Uchawi Mjini Unguja: Marehemu aonekana mitaani na sokoni

Uchawi Mjini Unguja: Marehemu aonekana mitaani na sokoni

Kiranga nilikuwa namkubali zamani, Baadae nikagundua ana maubishi yasiyo na tija[emoji1][emoji1]
Mkuu,

Sijawahi kuongozwa na kutaka kukubalika.

Ningekuwa nataka kuongozwa na kutaka kukubalika, nisingekuwa mtu wa kushikilia misimamo isiyokubalika na wengi kama vile kupinga uwepo wa Mungu.

Mimi naunga mkono wewe na mtu mwingine yeyote anayejisikia kutonikubali, asinikubali.

Ni haki yako ya kikatiba.

Kwangu mimi, haki yangu ya kujieleza kwa uhuru ni kitu muhimu zaidi ya wewe kunikubali mimi.

I am secure enough. I don't need your validation.

Tupambanishe hoja, tusiangalie mtoa hoja.

Small minds discuss people, average minds discuss events, great minds discuss ideas.

Kiranga ni mtu mdogo tu, achana kujishughulisha sana kwamba unamkubali au humkubali.

Chambua mada, kwa hoja na mantiki.

Kwani hata kichaa hupatia na mwanazuoni anayeheshimiwa hukosea.
 
Mkuu,

Sijawahi kuongozwa na kutaka kukubalika.

Ningekuwa nataka kuongozwa na kutaka kukubalika, nisingekuwa mtu wa kushikilia misimamo isiyokubalika na wengi kama vile kupinga uwepo wa Mungu.

Mimi naunga mkono wewe na mtu mwingine yeyote anayejisikia kutonikubali, asinikubali.

Ni haki yako ya kikatiba.

Kwangu mimi, haki yangu ya kujieleza kwa uhuru ni kitu muhimu zaidi ya wewe kunikubali mimi.

I am secure enough. I don't need your validation.

Tupambanishe hoja, tusiangalie mtoa hoja.

Small minds discuss people, average minds discuss events, great minds discuss ideas.

Kiranga ni mtu mdogo tu, achana kujishughulisha sana kwamba unamkubali au humkubali.

Chambua mada, kwa hoja na mantiki.

Kwani hata kichaa hupatia na mwanazuoni anayeheshimiwa hukosea.
Kuna mambo unazusha ubishi usio na maana mara sijui wewe ni nani? Sijui thibitisha wewe ni binadamu, Na mambo ya ajabu
 
Kuna mambo unazusha ubishi usio na maana mara sijui wewe ni nani? Sijui thibitisha wewe ni binadamu, Na mambo ya ajabu
Wewe unaweza kuona ubishi usio na maana kwa sababu hujui "Socratic Method" ni nini.

Kama kuna mtu anaweza kujibizana nami kimantiki, anaweza kufaidika na mjadala uliojengwa katika "Socratic Method".

Lakini si lazima kujali mambo haya, si lazima kuniona mimi ni mtu wa maana, kwa kweli, si lazima hata kunisoma. Unaweza kuruka tu maandiko yangu, au kama itakupendeza, unaweza kuni block kabisa usione majibu yangu ya kizushi.

Itakusaidia sana usione majibu yangu ya kizushi.

Na mimi itanisaidia nisijibizane nawe kuhusu majibu yangu ya kizushi.

Vinginevyo, jibu maswali uone mtiririko wangu wa "Socratic Method".

Kwa sababu wewe unaweza kudharau swali kwamba ni la kizushi, kumbe ukilifuatilia linaenda kufungua mjadala utakaokuonesha falsafa kubwa sana ambayo hujawahi kuisikia maisha yako yote.
 
Wewe unaweza kuona ubishi usio na maana kwa sababu hujui "Socratic Method" ni nini.

Kama kuna mtu anaweza kujibizana nami kimantiki, anaweza kufaidika na mjadala uliojengwa katika "Socratic Method".

