Anaitwa Msese. Namjua sana ndege huyo wala hana kazi hiyo unayo isema. Msese anatumika kwenye ndumba za mapenzi.Kuna ndege mdogo anamjua mrefu anaspidi sana na kumkamata ni kazi sana.
Unachotakiwa ni kumkamata akiwa hai kisha unampeleka kwa fundi wanaojua ni wachache tanga na bagamoyo ila ukiulizia humkosi ukimpata ndege huyo anatengenezwa na mtu Fulani unamla basi utakuwa maarufu balaa.
Ndege huyu ukimuona
View attachment 1134268View attachment 1134270apita mahali nyuma hufuatwa na kundi kubwa la ndege wasioaina yake yaani ananguvu za uongozi wa kiasili Kuna mbinu inatumika kuhamishia nguvu hivvu hiyo kwako kama mwanasiasa unapigwa uwaziri wiki haiishi
Anamatumizi mengi ya kuleta mvuto hata biashara kwenye mapenzi hata ukimpata mfu ila kwaajiri ya umaarufu lazima awe hai ndo inapowashinda wengiAnaitwa Msese. Namjua sana ndege huyo wala hana kazi hiyo unayo isema. Msese anatumika kwenye ndumba za mapenzi.
ok watu wababe ulimpataje mkuu hata kumsogelea kazi ,saidia vijana wawe maarufu mkuuNani anamtaka huyo ndege[emoji23][emoji23] anaitwa pin-tailed whydah... Huyo hapo pichani yupo breeding...
Kama kuna mtu ana muhitaji nimuuzie...mimi ni bird watcher
[emoji23][emoji23] kumpata ni simple... Ngoja nikueleweshe kitu kidogo... Huyu haonekanagi mara kwa mara kwasababu sio kipindi chote cha mwaka anakuwa breeding.. Hivyo huonekana katika umbo na rangi nyingine, na watu wanashindwa kumjua kama ndio yeyeok watu wababe ulimpataje mkuu hata kumsogelea kazi ,saidia vijana wawe maarufu mkuu
Aaahh ..... Ukiandika tu hilo jina nililo kutajia "pin-tailed whydah" utaona picha zake..Jamani jf ni kila kitu Ndio yeye kabisa huyu ,umeona niliteseka kupata picha yake hapo juu
Anamatumizi mengi ya kuleta mvuto hata biashara kwenye mapenzi hata ukimpata mfu ila kwaajiri ya umaarufu lazima awe hai ndo inapowashinda wengiView attachment 1134293
Nani anamtaka huyo ndege[emoji23][emoji23] anaitwa pin-tailed whydah... Huyo hapo pichani yupo breeding...
Kama kuna mtu ana muhitaji nimuuzie...mimi ni bird watcher
[emoji23][emoji23] mkuu sina huyu ndege ila najua mapori wanapopatikana.... Nipo Arusha na MoshiMikoani unatuma?