Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 11,097
- 17,929
Mkuu kuna fundi yeyote unae mfahamu alie mkweli na mtaalamu katika hizi kazi?
ulaya ndo wanatumia njia hizi kuliko Africa ,mwezi ulopita alikuwa longido nilishuhudia wazungu wamekuja kwa mganga anaitwa olsodo,wameenda kununua uchawi ,nenda bagamoyo uone hapo wazungu wanaotiririka kwa waganga