ulaya ndo wanatumia njia hizi kuliko Africa ,mwezi ulopita alikuwa longido nilishuhudia wazungu wamekuja kwa mganga anaitwa olsodo,wameenda kununua uchawi ,nenda bagamoyo uone hapo wazungu wanaotiririka kwa waganga
Kuna njia nyingi za kupata maendeleo..ila afrika itachelewa sana kuyapata paka itakapoacha kuchukulia ushirikina(imani potofu) kama moja ya njia.
Tafuta historia ya dini zote unazozifahamu zinazo amini Mungu af uje tuendelee.Hao unao wachukulia poa ndio wanaroga balaa. Kwanza mzungu haamini kama kuna Mungu.
Huyu si kimkula m.avi....ndege wanapenda sana chooni ama nimemix madesa!?
Kimbembe nadhani ni kupata sehemu aliyekojoa demu ambaye unampenda....ni kazi kubwa sana hiyo kama kubeba lorry la mchanga kichwani...Ndege mchawi,enzi za utoto wetu tuliaminishwa ukipata hata unyoya wake then unavizia alipokojoa dem unaenda kuuchoma huo unyoya hapo lazima umpate huyo dem,utoto bhana raha sana,kimbembe ss kupata huo unyoya ukimuweka kwenye target lazima hio manati ikatike
Ukisikia Paaah ndio hii sasaKuna ndege mdogo anamjua mrefu anaspidi sana na kumkamata ni kazi sana.
Unachotakiwa ni kumkamata akiwa hai kisha unampeleka kwa fundi wanaojua ni wachache tanga na bagamoyo ila ukiulizia humkosi ukimpata ndege huyo anatengenezwa na mtu Fulani unamla basi utakuwa maarufu balaa.
Ndege huyu ukimuona
View attachment 1134268View attachment 1134270apita mahali nyuma hufuatwa na kundi kubwa la ndege wasioaina yake yaani ananguvu za uongozi wa kiasili Kuna mbinu inatumika kuhamishia nguvu hivvu hiyo kwako kama mwanasiasa unapigwa uwaziri wiki haiishi
😀 😀 😀 😀Huwa yana saidia sana mtu kupata kazi mapema kama ukiyameza mabichi mida ya mchana ukweni.
Mkuu umeongea. Hakuna watu walozi kama wachina. Maendeleo yao tunayashadadia tu ila hawa jamaa hawagusiki ni moto wa kwenda mbalikuna watu humu wasenge sana..yani anajifanya kasoma na ana assume uchawi haupo,,anaenda mbali nakusema waafrika tuko nyuma sababu ya imani hiyo..SASA KWA TAARIFA YAKO WACHINA WANANUNUA MISUKULE YA KUSAIDIA KUJENGA MIJENGO....SAsa we kaa na kadegree kako ulikosomea historia ya mkwawa..majimaji war,,logical reasoning,,na hutajua mengi kwa kufumbwa na ujinga wa elimu yako...hahaahaaaa
Nini maana ya iman potofu mkuu?Hauko sawa, maana ya ushirikina ni imani potofu. Hakuna mafundisho ya dini yenye lengo la kumpoteza mtu
Nimekupenda bure ,yaani elimu ingekuwa suluhisho basi maprofesa wa ngekuwa matajiri ila inapaswa utumie maarifa anuai kumaliza mambokuna watu humu wasenge sana..yani anajifanya kasoma na ana assume uchawi haupo,,anaenda mbali nakusema waafrika tuko nyuma sababu ya imani hiyo..SASA KWA TAARIFA YAKO WACHINA WANANUNUA MISUKULE YA KUSAIDIA KUJENGA MIJENGO....SAsa we kaa na kadegree kako ulikosomea historia ya mkwawa..majimaji war,,logical reasoning,,na hutajua mengi kwa kufumbwa na ujinga wa elimu yako...hahaahaaaa
sure mkuu..shule mambo inayofundisha ni robo tu ya uhalisia wa maisha...mtu akisoma sana anaona kua kajua kila kitu...akiambiwa kua kuna watu wakipigwa risasi haziingii watabisha mpaka kufaNimekupenda bure ,yaani elimu ingekuwa suluhisho basi maprofesa wa ngekuwa matajiri ila inapaswa utumie maarifa anuai kumaliza mambo
kaka hao watu sio poa..wana uchawi mkali sanaaaMkuu umeongea. Hakuna watu walozi kama wachina. Maendeleo yao tunayashadadia tu ila hawa jamaa hawagusiki ni moto wa kwenda mbali
Huwa yana saidia sana mtu kupata kazi mapema kama ukiyameza mabichi mida ya mchana ukweni.
yap nshamuona jamaa mwanza hiyo dawa ipo njia za maji kalya kigomasure mkuu..shule mambo inayofundisha ni robo tu ya uhalisia wa maisha...mtu akisoma sana anaona kua kajua kila kitu...akiambiwa kua kuna watu wakipigwa risasi haziingii watabisha mpaka kufa
We jamaa acha uganga wa kienyeji kwenye karne ya 21,ebu niambie watu kama Jay Z(mwana hiphop tajiri duniani),Kuna ndege mdogo anamjua mrefu anaspidi sana na kumkamata ni kazi sana.
Unachotakiwa ni kumkamata akiwa hai kisha unampeleka kwa fundi wanaojua ni wachache tanga na bagamoyo ila ukiulizia humkosi ukimpata ndege huyo anatengenezwa na mtu Fulani unamla basi utakuwa maarufu balaa.
Ndege huyu ukimuona
View attachment 1134268View attachment 1134270apita mahali nyuma hufuatwa na kundi kubwa la ndege wasioaina yake yaani ananguvu za uongozi wa kiasili Kuna mbinu inatumika kuhamishia nguvu hivvu hiyo kwako kama mwanasiasa unapigwa uwaziri wiki haiishi