malisoka
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 1,860
- 2,636
Unajua ni kweli unachosema. Lakini huoni kama unampa big up shetan mkuu?Unamiliki smart phone? Huna picha zozote chafu? Hujawahi kufanya mambo mabaya?
Kuna mambo ni machafu na mabaya tunayafanya kuliko hiki kilichoandikwa hapa