rastar mjeshi
Senior Member
- Aug 15, 2023
- 193
- 253
Naunga mkono na pia nakazia hili swala ebana wako matapeli wanatumia uchawi kupata pesa yaani wale wanasubiri ustaafu au uumwe au uwe na matatizo wakikupoint %90 zalima ulie au ufe kabisa uchawi upo [emoji16]Nachojua kwamba wakoloni walitushinda kwasababu tulishidwa kutumia uchawi kwa akili,badala yake tukatumia uchawi kama uchawi...hicho ndicho kinacho tusumbua mpaka hivi leo kuonakwamba uchawi mbaya kumbe tunashidwa kutumia akili kwenye kutumia uchawi ipasavyo na kuangukia kwenye umasikini na mangojwa ya ajabu.
Nachojua kwamba wakoloni walitushinda kwasababu tulishidwa kutumia uchawi kwa akili,badala yake tukatumia uchawi kama uchawi...hicho ndicho kinacho tusumbua mpaka hivi leo kuonakwamba uchawi mbaya kumbe tunashidwa kutumia akili kwenye kutumia uchawi ipasavyo na kuangukia kwenye umasikini na mangojwa ya ajabu.
Naunga mkono na pia nakazia hili swala ebana wako matapeli wanatumia uchawi kupata pesa yaani wale wanasubiri ustaafu au uumwe au uwe na matatizo wakikupoint %90 zalima ulie au ufe kabisa uchawi upo [emoji16]
Hoja nyingine hii kuhusiana na akili inapatikana haoa #9Uchawi na akili ni vitu viwili tofauti. Uchawi ni imani katika nguvu za kiroho au za kichawi, wakati akili ni uwezo wa kufikiri na kuelewa.
Uchawi
- Ni imani katika nguvu za kiroho au za kichawi.
- Huweza kutumika kwa madhumuni mbalimbali, kama vile kusababisha madhara, kushawishi matukio, au kupata utajiri.
- Hauna msingi wa kisayansi.
Sayansi
Sayansi ni mfumo wa ujuzi unaotegemea uchunguzi, majaribio, na ubunifu. Sayansi inatumia mbinu za mantiki na ushahidi ili kuelewa ulimwengu unaotuzunguka.
Sifa za sayansi
Uchunguzi: Sayansi huanza na uchunguzi wa ulimwengu unaotuzunguka. Wanasayansi hutumia akili zao na hisia zao ili kutambua mifumo na uhusiano.
Majaribio: Wanasayansi hutumia majaribio ili kupima nadharia zao. Majaribio yanasaidia wanasayansi kuthibitisha au kukataa nadharia zao.
Ubunifu: Sayansi inahitaji ubunifu. Wanasayansi wanahitaji kuwa na uwezo wa kufikiria nje ya boksi na kutoa nadharia mpya.
Akili
- Ni uwezo wa kufikiri na kuelewa.
- Huweza kupimwa kwa kutumia vipimo vya akili.
- Ina msingi wa kisayansi.
Tofauti kati ya uchawi na akili
Uchawi unategemea imani, wakati akili inategemea ushahidi.
Uchawi unategemea imani katika nguvu za kiroho au za kichawi ambazo haziwezi kuthibitishwa. Akili, kwa upande mwingine, inategemea ushahidi wa kisayansi.
Uchawi unahusisha matumizi ya nguvu za kiroho au za kichawi, wakati akili ni uwezo wa kufikiri na kuelewa.
Uchawi mara nyingi huhusisha matumizi ya dawa za jadi, spell, au uaguzi. Akili, kwa upande mwingine, ni uwezo wa kufikiri na kuelewa, Bila kujali kama inahusisha matumizi ya nguvu za kiroho au za kichawi.
Uchawi hauna msingi wa kisayansi, wakati akili ina msingi wa kisayansi.
Uchawi hauna msingi wa kisayansi na hawezi kuthibitishwa. Akili, kwa upande mwingine, ina msingi wa kisayansi na inaweza kupimwa kwa kutumia vipimo vya akili.
Maoni ya watu mbalimbali kuhusu uchawi na akili.