Lakini si lazima kujali mambo haya, si kazima kuniona mimi ni mtu wa maana, kwa kweli, si lazima hata kunisoma. Unaweza kuruka tu maandiko yangu, au kama itakupendeza, unaweza kuni block kabisa usione majibu yangu ya kizushi.

Itakusaidia sana usione majibu yangu ya kizushi.

Na mimi itanisaidia nisijibizane nawe kuhusu majibu yangu ya kizushi.

Vinginwvyo, jibu maswali uone mtiririko wangu wa :Socratic Method".

Kwa sababubm wewe unaweza kudharau swali kwamba ni la kizushi, kumbe ukilifuatilia linaenda kufungua mjadala utakaokuonesha falsafa kubwa sana ambayo hujawahi kuisikia maisha yako yote.
Sawa
 
Issue kama hizi ni SPINNING ,hakuna uhalisia.
Mkuu hizi mambo zipo usiombe uzishuhudie,mimi nina ushahidi wa dhahiri kabisa wa dogo tuliyemzika huko Mkoani na kaburi lake hadi leo lipo na hadi albam za picha za msiba wake zipo,lakini yule dogo yupo mtaani,alichukuliwa msukule,ikabidi ahamishiwe mkoa mwingine kwa bro wake manake sio poa,kila mtu akimuona anamshangaa,na yeye anawashangaa,alirudishwa na mtaalam karibia miezi 9 baada ya kifo chake na baada ya ndugu zake kutokubali mazingira ya kifo chake wakaamua kufuatilia,uzuri wake walozi waliomchukua hawakuwa wamemkata ulimi,navyoongea sasa hvi yupo poa kabisa na amerudi normal
 
Mkuu hizi mambo zipo usiombe uzishuhudie,mimi nina ushahidi wa dhahiri kabisa wa dogo tuliyemzika huko Mkoani na kaburi lake hadi leo lipo na hadi albam za picha za msiba wake zipo,lakini yule dogo yupo mtaani,alichukuliwa msukule,ikabidi ahamishiwe mkoa mwingine kwa bro wake manake sio poa,kila mtu akimuona anamshangaa,na yeye anawashangaa,alirudishwa na mtaalam karibia miezi 9 baada ya kifo chake na baada ya ndugu zake kutokubali mazingira ya kifo chake wakaamua kufuatilia,uzuri wake walozi waliomchukua hawakuwa wamemkata ulimi,navyoongea sasa hvi yupo poa kabisa na amerudi normal

Ni kweli Mkuu mambo kama hayo ni mpaka ushuhudie wewe mwenyewe ila kwa kuamabiwa ni ngumu sana kuamini maana wasanii na wapigaji wengi sana.
 
Ni kweli Mkuu mambo kama hayo ni mpaka ushuhudie wewe mwenyewe ila kwa kuamabiwa ni ngumu sana kuamini maana wasanii na wapigaji wengi sana.
Huyo dogo nilivyoambiwa yupo hai sikuamini hadi nikivyokwenda kwao kumshuhudia na uzuri wake mama yake anaruhusu umsalimie,mkuu hatari sana,ila sasa hv anameshajua kuwa alichukuliwa kimazingira na watu wabaya,aliuliwa kimazingira,inauma sana kumbe inawezekana watu kibao hawafi kikwelikweli
 
Huyo dogo nilivyoambiwa yupo hai sikuamini hadi nikivyokwenda kwao kumshuhudia na uzuri wake mama yake anaruhusu umsalimie,mkuu hatari sana,ila sasa hv anameshajua kuwa alichukuliwa kimazingira na watu wabaya,aliuliwa kimazingira,inauma sana kumbe inawezekana watu kibao hawafi kikwelikweli

Ingependeza mama ampeleke mtoto Njia Panda Clouds FM au Kwa Yusuph Magasha/Michael Noel RFA ili aweze kutupa Mkasa uliomtokea A to Z ili watu wajifunze.
 
Udongo gani unashikana hivyo kwenye kaburi lililofukiwa na kufukuliwa tena
Huo uongo pelekeni huko
 
Back
Top Bottom