Uchawi ulivyotamalaki milima ya Same Upareni

Kuna jamii ya washana ndo walikua wnafua chuma, sababu Kuna Koo nyingi za kishana majina yanafanana lakin sio ndugu kabisa
 
Kule ni full package
Mkuu hivi ni kweli uchawi o.g wa Tanganyika ya enzi za kichifu na makabila yetu umehifadhiwa Ujerumani?!Maana nilisikia mtu fulani mkuu alipigwa dude la kimwera kule Lindi,wakaitwa kila aina ya waganga hapa bongo wakashindwa lakini jamaa akaenda kuponea ujerumani kwa kutumia uchawi wa zamani wa kimwera uliohifadhiwa huko ndio ukaweza kutengua ile teknolojia ya sasa hivi haikufua dafu ikakausha😁😆
 
Umenikumbusha wambugu, Ila wambugu ni wapare wa asili kabisa, ni kama washana, wachome, wabwambo etc. Nadhani hata kipare hujui wewe...oshie iwe mshambaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Hao wambugu wanapatikana maeneo gani ya huko?Suji,Kihurio,au?
 
Ndio maana ukoo unaoogopwa kwa uchawi upareni Ni washana. Zamani watu wa Koo nyingine waliepuka kuoa washana kwa sababu za kishirikina. Hata Sasa wanaojielewa hawaoi washana.[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Umenikumbusha wambugu, Ila wambugu ni wapare wa asili kabisa, ni kama washana, wachome, wabwambo etc. Nadhani hata kipare hujui wewe...oshie iwe mshambaa[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]oshie iwe mshambaa!!! Umechapia hapa.. Ulipaswa kusema Osie iwe u mshambaa?
 
Wajerumani waluondoka na hazina kubwa sana ... Yaani hata haya mambo ya kishirikina walibeba yote
 
Me nimezaliwa same. .thou me ni mchaga ...Ila kwa uchawi tuu hawa jamaa wako vizuri mnoo adse ...nlikulia kijiji kimoja kinaitwa "Mahuu" huko ni balaa
 
Sidhani kama kuna uchawi, nadhani ni ajali kama ajali zingine...

Hiyo kuserereka lenyewe ina maana gari lilikua halina handbreak, au ni bovu ndiyo maana...
 
Nipe namba ya huyo fundi pm, uchaguzi ukifika nimchape mtu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kimeumanaaah.
 
Halafu tena gari yenyewe ni Toyota Stout ya mwaka 1986, ambazo zimebaki Kilimanjaro tu. Miaka ya nyuma niliitafuta sana mpaka nikatoa Tangazo hapa bila mafanikio yoyote.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lol
 
Aiseee....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…