo kimsingi siyo hoja bali ni matamanio tu ya chama chochote cha upinzani.
Fast forward, ni 2023. Hayati Magufuli na utendaji kazi wake uliotukuka ametangulia mbele za haki, CHADEMA wameingia kwenye ndoa isiyo rasmi na CCM kwa hoja ya maridhiano! Kwasasa hawana tena ujasiri wala uhalali wa kumkosoa rais. Hoja zao ni kumkejeli hayati JPM, kukejeli ajira ya bodaboda, mara ooh "watoto wetu wana uraia wa Marekani", mara ooh "tunataka mtoto wa Majaliwa asome shule ya kata" na ujinga ujinga mwingine.
Kwakifupi CHADEMA wanaonesha dalili za chama kilichofilisika kisiasa, wamebaki kuwa wachumia tumbo kama vyama vingine vya upinzani.
Inasikitisha na kuumiza kuona mahali walipo leo hii, ukizingatia katika kuunga mkono harakati zao kuna watanzania walipoteza maisha, mali zao na hata kupata ulemavu wa kudumu. Kuna watu waliwekeza nguvu, akili, muda na mali zao kwenye harakati za hicho chama wakiamini wanajenga chama madhubuti mbadala wa CCM, lakini matokeo yake ndio kama haya, uhuni na usanii mwingi.
Rai yangu. Kama mheshimiwa Mbowe umekuwa compromised, kama ile kesi ya ugaidi ilikuwa ya kweli na umeachiwa kwa masharti maalumu, basi jiuzulu uenyekiti wa chama na ukae pembeni. It's a sin to take down the party with you.
Pole ndugu yangu J.J Mnyika, nadhani tangu 2015 hauna amani moyoni na sarakasi za chama chako, hata hilo la wabunge 19 walikuacha gizani, wakati unafanya press unatoa msimamo wa chama wao wanakuangalia tu lakini ukweli wanaujua moyoni.
Tukutane 2025, CDM mtavuna mlichokipanda, hata mikipewa viti kadhaa vya ubunge haitowasaidia chochote, wenzenu wanajipanga 2030, 2040 na kuendelea, watatawala milele.
Sio mara ya kwanza ufipa kuimba mama anaupiga mwingi mpaka alipo msweka lupango DJ.Nasema hivi mamayenu amewapiga chenga hata hamjulikan uwt mmeadhimisha wapi jiongezr wewe shauri yako.
Kuna uthibitisho wowote wa hilo? Kabla ya JPM kuna wahuni walikuwa katikati ya kila transaction ya pesa za serikali, walikuwa madalali wa kukusanya mapato 'kwa niaba ya serikali'. Hao wote aliwaondoa.Vita dhidi ya rushwa? Vipi mapesa ya plea bargaining akaunti zake China?
Huyo shujaa au muuaji? Sukumagang mna shida sana
sukuma gang umebaki mujifarij kwa kauli zilizochoka maana mlizoea kuuwa watu na bado karma itawamaliza kama yule mbwa wenu anayeoza chato huku akinuka damu za watu na mdipotubu 2025 mtakuwa mmekufa wote kwa sonona kama hujui muulize sabaya.Yule aliyezikwa chato ni CCM, huyu mlimwalika kwenye shughuli yenu ni CCM.
CDM imegeuka kuwa kama mtoto anayetafuta approval ya mzazi (CCM).
Na CCM watawaweka kwenye nafasi yenu mnayostahili.
Na ninyi mtachukua nafasi ya sukuma gang ndani ya CCM sio? Maana tayari mnayo makubaliano na CCM.sukuma gang umebaki mujifarij kwa kauli zilizochoka maana mlizoea kuuwa watu na bado karma itawamaliza kama yule mbwa wenu anayeoza chato huku akinuka damu za watu na mdipotubu 2025 mtakuwa mmekufa wote kwa sonona kama hujui muulize sabaya.
sukuma gang mmebaki kulalama kama mtoto aliyenyimwaa uji na bado mpaka mfe kabisa kwa stroke mkazikwe chato na lile jibwa lenu.Sukuma Gang tupo imara na mama anafanya kazi zetu vizuri,ilo nna uhakika mmelishuhudia kama sio kusikia leo chama kikuu cha upinzani kuimbishwa pambio ya ccm oyeee na wao wakaitikia ccm oyeeee ni hatua nzuri kwa kweli kwa upande wetu.
