The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
- Thread starter
- #61
Niaje bro mbona unantukana tena mdogo wako?tujadili kirafiki tu .nimewahi kuwa mhasibu kwa mengi na kwa bakhresa kabla sjapata kamtaji nikajiajiri niikikwambia siri za hao watu utasema najiwasingizia,bakhresa anapeleka watu kuhiji ,unajua yeye kwa nn haendi?ya mengi ndo utakimbia ,We jamaa acha uganga wa kienyeji kwenye karne ya 21,ebu niambie watu kama Jay Z(mwana hiphop tajiri duniani),
Michael jackson,Donald Trump,Mengi,Dangote,Mo dewji,Bakhresa,walikula huyo ndege?ndio wakawa matajiri?!
Nenda kafanye kazi,mbona wewe sio tajiri?kama kuwa maarufu na tajiri ni rahisi kiasi hicho,mbona wewe bado kapuku?
Shenzy type!yaani karne ya simu janja,unatuletea story za uganga!we kweli hamnazo
Ni siabudu ushirikina ila ninapenda kujifunza na kuwambia wengine nayoyaona ,mfano kigoma Kuna kings ukiwekewa hata unywe simu ya panya hufi ,je kisayansi unaelezeaje ? Mkuu usikubali kupewa limit ya kufikiri iwe ni dini au sayansi