Uchawa ukizidi sana ndio madhara yake haya

View attachment 2867551

Rais wetu mpendwa anatoa wapi hela za kusomesha watu wa nchi hii?

Naamini Rais anachukizwa na hizi sifa mnazombebesha kila uchwao.

UCHAWA UKIZIDI SANA NI AIBU!
Kwani ni uongo? Samia si keshalipia? Ndio maana ya Elimu Bure.

Hapo unaumia Kwa chuki tuu hakuna kingine πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Rais hachukizwi ndo maana hajawahi kukemea popote. Acha kumsemea.
 
Chawa vs Asiyechawa.
Mpaka sasa mtanange ni mkali sana huku chawa akionekana kupeleka mashambulizi makali kwenye lango la asiyechawa.
Asiyechawa anaonekana ana uwezo wa kulihimili pambano hili ila bado anasikilizia .


Acha tuone mtanange utaishaje.

Kwako maalim kashasha
 
Mm pia sipendi ila sijui kama raisi ataweza kataa kitu kama hiko, kwake n ukumbusho kwamba anafanya kitu flani. Na watu wanajua anafanya, hivo hatakiwi kurevoke,
Sasa uchawa na tangazo hilo unatokana na nn? Mtoa thread
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…