Uchawi au Majini hayapo! Nani ameshawahi kukutana na jini

Jibu swali hilo,umeleta habari ya kupasuka kwa mwezi,nimekuuliza hili tukio unelisoma wapi au unesikia ?

Maana yake mtu ambaye amesoma tukio hili hawezi kuandika haya uliyo andika wewe. Sasa jibu swali langu.
Kwa maana hiyo tukio hilo limepindishwa kua sio kweli muhammad hakuwahi kupasua mwezi au limepindishwa kwa namna gani?
 
Kwanini hujibu maswali ninayo kuuliza ?
 
Hili nimeshakujibu zaidi ya mara kumi humu. Usiulize swali ambalo unajua jibu langu.
Naelewa ushawahi kulijibu ila nauliza tena jwa purpose kwasababu kuna swali umesema hujaelewa na nataka nianzie hapa kukuelewesha

Mungu yupo au hayupo?
 
Kwa maana hiyo tukio hilo limepindishwa kua sio kweli muhammad hakuwahi kupasua mwezi au limepindishwa kwa namna gani?
Unajua naandika Kiswahili chepesi sana,hakuna sehemu niliyo kataa kuhusu tukio hilo,ndiyo maana nikasema hivi kwa yule ambaye amesoma tukio hilo,hawezi kuandika haya unayo yaandika. Ndiyo maana nikakuuliza umelisoma hili tukio au umesikia tu kwa watu ?

Sasa kupoteza kwako muda kunaonyesha hujasoma tukio zaidi ya kusikia,sababu nina uhakika wa wazi kabisa ungekuwa umesoma tukio hilo usinge andika haya.

Sasa sipotezi muda na mtu ambaye si msomaji wala simfatiliaji,nenda kasome hilo tukio kisha uje tulijadili hapa.
 
Kwanini hujibu maswali ninayo kuuliza ?
Swali lako halina lengo, halioneshi sababu ya msingi kwanini lijibiwe

Ili swali lako liwe na mantiki inatakiwa lipinge hoja yangu kua sio kweli muhammad alipasua mwezi, ila kama tukio hilo kwako ni kweli basi utaona kuendelea kutafuta wapi nilipopata hizo habari ni ujinga na kupoteza muda
 
Nimekwambia hivi walio soma tukio hawahoji kwa mtindo huo,kwanza ulikosea kuuliza kwa kusema mtume alipasua mwezi,ndiyo maana nikakuuliza umesoma tukio hilo ?

Sasa naonyesha hujasoma tukio. Swali langu la msingi sana,na halikwepeki.

Waarabu wana msemo wao unao sema hivi "Ukijua sababu ajabu huondoka".
 
kama tukio hilo unakubali kua nipo sahihi kusema wewe unakubali hiyo habari, then hoja yako ya mahala nilipoisoma haitakua na mashiko kwasababu haitapinga hoja yangu ambayo tayari umekiri kua tukio hilo lipo

Kwa mantiki hiyo sasa hata wewe ni mgonjwa wa akili kwa wale wote walio nje na imani yako
 
Waliosoma kama hawakatai kua muhammad hakupasua mwezi/kugawanyisha hoja yako ni useless

Ili hoja yako iwe valid inatakiwa madai yangu yawe yakutunga, yani muhammad aonekane kua nimemzushia kuhusu habari za yeye ku split moon into two pieces
 
Hivi unasoma ninacho kiandika ?
 
Waliosoma kama hawakatai kua muhammad hakupasua mwezi/kugawanyisha hoja yako ni useless

Ili hoja yako iwe valid inatakiwa madai yangu yawe yakutunga, yani muhammad aonekane kua nimemzushia kuhusu habari za yeye ku split moon into two pieces
Jibu swali nilo kuuliza.
 
Una uhakika? Na je, kama ninapita njia nyepesi unataka kusema sina tija? Au, nina vita kubwa lakini sijatambua kama ninawindwa? Au, inawezekana nikawa na kipawa ila nikalindwa na Mungu, na hivyo nisione mauza uza? Naomba jibu tafadhali, nawasilisha kwako mkuu!
 
Kama ulivyosema usichokielewa ndio uchawi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…