Uchawi ulivyotamalaki milima ya Same Upareni

police Akataka Alipe Faini Kipindi Kile Tshs 30000/=
Akamwambia Ndiyo Pesa Hiyo Tu Anayo Kwaajil Ya Matibabu. Police Akasema Hutoki Usipolipa
Akamuomba Sana Akakataliwa
Akalipa Akaenda Zake Hapo Hana Pesa[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji848][emoji848][emoji2815][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
 
Bora kushukia hedaru au makanya Mana map inaonyesha ipo Kati na wameonyesha Kuna Shule ya secondary ya TAE ipo upande wa kushoto Kama unatokea dar Ila wewe umesema n mliman ebu sanua hapo mzee na connection pia hata PM please Mshana Jr
 

Mkuu niMekucheki PM
 
Aisee umemaliza kila kitu. Big Up
 
We jamaa acha imani za ajabu,hii ni ajari ya kweli,hii ni gari ya kampuni ya northern engineering,HQ yao ipo sakina arusha,gari hii ilikuwa imepaki kwenye mnara,juu mlimani,ilikuwa haijawekwa handbreak,ikaserereka,
 
Ili uzi uendelee kunoga yabidi DEREVA wa gari atafutwe ajieleze nini kilitokea, ni matumaini yangu kampuni husika itamjengea nyumba mama.
Hiyo gari iliserereka kutoka mlimani,kazi za minara ya simu,ni tukio la kawaida kabisa
 
Mshana Jr miaka ya 2010 nilikuwa nafanya kazi kwenye hiyo kampuni ya Minara unayoisema inaitwa NEWL.

Kwa ufupi ile gari haikutelekezwa kama ulivyodai ila walifanya issue isivume sana kutokana na sababu za ki HSE

Sheria za HSE kwenye makampuni hasa hayo ya Engineering kipaombele zaidi kiasi kwamba ukizikiuka sheria unafungiwa leseni ya biashara ya Tower Maitenance.
 
Hii ndio video husika ya tukio zima. Dereva kama angepatikana angetupa insights za nini kilitokea dakika zile za mwisho. Je, alienda chobingo? Je, ajali ilimtaka yeye? Je, dereva naye yuko fit?

View attachment 1828123

Sisi kwetu ni uchagani bahati mbaya mdogo wetu mvula akaoa mwanamke wa kipare [emoji22]
Yaliyo tukuta Mwenye Enzi Mungu anajua, yaani ni shida, kila mmoja wetu ni matatizo tu!
Lakini sasa uchawi wake umesha expire baada ya miaka 26 ya shida! Sasa walahi ni zamu yake kama Zaburi ya 35 na 109 zinavyo sema na ndio yatakayo mkuta walahi nawaapia![emoji2959][emoji35]
 
Nalutafuta ndugu
 
Haaaaaq
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…