Uchawa ukizidi sana ndio madhara yake haya

Uchawa ukizidi sana ndio madhara yake haya

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
20240110_171813.jpg

Rais wetu mpendwa anatoa wapi hela za kusomesha watu wa nchi hii?

Naamini Rais anachukizwa na hizi sifa mnazombebesha kila uchwao.

UCHAWA UKIZIDI SANA NI AIBU!
 
Rais hachukizwi ndo maana hajawahi kukemea popote. Acha kumsemea.
 
Chawa vs Asiyechawa.
Mpaka sasa mtanange ni mkali sana huku chawa akionekana kupeleka mashambulizi makali kwenye lango la asiyechawa.
Asiyechawa anaonekana ana uwezo wa kulihimili pambano hili ila bado anasikilizia .


Acha tuone mtanange utaishaje.

Kwako maalim kashasha
 
Mm pia sipendi ila sijui kama raisi ataweza kataa kitu kama hiko, kwake n ukumbusho kwamba anafanya kitu flani. Na watu wanajua anafanya, hivo hatakiwi kurevoke,
Sasa uchawa na tangazo hilo unatokana na nn? Mtoa thread
 
Back
Top Bottom