Uchawi au Majini hayapo! Nani ameshawahi kukutana na jini

Uchawi au Majini hayapo! Nani ameshawahi kukutana na jini

Baadhi wanasema kuna majini wazuri na majini wabaya, wazuri hua wanasali na kumuomba mungu na wabaya hadi ma atheist wapo

Wapo wanaodai kua kuna elimu juu ya utengenezaji wa hivyo viumbe.

Kuna siku nilisikia redioni mkufunzi akitoa somo namna ya kuita jini kwa kutamka maneno fulani hivi ya kiarabu.

Yale maneno niliyanukuu vyema nikawa naya practice maana mdau alisema unatakiwa uende njia panda usiku wa maneno kisha utamke hayo maneno

Nikiwa na tumaini kua leo ndio siku ambayo najithibitishia kua majini yapo, nikafika njia panda nikaanza kuyatamka hayo maneno kwa kuyarudia rudia zaidi ya mara 100 lakini hakukua na respond yeyote kutoka third party system

Wakati nikiendelea kutamka yale maneno nilishtukizwa na roba flani matata upande wa nyuma, mwanzo nilidhani ni ujio wa jini kumbe ni kibaka wa mtaa na alikua anapiga patrol

Aisee nilimlaumu sana yule jamaa wa redioni
Kwikwikwiiiiiiiiyo!.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2]
 
Swali lenyewe linasemaje?
Toka ulimwengu uumbwe kumewahi digital information kutokea kwa evolution? Kama haijawahi

Nani ama nini ama kipi kimesababisha DNA zetu kuwa na Digital information?

Kama imewahi ni mfano gani wa hio digital information?
 
Halafu ukimsoma vizuri Dawkins anakubali juu ya uwepo Muumba na kwmaba hii Dunia haiwezi kuwa hivi hivi tu,ila ana kataa kwa sababu ya maslahi yake,sababu ukikubali ya kuwa yupo Muumba,lazima kwamba huyo muumba kuna sheria ameziweka anataka zifatwe.

Sasa hitimisho tunaona ya kuwa hawa ni wasanii tu kama wasanii wengine.
Dawkins Akibanwa yes anakubali Kuna Mungu, then baadae akiwa na Atheist wenzake anakataa tena. Ukweli upo machoni mwake lakini Kuna vitu vinamforce asitangaze hadharani.
 
Toka ulimwengu uumbwe kumewahi
Unaposema ulimwengu uumbwe unakusudia kumaanisha kitu gani?

Kwanza dhana ya ulimwengu kuumbwa ni msingi potofu kuanza kuutumia kwenye swali linalo lenga kuleta majibu ya majibu tofauti. Endapo ikiwa tumekubaliana kua kuna muumbaji in the first place basi kwa muktadha huo hoja yako itakua ni sahihi.
 
kumewahi digital information kutokea kwa evolution?
Swali lako lina maanisha Digital information kwa ku refer na vitu kama database, website, nk kua vishawahi kutokea kwa evolution?

Kama swali lako ni hilo basi jibu ni hapana, kwasababu hivyo vyote vina source havijaja hapo vyenyewe
 
Nani ama nini ama kipi kimesababisha DNA zetu kuwa na Digital information?
Mpaka saizi hakuna anayejua kwa hakika, ni jambo ambalo bado lipo katika uchunguzi lakini sio kigezo cha kutumia kama udhaifu kumshawishi mtu akubaliane na dhana nyingine usiyoweza kuithibitisha.
 
Swali lako lina maanisha Digital information kwa ku refer na vitu kama database, website, nk kua vishawahi kutokea kwa evolution?

Kama swali lako ni hilo basi jibu ni hapana, kwasababu hivyo vyote vina source havijaja hapo vyenyewe
Then mwili wa Binadamu una digital information, DNA zetu zina code ambazo zimeandikwa even scientist wa kubwa kwa pamoja wanakubaliana hili. Je nani/nini/kipi kimeeka Binary like code kwenye DNA zetu?
 
Then mwili wa Binadamu una digital information, DNA zetu zina code ambazo zimeandikwa even scientist wa kubwa kwa pamoja wanakubaliana hili. Je nani/nini/kipi kimeeka Binary like code kwenye DNA zetu?
Jibu ni hakuna anayejua kwa hakika, na hata tuki propose kitu fulani ndio kiwe jibu unafikiri hapo ndio utakua ukomo wa swali?

Lazima tutauliza tena huyo/hicho kilichofanya hizo code zikawepo nacho kilitokana na nini

Kama haita make sense kitu hicho kuhoji chanzo chake, kwanini tusifikirie kwa angle hiyo hiyo kwa mtu anaye hoji chanzo cha codes za DNA?
 
Mpaka saizi hakuna anayejua kwa hakika, ni jambo ambalo bado lipo katika uchunguzi lakini sio kigezo cha kutumia kama udhaifu kumshawishi mtu akubaliane na dhana nyingine usiyoweza kuithibitisha.
Ndio maana theory inaitwa Intelligent design, kwamba tumeumbwa na hatujatokana na evolution, somewhere Kuna intelligence kubwa kushinda sisi yenye technology kubwa kushinda sisi ilioumba Dunia na sisi.
 
Back
Top Bottom