kama mbeya hakuna hotel yake basi mashabiki wake katika mikoa mingi wasitegemee kumwona kwani nadhani Songea, Tabora, Rukwa, Iringa, Njombe, Lindi, Singida, Shinyanga hata kwao Kigoma hakutakuwa na hotel ya hadhi yake.....hizo ni dharau, ina maana mbeya hakuna hotel hata moja ambayo angalau inalingana kwa hadhi na makazi yake pale Sinza...mh sidhani
Daaaah japo ni mimi ni mpenzi wa daimond na kiba always napenda mafinikio kwa vijana kwani wanatupa changamoto hasa. Japo sijui wanapitia sehemu zipi kuongeza ufanisi wao wa kazi na bahati..ila kitendo cha nasibu abdul kwenda mbeya na kusema hakuona hotel ya hadhi yake tena ndani ya nchi hii tanzania ni kejeri kubwa sana ukiangalia yeye katokea wapi...?? Pia kitendo cha kumtangazia ali kiba kuhusu kumtafutia collabo hivi kwa nini asingekutana naye ana kwa ana wapange mambo yao paka amtangazie kwa public , hapa nasibu hata mimi ningekuzomea kwa kweli.
Kuna wakati nilikuwa naichukia barcelona ya Pep Guardiola bila sababu za msingi zaidi ya ubora wao uwanjani kuuzidi wa tmu yngu nikawa nawachukia tu
Mawe Mbeya ni kawaida hasa kwa uchoko kama huu ! Na nna amini hatoweza kufika kama ana akili timamu !
Mwaka 2008
Kikwete Apigwa Mawe ''Mbeya''
Mwaka 2009
Mwege wa uhuru walazimika kubadili njia Ghafla mara baada ya dalili za uvunjifu wa amani ''Mbeya''
Mwaka 2010
Mke wa kikwete mama salma Azomewa
Mwaka 2012
Mheshimiwa Shamsi V'uai Nahodha Apigwa Mawe 'Mbeya' > Tunduma
Haters hamuishiwi na vijisababu... mara oh, anajitangazia amemtoa Davido... mara oh, kasema Mbeya hakuna hotel yenye hadhi yake... hatujakaa sawa, mara oh, kasema atamsaidia Ali Kiba..... ajabu ya mwaka hakuna hata mmoja anaesema kwamba Diamond kanikosea kwa hili ama lile... yaani leo hii Diamond mathalani akimponda fulani, nyie mwaja juu.... aaaaaargh, nyie watu vipi???!!! Diamond akisema Mbagala hakuna hoteli mzuri, nyie mwakasirika.... eh! Mwanikumbusha ule wimbo wa Ngwinji Atambe... atambie kitu gani wa Nasma Hamisi... ndicho kinachowasumbua, hamna lingine!! Kuona mwenzenu yupo juu mwaumia... kisa, mwataka mumpendae ndie awe juu... nyie vipi? Kwani huyo mumtakae kashikiwa pistol abaki hapo alipo?
Naona topic imehamia kwa diamond kuzomewa.
Juzi tulikuwa kwa askari mapenzi wa kagera, jana miss Tanzania na umri fake leo Diamond kuzomewa.....kesho kunani...????
That's why I love Tanzania.
Hahahaa
Unafikiri la miss tz limepita tu
Tushatuma mails tangu juzi mkuu
Ally Kiba anamjua nani dunia hii?
Sent from my SM-G800H using Tapatalk
Eti mdogo mdogo......mdogo mdogo my foot!!! Mwana ndo habari yenyewe!
Watu mpaka ringtone kwenye simu zimebadilika....kitu mwanadaresalamaaa!!!!
Mkuu umevurugwaaaa kula gwaraaaa kisha nisake tukapate moya moto moya baridi.Kiba ndo habareeee ya mujiniiii wakalishe wasiojielewaMimi Matola namjuwa Ally Kiba kama ndio kiboko ya Diamond na amethibitisha hivyo kwenye Fiesta kwa kumgalagaza vibaya domo, kama hupendi kunywa Jiki ukafie Uyole.
ally kiba anamjua nani dunia hii?
Sent from my sm-g800h using tapatalk
Mkuu umevurugwaaaa kula gwaraaaa kisha nisake tukapate moya moto moya baridi.Kiba ndo habareeee ya mujiniiii wakalishe wasiojielewa