Uchawi wa kuwa maarufu kama mr nice au diamond

Uchawi wa kuwa maarufu kama mr nice au diamond

We jamaa acha uganga wa kienyeji kwenye karne ya 21,ebu niambie watu kama Jay Z(mwana hiphop tajiri duniani),
Michael jackson,Donald Trump,Mengi,Dangote,Mo dewji,Bakhresa,walikula huyo ndege?ndio wakawa matajiri?!
Nenda kafanye kazi,mbona wewe sio tajiri?kama kuwa maarufu na tajiri ni rahisi kiasi hicho,mbona wewe bado kapuku?
Shenzy type!yaani karne ya simu janja,unatuletea story za uganga!we kweli hamnazo
Niaje bro mbona unantukana tena mdogo wako?tujadili kirafiki tu .nimewahi kuwa mhasibu kwa mengi na kwa bakhresa kabla sjapata kamtaji nikajiajiri niikikwambia siri za hao watu utasema najiwasingizia,bakhresa anapeleka watu kuhiji ,unajua yeye kwa nn haendi?ya mengi ndo utakimbia ,
Ni siabudu ushirikina ila ninapenda kujifunza na kuwambia wengine nayoyaona ,mfano kigoma Kuna kings ukiwekewa hata unywe simu ya panya hufi ,je kisayansi unaelezeaje ? Mkuu usikubali kupewa limit ya kufikiri iwe ni dini au sayansi
 
Niaje bro mbona unantukana tena mdogo wako?tujadili kirafiki tu .nimewahi kuwa mhasibu kwa mengi na kwa bakhresa kabla sjapata kamtaji nikajiajiri niikikwambia siri za hao watu utasema najiwasingizia,bakhresa anapeleka watu kuhiji ,unajua yeye kwa nn haendi?ya mengi ndo utakimbia ,
Ni siabudu ushirikina ila ninapenda kujifunza na kuwambia wengine nayoyaona ,mfano kigoma Kuna kings ukiwekewa hata unywe simu ya panya hufi ,je kisayansi unaelezeaje ? Mkuu usikubali kupewa limit ya kufikiri iwe ni dini au sayansi
Funguka mkuu hayo ya akina Mengi na Bakhresa mkuu tujue angalau kidogo.
 
Mkuu safi sana uzi mzuri inaonekana uko vizuri
Naomba Nidokeze wataalamu wa kutengeneza mambo yakawa poa wako wapi
Utatapeliwa bro we nenda kigoma ukifika mjini chukua boti nenda kalya pembeni mwa ziwa ukirudi utaamkiwa
 
Mkuu Mimi sio mganga wala sijaita mtu inbox nikamtapeli ,tunaongezeana ujuzi wa hii dunia yetu ,huyu zamani alitumika kuwapa nguvu machifu waweze kutawala vizuri kuziinua jamii zao
Huyo aje hpo mahala petu awaone machali
Ata blow

Ova
 
Niaje bro mbona unantukana tena mdogo wako?tujadili kirafiki tu .nimewahi kuwa mhasibu kwa mengi na kwa bakhresa kabla sjapata kamtaji nikajiajiri niikikwambia siri za hao watu utasema najiwasingizia,bakhresa anapeleka watu kuhiji ,unajua yeye kwa nn haendi?ya mengi ndo utakimbia ,
Ni siabudu ushirikina ila ninapenda kujifunza na kuwambia wengine nayoyaona ,mfano kigoma Kuna kings ukiwekewa hata unywe simu ya panya hufi ,je kisayansi unaelezeaje ? Mkuu usikubali kupewa limit ya kufikiri iwe ni dini au sayansi
Maisha yana Siri nyingi
Hawa ambao wanajifanya katakataa
Kmbe kwenye sekta hiyo wako vzr

Ova
 
Funguka mkuu hayo ya akina Mengi na Bakhresa mkuu tujue angalau kidogo.
Tuanzie na huyo kwa picha yako ameua sana makafara ,kaulizie wafanyakazi wake hela yake watu wanaiiba wanakimbia afu wanarudisha wenyewe ,ulizia maafisa wakongwe tra ukimletea Kofi hazieleweki anakufanya nn,sifa ya jambo la kweli huwa wanalijua wengi nimemwambia ulizia wafanyakazi wa mengi
Maisha yana Siri nyingi
Hawa ambao wanajifanya katakataa
Kmbe kwenye sekta hiyo wako vzr

Ova
Kweli kabisa
 
Tuanzie na huyo kwa picha yako ameua sana makafara ,kaulizie wafanyakazi wake hela yake watu wanaiiba wanakimbia afu wanarudisha wenyewe ,ulizia maafisa wakongwe tra ukimletea Kofi hazieleweki anakufanya nn,sifa ya jambo la kweli huwa wanalijua wengi nimemwambia ulizia wafanyakazi wa mengi

Kweli kabisa
Hawa hawajakutana na watu
Na kuwajua kiundani[emoji23]
Maisha yana Siri sana

Ova
 
Watu wanapiga makafara
Tembea uone ukiwa mtu wa resi utaona mengi The only

Ova
 
Na huyu nae mkuu yumo kumbe
Tuanzie na huyo kwa picha yako ameua sana makafara ,kaulizie wafanyakazi wake hela yake watu wanaiiba wanakimbia afu wanarudisha wenyewe ,ulizia maafisa wakongwe tra ukimletea Kofi hazieleweki anakufanya nn,sifa ya jambo la kweli huwa wanalijua wengi nimemwambia ulizia wafanyakazi wa mengi

Kweli kabisa
 
mathayo 19 23-24.

utajiri na umaarufu,ni vitu vinavyopingana kabisa na haki,mtu maarufu na kismati aliekuwa na haki wakati wote mpaka sasa ni Yesu pekee[emoji16][emoji16][emoji16].

ila angalia kimbembe sasa,alikosa vingapi???
hakuwa na demu,alijua atakufa baada ya muda gani,hakuwa na pesa,alifanya yale tu yanayompendeza Mungu,alipingwa vibaya na watawala,alichukiwa na wapenda starehe na anasa,hakupata nafasi ya kuwa na mtoto.
 
Back
Top Bottom