Watu wengine wanaamini katika uchawi, wakati wengine hawaamini kabisa. Watu wanaoamini katika uchawi wanaweza kuamini kwamba uchawi unaweza kutumika kwa madhumuni chanya au hasi.
Watu ambao hawaamini katika uchawi wanaweza kuamini kwamba uchawi ni udanganyifu au kwamba hakuna ushahidi wa kisayansi wa kuunga mkono kuwepo kwake.
Watu wengi wanaamini kwamba akili ni muhimu kwa kufanikiwa katika maisha. Akili inaweza kusaidia watu kufikiri kwa ubunifu, kutatua matatizo, na kufanya maamuzi sahihi.
Kama uchawi unamanufaa ungetusaidia kusitawaliwe na wakoloni, lakini ni kwamba wakoloni walituzidi akili, (maarifa).
Nilikuwa natoa ushauri Kwa JF Kwamba kuwe na jukwaa la Mada za Kichawi , nguvu za Giza.
Na jukwaa la intelligence libaki na Mada zenye utafiti wa kisayansi.
Sayansi pia imejaa roho mbaya nakusababishiana matatizo!! Ww fikilia kikundi cha watu kina amua kukaa maabara nakuamua kutengeneza magonjwa!! Alf baada ya muda wana kaa tena wanatengeneza tiba yake ili wapateUchawi ni taaluma iliyoshindwa kuthibitishwa kisayansi. Mfano kwenda Marekani kwa nusu saa.
Lakini uenda uchawi ungetumiwa vizuri ungekuwa na manufaa... Ubaya wa uchawi ni kuuana, kulogana... Yani uchawi ni sambamba na Roho mbaya ya kuwafelisha watu, wakati Sayansi ni sambamba na roho nzuri ya kusaidia wengine
Sayansi pia imejaa roho mbaya nakusababishiana matatizo!! Ww fikilia kikundi cha watu kina amua kukaa maabara nakuamua kutengeneza magonjwa!! Alf baada ya muda wana kaa tena wanatengeneza tiba yake ili wapate
Maokoto [emoji1787] sayansi na uchawi nisawa na mohamed kumuita mudi..[emoji3578]
Kabisa mkuu ,tena ni ugonjwa wa kuambukiza, unakuta mtu anaongelea uwepo wa majini , ukimuuliza aliyaona wapi hakuna kitu .Nimefanya tafiti mkuu uchawi ni uowoga unao ambatana na matatizo ya akili
Ni kweli imeleta mapinduzi ila na madhara makubwa vile vile.Sayansi na dini ni kipi kimesababisha maafa zaidi mkuu?
Dini ndio chanzo kikubwa cha migogoro duniani..... kuanzia enzi hizo crusade hadi jihad na hadi sasa
Sayansi imeleta mapinduzi makubwa sana duniani
Tanga maeneo ganiKuna kipindi fulani cha nyuma , nilitafuta nyumba ya kupanga huko tanga kwa kazi fulani iliyonileta apo.
Nikapata nyumba fulani nzuri sana , wakazi wa eneo , wakaniambia hiyo nyumba haikaliwi na mtu ina mashetani yanakupiga usiku.
Niliichukua ile nyumba nikakaa zaidi ya miezi sita kwa elfu 30 tu kw mwezi nyumba nzima .
Sikuona chochote , wakazi wa huo mtaa kila mtu alikua ananiogopa [emoji38][emoji38]
Rudia tafiti zako, Tembelea Gamboshi na maeneo mengine yanayosifika kwa uchawi na ulozi
Cha kwanza: Wanawake wengi wa maeneo haya, na vibinti pia vya sekondari, wana udini mno na wengi wanatoa mapenzi kwa kujuana.
Ni kweli imeleta mapinduzi ila na madhara makubwa vile vile.
Silaha za kutisha,
Sasa hivi ndio tunaenda kwenye hatari zaidi mnatengenezewa mpaka manukato, vipodozi na vitu vingine vya kubadilisha hormone zenu muwe na matamanio kama wanawake
HUJAELEWEKAMkuu haya yote yanatokea kwa sayansi kwasababu HAKUNA MUNGU