Uchawi umedunda kwa Ally Kiba

Uchawi umedunda kwa Ally Kiba

Diamond amechelewa tu kulitambua hilo...Clouds hua wanataka wakunyonye to the fullest..hawataki ujitegemeee na uwe na uwezo wa kusimama kama wewe...ndio maana kila siku wanajitahidi kuwabana wasanii ili wanyenyekewe....

Diamond alionyesha uwezo wa kusimama yeye kama yeye...Na hilo ni kosa kwa Clouds Fm...

JD ameyagundua hayo siku nyingi ndio maana She doesnt give a fk about the mozafks clouds fm.....

Siku ya Fiesta hata wakati Diamond anaingia ku perform MC hakusema hata vile kuwaandaa mashabiki kua Diamond anaingia....

MC hao hao kina Fetty wakashangilia sana wakati wa kumkaribisha Kiba......

Wale wazomeaji waliandaliwa...Take my word.......

Diamond pamoja na mapungufu yake...Dogo is a hustler...

Ni mfano wa kuwa ukifanya kazi kwa bidiii utafanikiwa...

Huyo kiba ni mvivu...si mbunifu...Alipata nafasi akashindwa kuitumia

Lakini si ndio hao hao waliomuweka juu baada ya kukubali terms and conditions zao.Dogo achukulie hiyo ni changamoto na aibadilishe kuwa fursa, akianza kumtafuta mchawi atapoteza muda.
 
Wabongo bhana.sijui tutabadilika lini?kweli tutaendelea kuwa masikini hivi hivi kwa ujuma na usuda wa sababu za hovyo.wivu huo wote tuh.

Nimwone wivu mtu ambae atapitiliza jehanmu bila ata kuhojiwa na Mungu... Bora Mimi ntasimama kuorodhesha dhambi zangu.. Kuliko yeye ambaye ataonekana anapoteza muda...... Kweendraaaaaaaaaaaaaa!!!!
 
Kijana kaongea kweli! Labda mbeye hakuna hotel ya hadhi yake kwa ninj asiseme, hiyo lift wamepata Juzi ba wametangaza dunia nzima
Turudi kwenye topic , hvi nyie watanzania beef ya diamond na kiba nyie ina wasaidia nini? Ebu muacheni dogo apige pesa akiwa na dharau asiwe nayo jui yake! Kwani mkiwa support wote wawili kuna ubaya gani? Ingekuwa marekani mwanamuziki akiwa kwenye chart anafanyiwa hvi nadhani mastar wengi wasingefika walipo, utakuta asilimia 100% ya watu wanaomponda diamond hapa ni watu wazima wenye watoto umri wa diamond lkn wamechezea maisha ss hv awana kitu so hasira zao wanamalizia kwa kijana, Ebu muacheni mtoto wa Mwanamke/Mwanaume mwenzenu apumue kha..!

We mwenyewe ni mmoja wao... Ndo mana umeacha mambo yako ya msingi lakini vidole vimekuwasha ukaja hapa kwa wadhifa wa ushabiki......
 
Na watu wa mbeya, wanyaki walivyo proud na vitu vya kwao, aisee wakisikia hiyo kauli atapoteza mashabiki wengi pande za mbeya na siku akitokea huko atapigwa mawe kama walivyopigwa yanga wakati wa mechi na mbeya city

Nadhani hatokuja maana..... Atageuzwa hadi kugeuzwa!!!!
 
Wala miguu ya kuku na utumbo wa kuku wa Dar ndio hawampendi Diamond kwa sababu amewazidi kipato na umaarufu.. Huku mikoani kwa wajanja wote wanamkubali Diamond

Maneno yako ya shombo ndio yanayokufanya uzomewe
 

Attachments

  • 1413809559472.jpg
    1413809559472.jpg
    43.6 KB · Views: 122
Unajiita mjanja unatukan mtu usio mjua unamwita fukara... ni ujanja wa songea uo

Achana nae bana huyo ni kikalagosi wake..... Songea to kigoma wapi na wapi wote wakuja yeye na uyo naseeb wake... Wamekuja town jana tuu.....
 
Tatizo watu wa Dar kula miguu ya kuku na utumbo kumewaathiri sana..Mi niko songea hapa juzi kulikuwa na uvumi wa ujio wa Diamond mji mzima ulijaa hekaheka, Huyo Ali kiba wenu hakuna anaemjua ...

Songea kuna Hotel ya hadhi ya Diamond? MnajipendekeZa kwa jitu linalowadharau watanzania kwa sababu Gani?)
 
Nashangaa mijitu ina hasira kama nini....waendee huko wasitusumbue bwana kwa raha zetu tunasherehekea kuwagaragaza

Loh,walitukalia kooni jamani wewe acha tu,Kiba kapondwa kama nini...

angezomewa kibaa hapa sijui tungejificha wapiii
nimetoka ig asa hv yaani hakunogi ujue
ni kibaaa tuuuuuu
wakitaka wamuandalia wao waende kumshangilia kazomewa kikwete sembuse daimond...!!!
 
Dharau mbaya sana kimafanikio ya kimziki na kipesa domo bado sana,hana hata uwezo wa kuwa na private jet halafu useme ana mafanikio? Nenda miami uone mahekalu ya wasanii wenye mafanikio wakiwa wamepaki yatch zao pembeni mwa ufukwe wa nyumba zao,sie masikini tukipata vigari na mabanda ya kulala tunajiona tuna hela,kama diamond ana hela akanunue nyumba oysterbay.

Kakangu Miami kote huko?? Janguar tu anamkalia sio kumfunika tena.. Uyo Mond ana vihela vya chips yai tu...
 
Wala miguu ya kuku na utumbo wa kuku wa Dar ndio hawampendi Diamond kwa sababu amewazidi kipato na umaarufu.. Huku mikoani kwa wajanja wote wanamkubali Diamond

Diamond ndiyo nani bwana tumchukie,kama ni Kipato tungewachukia akina Bakhresa,Mfuruki and the like who is Diamond and why Diamond? Jiulize wanaokupandisha ndio wanakushusha
 
We fukara mi sio level yako.. Mi usafiri wangu ni Ndege Fast Jet ndani ya dakika chache nimeshafika ninakokutaka, usinifananishe na wachimba chumvi wenzako

Sante fast jet kwa kuleta nauli ya treni ukiwai kukata tiketi mana ata sisi mafukara tumejiona ni binadamu katika watu na jeuri imetujaaa............... ?
 
Na watu wa mbeya, wanyaki walivyo proud na vitu vya kwao, aisee wakisikia hiyo kauli atapoteza mashabiki wengi pande za mbeya na siku akitokea huko atapigwa mawe kama walivyopigwa yanga wakati wa mechi na mbeya city

Mbeya ulipopolewa msafara wa Kikwete sembuse Diamond?
Diamond anashindwa kuelewa kuwa hawa watu wa kawaida ndio wanaomwinua mtu.
 
Back
Top Bottom