Halima mdee n wenzake bado ni wabunge wetu na mbowe ataendelea kupata hela/posho yake kupitia wale wamama 19 Bungeni.
sukuma gang mko hoi mlizoea kuuwa watu sasa ni zamu yenu kufa tena kifo chenu cha depression.Na ninyi mtachukua nafasi ya sukuma gang ndani ya CCM sio? Maana tayari mnayo makubaliano na CCM.
Nilijua kuwa umwsharudi, kumbe bado upo Chato?Ndugu wadanganyika wenzangu,
Ilani ya uchaguzi ya CHADEMA ya mwaka 2015 pamoja na mambo mengine, ilikuwa na mambo yafuatayo;
1. Kujenga reli mpya na kukarabati zilizopo kwa viwango vya kisasa kwa kuzingatia maslahi ya nchi.
2. Kuboresha bandari zilizopo na kujenga mpya kama vitega uchumi vya taifa ili kurejesha biashara tulizopoteza kwa nchi jirani.
3. Kujenga barabara nchini kwa kuzingatia ubora
4. Kujenga shirika la ndege la taifa
5. Kujenga miundombinu ya kisasa kwa lengo la kuondoa misongamano ya magari katika majiji, kuimarisha usafiri wa majini kwa kuboresha na kuweka miundombinu mipya.
Baada tu ya kuapishwa kuwa rais wa JMT, hayati Magufuli alianza kuyatekeleza mengi mazuri ya yaliyomo kwenye ilani ya CHADEMA, mpaka CHADEMA wenyewe wakakiri kuwa "anatekeleza ilani yetu".
Lakini JPM hakuishia hapo, alikwenda mbali zaidi na kutekeleza hata mengine mazuri ambayo hayakuwepo kwenye ilani za vyama vya siasa, kwa mfano;
1. Afya (ujenzi wa hospitali, vituo vya afya na zahanati nchi nzima),
2. Elimu (bure kwa wototo wote),
3. Madini (kudhibiti utoroshwaji wa madini na wizi uliokuwa unafanywa na makampuni ya mabeberu kwa miaka nenda rudi, ikiwa ni pamoja na kupitia upya mikataba ya madini nchini),
4. Ukusanyaji wa mapato (kuanzishwa kwa mfumo wa malipo kwa control namba na kuwaondoa wahuni waliokuwa wamejichomeka katikati kama mawakala wa kukusanya fedha za serikali),
5. vita dhidi ya rushwa (hata wale ambao walizoea kuiweka serikali mfukoni walifikiwa na kunyooshwa)
6. Nishati (ujenzi wa bwawa la kuzalisha umeme la mwalimu Nyerere na kuacha kununua umeme wa bei ghali kutoka kwa makampuni ya kihuni na kifisadi)
Kwa upande wa CHADEMA hoja zao zote zikayeyuka kama barafu juani, mbaya zaidi mwaka 2015 uongozi wa chama ulimpokea Edward Ngoyai kuwa mgombea wao wa urais, mtu ambaye walitumia zaidi ya miaka mitatu wakiwaaminisha watanzania kuwa ni fisadi papa na hasafishiki. Kwahiyo hoja ya kupinga ufisadi na wizi serikalinin nayo ikawa imeishia hapo, hoja yao kuu ikabaki "kuwaondoa CCM madaraka" ambayo kimsingi siyo hoja bali ni matamanio tu ya chama chochote cha upinzani.
Fast forward, ni 2023. Hayati Magufuli na utendaji kazi wake uliotukuka ametangulia mbele za haki, CHADEMA wameingia kwenye ndoa isiyo rasmi na CCM kwa hoja ya maridhiano! Kwasasa hawana tena ujasiri wala uhalali wa kumkosoa rais. Hoja zao ni kumkejeli hayati JPM, kukejeli ajira ya bodaboda, mara ooh "watoto wetu wana uraia wa Marekani", mara ooh "tunataka mtoto wa Majaliwa asome shule ya kata" na ujinga ujinga mwingine.
