Uchawi na nguvu za giza katika nchi za SADC pamoja na uwezo wa Mitume na Manabii

Uchawi na nguvu za giza katika nchi za SADC pamoja na uwezo wa Mitume na Manabii

15Century tulikua sawa kwa kila kitu,naamini elimu zao tunazitohoa zitaondoa hizi Imani,by the way tunaamini Mungu kupitia dini zao.
Ni kweli nakinachofanya had sasa tuwe hiv ni kwasababu bado tunatumia mfumo wa elim waliotuachia ila siku tutakapo anza kutumia mfomo kama wao bas 70% hawata amin katika Mungu tena
 
katika vitu nashindwa kuamini kama vipo,basi ushirikina ni cha kwanza... enewei,
"aisifiaye mvua ujue IMEMNYEA"
 
Nilikutana na dada mmoja Mnigeria, katika maongezi nilimfahamisha kuwa mimi ninatoka Tanzania. Tulipozidi kuzoeana aliniambia kule kwenu kuna namba mbovu sana ya uchawi, nilimjibu kuliko nyinyi? Alisema sisi ni waropokaji tu lakini uchawi mnaujua nyinyi ila hamjitangazi.

Alinipa hadith fupi, kaka yake alikutana na binti wa Malawi wakiwa chuo, baada ya kuoana wameamuakujenga makazi Malawi. Yule dada alisafiri kutafuta maisha. Huko alikokwenda alituma maombi ya kuongeza viza Immigration ya Ughaibuni akapigwa refuse.

Alimpigia simu kaka yake huku analia kwani kaka ndiye alikuwa sponsor mkuu. Baada ya kuongea na mke wake kaka aliomba hiyo barua ya immigration barua halisi si photocopy, yenye saini na jina la mtoa maamuzi.

Barua ilitumwa Malawi, wifi aliipeleka kwa mtaalamu. Ilifanyiww utaalamu ile barua kwa siku saba. Katika mwezi ule ule yule dada alipokea barua kutoka immigrationa ya kubatili uamuzi wa awali. Maombi yake ya mwanzo yalikubaliwa na alipewa kibali cha kufanya kazi.

Siku hizi Afrika tuna mitume na manabii wengi sana, wanatenda miujiza mikubwana wanaabudiwa kuliko hata Yesu alipokuwa duniani.

Huwa ni ajiuliza hawa manabii wa Ujerumani na Marekani huwa hawana uwezo kama hawa manabii wetu wa huku SADC au hawa wakwetu wanahubiri na kufanya African Gospel?


Hiyo kitaalamu inaitwa "TELEPATHY", kwa mtu anayejua wala sio jambo la kinabii bali ni elimu miongoni mwa elimu zingine kama MESMERISM na HYPNOTISM.----- siyo kitu cha ajabu hata kidogo.

Ni katika njia hiyo ya Telepathy ambapo watu huweza kumleta ndugu yao aliyepotea mbali kwa muda mrefu, hiyo siyo uchawi per se au ushirikina ni elimu kama elimu yoyote ile, ila wachache sana are able to practice,

Elimu hiyo inatoa athari iliyokusudiwa kwa mlengwa akiwa mbali baada ya kupatikana vitu/vifaa mfano nguo zake nk, ambapo vifaa hivyo hufanyiwa kazi kusudiwa, kwa case ya hiyo post yako hiyo barua ndiyo ilikuwa kifaa chenyewe.
 
Back
Top Bottom