Uchawi huu wa kisambaa ni noma

Mwanamke aliyewekewa ushinga akizini tu na mtu mwingine tofauti na mumewe mwanaume huyo hufa ndani ya masaa sita, na uuume wale husimama dede hata baada ya kufa.


Looooooo! balaa gani hilo!!!!
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji115]
 
Sio mahala pake, kahubiri kanisani
 
Mshana tuelezee steps za kuipata ndele,hilo nilikuwa nalisikiaga tu sijalitilia umuhimu wa kulifuatilia,mkuu tuelezee
 
Mshana tuelezee steps za kuipata ndele,hilo nilikuwa nalisikiaga tu sijalitilia umuhimu wa kulifuatilia,mkuu tuelezee
Kuna wataalam wake anga hiyo ila lazima Kuna aina ya ndege lazima umpate, nimemsahau jina ila ni yule ndege dume anayetembea na kundi la ndege wa kike (wote wake)
 
Duu! Wachawi wengi sana humu jf. Badala ya kupinga mambo ya kishetani ndiyo mnashangilia. Shame!
Unamiliki smart phone? Huna picha zozote chafu? Hujawahi kufanya mambo mabaya?
Kuna mambo ni machafu na mabaya tunayafanya kuliko hiki kilichoandikwa hapa
 
Juzi tu nilisema huyu anawakusanya watu awatapeli, someni sentensi yake ya mwisho.

Hakika wajinga ndiyo waliwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…