King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Hivi ile movie ya The key ulishawahi ichekigi?
Hapana Bushmamy ,mie movie zimenipita kushoto sana!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ile movie ya The key ulishawahi ichekigi?
Embu jaribu kucheki Sahiv basi you tube angalau kidogo, naamini hutoacha, cheki ni nzuriHapana Bushmamy ,mie movie zimenipita kushoto sana!!
Mimi ningeanza na SABUFAMi huwa nakereka sana sambamba na kupatwa na hasira kali kuona kuna mafundi wa haya mambo nchini, wanamchukua mtu msukule hana hata buku tatu mfukoni, pengine hata ana madeni kibao kwenye vicoba, halafu wanamuwacha Waziri Wa Fedha anazurura tu mtaani aliepandisha tozo za miamala ya simu.
Ningekua mimi ndio mwenye ufundi wa sayansi ya namna hio, basi ningewachukua misukule Mawaziri wote pamoja na makatibu wao, sambamba na Bunge zima.
Huu ni Uhujumu Uchumi na ni matumizi mabaya ya Ofisi Za Ufundi Wa Sayansi Asilia.
Subufa mi ningemchomoa akili, ninge lichezesha dishi kidogo mtandao usome 2G au H, awe anaingia bungeni kavaa bukta ya kuogelea na kandambili huku shati kaligeuza.Mimi ningeanza na SABUFA
yaani jamaa ananiudhi yulee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Subufa mi ningemchomoa akili, ninge lichezesha dishi kidogo mtandao usome 2G au H, awe anaingia bungeni kavaa bukta ya kuogelea na kandambili huku shati kaligeuza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Subufa mi ningemchomoa akili, ninge lichezesha dishi kidogo mtandao usome 2G au H, awe anaingia bungeni kavaa bukta ya kuogelea na kandambili huku shati kaligeuza.
Kwamba alizikwa mzima akajifukua akatoka? Huu ni ubishi usio na maanaNimeuliza nikaoanisha na ulivyoniita sijaelewa.
Tanzania kuna vurugu nyingi sana hata kujibu kazi.
Watu wanazikwa wazima kwa sababu hospitali hazina vipimo.
Hapo hata wakitoka makaburini utashangaa?
Hicho kituko kilichotokea kimechunguzwa vipi kama si maigizo ya kupangwa tu?
MSHANA, hapa watumie mbinu gani wamkamate ndg yao
Hivi wenzetu MziziMkavu na Mshana Jr mtaacha lini huu mchezo, Mungu hapendi usanii kama huu jamani, jirekebisheni nyinyi si Mungu kucheza na nafsi za watu.
🤣🤣Kiranga anasema hakuna uchawi wala Mungu, sasa atuambie ni sayansi gani imetumika hapo.
Point moja tu.....Nimeuliza nikaoanisha na ulivyoniita sijaelewa.
Tanzania kuna vurugu nyingi sana hata kujibu kazi.
Watu wanazikwa wazima kwa sababu hospitali hazina vipimo.
Hapo hata wakitoka makaburini utashangaa?
Hicho kituko kilichotokea kimechunguzwa vipi kama si maigizo ya kupangwa tu?
🤣Mtu akizikwa mzima, anaweza Vip kufukua kifusi chote cha udongo na kutoka nje tena baada ya siku kadhaa toka azikwe?.
Ulitaka huo uchunguzi uletewe mezani kwako?
Siku njema
Mi huwa nakereka sana sambamba na kupatwa na hasira kali kuona kuna mafundi wa haya mambo nchini, wanamchukua mtu msukule hana hata buku tatu mfukoni, pengine hata ana madeni kibao kwenye vicoba, halafu wanamuwacha Waziri Wa Fedha anazurura tu mtaani aliepandisha tozo za miamala ya simu.
Ningekua mimi ndio mwenye ufundi wa sayansi ya namna hio, basi ningewachukua misukule Mawaziri wote pamoja na makatibu wao, sambamba na Bunge zima.
Huu ni Uhujumu Uchumi na ni matumizi mabaya ya Ofisi Za Ufundi Wa Sayansi Asilia.
Duh aisee,mambo Kama haya suruhisho ni katiba mpya tu.