Huwa sibahatishi.kisia sasa tuone kama kweli hubahatishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa sibahatishi.kisia sasa tuone kama kweli hubahatishi
Jibu swali nililo kuuliza.does it matter ?
Kwikwikwiiiiiiiiyo!.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2]Baadhi wanasema kuna majini wazuri na majini wabaya, wazuri hua wanasali na kumuomba mungu na wabaya hadi ma atheist wapo
Wapo wanaodai kua kuna elimu juu ya utengenezaji wa hivyo viumbe.
Kuna siku nilisikia redioni mkufunzi akitoa somo namna ya kuita jini kwa kutamka maneno fulani hivi ya kiarabu.
Yale maneno niliyanukuu vyema nikawa naya practice maana mdau alisema unatakiwa uende njia panda usiku wa maneno kisha utamke hayo maneno
Nikiwa na tumaini kua leo ndio siku ambayo najithibitishia kua majini yapo, nikafika njia panda nikaanza kuyatamka hayo maneno kwa kuyarudia rudia zaidi ya mara 100 lakini hakukua na respond yeyote kutoka third party system
Wakati nikiendelea kutamka yale maneno nilishtukizwa na roba flani matata upande wa nyuma, mwanzo nilidhani ni ujio wa jini kumbe ni kibaka wa mtaa na alikua anapiga patrol
Aisee nilimlaumu sana yule jamaa wa redioni
Utajuaje ni uchawi wakati hujakielewa?Kama ulivyosema usichokielewa ndio uchawi
Ndio unajulishwaUtajuaje ni uchawi wakati hujakielewa?
Utajuaje ni uchawi wakati hujakielewa?Ndio unajulishwa
I need oneI have meets with this guys,they are so cool and humble "THIS IS CREATURES OF SPECIAL PRINCIPLES...DO YOU WISH TO SEE? ARE YOU CLEAN ENOUGH?,DO YOU WANT TO POSSESS ONE?I CAN GIVE YOU A LITTLE ONE.
N.b:-I'm in study and research of this dudes...!
I shall give you instructions soonI need one
Toka ulimwengu uumbwe kumewahi digital information kutokea kwa evolution? Kama haijawahiSwali lenyewe linasemaje?
Dawkins Akibanwa yes anakubali Kuna Mungu, then baadae akiwa na Atheist wenzake anakataa tena. Ukweli upo machoni mwake lakini Kuna vitu vinamforce asitangaze hadharani.Halafu ukimsoma vizuri Dawkins anakubali juu ya uwepo Muumba na kwmaba hii Dunia haiwezi kuwa hivi hivi tu,ila ana kataa kwa sababu ya maslahi yake,sababu ukikubali ya kuwa yupo Muumba,lazima kwamba huyo muumba kuna sheria ameziweka anataka zifatwe.
Sasa hitimisho tunaona ya kuwa hawa ni wasanii tu kama wasanii wengine.
Iko hivyo. Atakuwa amewaona wajinga kumzidi yeye.Dawkins Akibanwa yes anakubali Kuna Mungu, then baadae akiwa na Atheist wenzake anakataa tena. Ukweli upo machoni mwake lakini Kuna vitu vinamforce asitangaze hadharani.
Unaposema ulimwengu uumbwe unakusudia kumaanisha kitu gani?Toka ulimwengu uumbwe kumewahi
Swali lako lina maanisha Digital information kwa ku refer na vitu kama database, website, nk kua vishawahi kutokea kwa evolution?kumewahi digital information kutokea kwa evolution?
Mpaka saizi hakuna anayejua kwa hakika, ni jambo ambalo bado lipo katika uchunguzi lakini sio kigezo cha kutumia kama udhaifu kumshawishi mtu akubaliane na dhana nyingine usiyoweza kuithibitisha.Nani ama nini ama kipi kimesababisha DNA zetu kuwa na Digital information?
Mkuu sema proofHakuna prove hapa
Then mwili wa Binadamu una digital information, DNA zetu zina code ambazo zimeandikwa even scientist wa kubwa kwa pamoja wanakubaliana hili. Je nani/nini/kipi kimeeka Binary like code kwenye DNA zetu?Swali lako lina maanisha Digital information kwa ku refer na vitu kama database, website, nk kua vishawahi kutokea kwa evolution?
Kama swali lako ni hilo basi jibu ni hapana, kwasababu hivyo vyote vina source havijaja hapo vyenyewe
Jibu ni hakuna anayejua kwa hakika, na hata tuki propose kitu fulani ndio kiwe jibu unafikiri hapo ndio utakua ukomo wa swali?Then mwili wa Binadamu una digital information, DNA zetu zina code ambazo zimeandikwa even scientist wa kubwa kwa pamoja wanakubaliana hili. Je nani/nini/kipi kimeeka Binary like code kwenye DNA zetu?
Ndio maana theory inaitwa Intelligent design, kwamba tumeumbwa na hatujatokana na evolution, somewhere Kuna intelligence kubwa kushinda sisi yenye technology kubwa kushinda sisi ilioumba Dunia na sisi.Mpaka saizi hakuna anayejua kwa hakika, ni jambo ambalo bado lipo katika uchunguzi lakini sio kigezo cha kutumia kama udhaifu kumshawishi mtu akubaliane na dhana nyingine usiyoweza kuithibitisha.