Uchawi vs akili

Uchawi vs akili

Hapo kwenye kutumia chupa sasa!Wema wa Sepetu angekuwa na watoto lukuki.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hajakutana na watu wenye maarifa sahihi ya Ki afya wakamsaidia , . Kazungukwa na waganga na matapeli ya mjini.

Ugumba haupo ni swala la kwenda Kwa wataalamu waliogobea kwenye maswala ya afya ya uzazi
 
Hapo kwenye kutumia chupa sasa!Wema wa Sepetu angekuwa na watoto lukuki.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unaishi mkoa Gani mkuu, nenda kairuki maeneo ya goba ndio wanaweza kufanya hii 👆 huduma Kwa tz 🇹🇿 pekee
 
Back
Top Bottom