Kwakifupi CHADEMA wanaonesha dalili za chama kilichofilisika kisiasa, wamebaki kuwa wachumia tumbo kama vyama vingine vya upinzani.
Inasikitisha na kuumiza kuona mahali walipo leo hii, ukizingatia katika kuunga mkono harakati zao kuna watanzania walipoteza maisha, mali zao na hata kupata ulemavu wa kudumu. Kuna watu waliwekeza nguvu, akili, muda na mali zao kwenye harakati za hicho chama wakiamini wanajenga chama madhubuti mbadala wa CCM, lakini matokeo yake ndio kama haya, uhuni na usanii mwingi.
Rai yangu. Kama mheshimiwa Mbowe umekuwa compromised, kama ile kesi ya ugaidi ilikuwa ya kweli na umeachiwa kwa masharti maalumu, basi jiuzulu uenyekiti wa chama na ukae pembeni. It's a sin to take down the party with you.
Pole ndugu yangu J.J Mnyika, nadhani tangu 2015 hauna amani moyoni na sarakasi za chama chako, hata hilo la wabunge 19 walikuacha gizani, wakati unafanya press unatoa msimamo wa chama wao wanakuangalia tu lakini ukweli wanaujua moyoni.
Tukutane 2025, CDM mtavuna mlichokipanda, hata mikipewa viti kadhaa vya ubunge haitowasaidia chochote, wenzenu wanajipanga 2030, 2040 na kuendelea, watatawala milele.
Inawezekana ni zaidi ya jiwe, sipendi upuuzi.Kuna watu nahisi sio watanzania wana roho za kihayawani, ukiangalia huwa Mzalendo Uchwara ni sampuli ya jiwe tu
Leta hoja acha upumbafuSukuma Gang kubalini matokeo,mumeshapoteza hii game.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
ndio maana nitamshughulikia hapahapa mpaka aombe pooo kwa upumbavu wake.Kuna watu nahisi sio watanzania wana roho za kihayawani, ukiangalia huwa Mzalendo Uchwara ni sampuli ya jiwe tu
hakuna comment yake itapita unreplied kwangu.Kuna watu nahisi sio watanzania wana roho za kihayawani, ukiangalia huwa Mzalendo Uchwara ni sampuli ya jiwe tu
🤣🤣🤣🤣ndio maana nitamshughulikia hapahapa mpaka aombe pooo kwa upumbavu wake.
Yuko wapi sasa hiviInawezekana ni zaidi ya jiwe, sipendi upuuzi.
Sukuma gang tumewakomesha mama yenu leo kapewa kadi ya chadema huko moshi halafu wewe mbulukenge wa kulinda legacy bado unajidanganya mnachama akili matope.🤣🤣🤣🤣
Mnamalizwa kisayansi na CCM, wakati huohuo nguvu zenu zipo kwenye kupambana na marehemu.
Kifo ni njia ya wote, kama alivyofariki Mwalimu Nyerere na Ben Mkapa, sisi sote njia yetu ni moja.Yuko wapi sasa hivi
umeongea ukweli mtupu Chadema wajitafakari upya, Hoja za kumpiga vijembe Magufuli hazitawasidia kama aliwanyanyasa au aliwakatili his time passed.Ndugu wadanganyika wenzangu,
Ilani ya uchaguzi ya CHADEMA ya mwaka 2015 pamoja na mambo mengine, ilikuwa na mambo yafuatayo;
1. Kujenga reli mpya na kukarabati zilizopo kwa viwango vya kisasa kwa kuzingatia maslahi ya nchi.
2. Kuboresha bandari zilizopo na kujenga mpya kama vitega uchumi vya taifa ili kurejesha biashara tulizopoteza kwa nchi jirani.
3. Kujenga barabara nchini kwa kuzingatia ubora
4. Kujenga shirika la ndege la taifa
5. Kujenga miundombinu ya kisasa kwa lengo la kuondoa misongamano ya magari katika majiji, kuimarisha usafiri wa majini kwa kuboresha na kuweka miundombinu mipya.
