Uchawi huu wa kisambaa ni noma

Wa macho ndo nautaka,
Kwa sababu kuna viongozi nataka niwaondoa,
Nataka hata nikiangalia television kwangu namwangalia hadi anakufa huko aliko
 
Wa macho ndo nautaka,
Kwa sababu kuna viongozi nataka niwaondoa,
Nataka hata nikiangalia television kwangu namwangalia hadi anakufa huko aliko
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]
 
Hongera mkuu mana umeamua kukaa nuruni.

Swali, mbona kuna sehemu umemjibu mtu kuwa unaweza kutoa/dude alilotupiwa... Kwa njia ipi? Unafanya maombi au miti shamba tena?!
 
Hongera mkuu mana umeamua kukaa nuruni.

Swali, mbona kuna sehemu umemjibu mtu kuwa unaweza kutoa/dude alilotupiwa... Kwa njia ipi? Unafanya maombi au miti shamba tena?!
Hebu nikumbushe hapo mahali kama nimepotoka nitaomba radhi
 
Ndele naisikia sana hii
 
Kuna wataalam wake anga hiyo ila lazima Kuna aina ya ndege lazima umpate, nimemsahau jina ila ni yule ndege dume anayetembea na kundi la ndege wa kike (wote wake)
Kibondei wanamwita chamiunda si yule mwenye mkia mrefu.
 
Daaah sijui Nina ndele mana haka kamtaa wanawake wote wanani taka mpaka nataka kuhama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…