Baada tu ya kuapishwa kuwa rais wa JMT, hayati Magufuli alianza kuyatekeleza mengi mazuri ya yaliyomo kwenye ilani ya CHADEMA, mpaka CHADEMA wenyewe wakakiri kuwa "anatekeleza ilani yetu".
Lakini JPM hakuishia hapo, alikwenda mbali zaidi na kutekeleza hata mengine mazuri ambayo hayakuwepo kwenye ilani za vyama vya siasa, kwa mfano;
1. Afya (ujenzi wa hospitali, vituo vya afya na zahanati nchi nzima),
2. Elimu (bure kwa wototo wote),
3. Madini (kudhibiti utoroshwaji wa madini na wizi uliokuwa unafanywa na makampuni ya mabeberu kwa miaka nenda rudi, ikiwa ni pamoja na kupitia upya mikataba ya madini nchini),
4. Ukusanyaji wa mapato (kuanzishwa kwa mfumo wa malipo kwa control namba na kuwaondoa wahuni waliokuwa wamejichomeka katikati kama mawakala wa kukusanya fedha za serikali),
5. vita dhidi ya rushwa (hata wale ambao walizoea kuiweka serikali mfukoni walifikiwa na kunyooshwa)
6. Nishati (ujenzi wa bwawa la kuzalisha umeme la mwalimu Nyerere na kuacha kununua umeme wa bei ghali kutoka kwa makampuni ya kihuni na kifisadi)
Kwa upande wa CHADEMA hoja zao zote zikayeyuka kama barafu juani, mbaya zaidi mwaka 2015 uongozi wa chama ulimpokea Edward Ngoyai kuwa mgombea wao wa urais, mtu ambaye walitumia zaidi ya miaka mitatu wakiwaaminisha watanzania kuwa ni fisadi papa na hasafishiki. Kwahiyo hoja ya kupinga ufisadi na wizi serikalinin nayo ikawa imeishia hapo, hoja yao kuu ikabaki "kuwaondoa CCM madaraka" ambayo kimsingi siyo hoja bali ni matamanio tu ya chama chochote cha upinzani.
Fast forward, ni 2023. Hayati Magufuli na utendaji kazi wake uliotukuka ametangulia mbele za haki, CHADEMA wameingia kwenye ndoa isiyo rasmi na CCM kwa hoja ya maridhiano! Kwasasa hawana tena ujasiri wala uhalali wa kumkosoa rais. Hoja zao ni kumkejeli hayati JPM, kukejeli ajira ya bodaboda, mara ooh "watoto wetu wana uraia wa Marekani", mara ooh "tunataka mtoto wa Majaliwa asome shule ya kata" na ujinga ujinga mwingine.
Kwakifupi CHADEMA wanaonesha dalili za chama kilichofilisika kisiasa, wamebaki kuwa wachumia tumbo kama vyama vingine vya upinzani.
Inasikitisha na kuumiza kuona mahali walipo leo hii, ukizingatia katika kuunga mkono harakati zao kuna watanzania walipoteza maisha, mali zao na hata kupata ulemavu wa kudumu. Kuna watu waliwekeza nguvu, akili, muda na mali zao kwenye harakati za hicho chama wakiamini wanajenga chama madhubuti mbadala wa CCM, lakini matokeo yake ndio kama haya, uhuni na usanii mwingi.
Rai yangu. Kama mheshimiwa Mbowe umekuwa compromised, kama ile kesi ya ugaidi ilikuwa ya kweli na umeachiwa kwa masharti maalumu, basi jiuzulu uenyekiti wa chama na ukae pembeni. It's a sin to take down the party with you.
Pole ndugu yangu J.J Mnyika, nadhani tangu 2015 hauna amani moyoni na sarakasi za chama chako, hata hilo la wabunge 19 walikuacha gizani, wakati unafanya press unatoa msimamo wa chama wao wanakuangalia tu lakini ukweli wanaujua moyoni.
Tukutane 2025, CDM mtavuna mlichokipanda, hata mikipewa viti kadhaa vya ubunge haitowasaidia chochote, wenzenu wanajipanga 2030, 2040 na kuendelea, watatawala milele.