Uchawi wa Nigeria: Siri ya mafanikio ya Chibu lakini sio uwezo wake

Uchawi wa Nigeria: Siri ya mafanikio ya Chibu lakini sio uwezo wake

Katika Bara La Afrika.Nigeria Ndo Nje Inayoongoza Kwa Uchawi Na Vitendo Vya Kishirikina.
Wasanii Wakubwa, Wafanybiashara, Wacheza Filamu, Watumishi Wa Mungu, Wanasiasa, Watu Maarufu Nchini Nigeria Achilia Mbali Wananchi Wa Kawaida Wengi Wao Ni Waumini Wa Imani Za Kishetani Na Washirikina Wakubwa.

Mafanikio Ya Ghafla Ya Chibu Na Mlolongo Wa Tuzo.Zinatokana Na Kujihusisha Katika Imani Hizi Za Kinageria.Safari Nyingi Za Chibu Za Kwenda Naigeria Na Kurudi Zinahusisha Pia Kupata Nafasi Ya Kushiriki Katika Ibada Zao Na Kwa Ajili Ya Kutoa Sadaka Na Kufanya Matambiko.

Collabo Nyingi Za Domo Anazoforce Kufanya Na Wanigeria Ni Ktk Muendelezo Wake Wa Kua Karibu Na Wanamuziki Maarufu Ambao Nao Ni Waumini Wa Imani Hizi Za Kichawi.

Inasemekana Hata Utajiri Alionao Mkewe Mtarajiwa Zari(thebosslady) Chimbuko Lake Ni Uko Uko.Siri Ya Pete Ya Dhahabu Anayoivaa Domo Mkono Wake Wa Kushoto Ambayo Wengi Wanadhani Ni Pete Ya Uchumba.Lakini Ukweli Ni Kua Ni Pete Aliyoipata Nchini Nigeria.Na Inabeba Siri Kubwa Ya Mafanikio Yake.

Nonsense.
 
khaaaa!!! naisikitikia sana nchi yangu yani watu wanawivu sana na mafanikio ya wenzao wakifanikiwa ndo mnakimbia kwenye uchawi sasa kama mchawi yeye wewe inakuuma nini?..muombee basi aache uchawi ndo maana aliwaambia mtanyoooka tuuu....!!!nahisi mleta uzi ni sepetu kaja na ID hii..... kama wa kuwanyoosha hawapo hata yeye mwenyewe atawanyosha hayo makunyanz....

Uchawi Wa Nigeria Umewapumbaza Akili.Hamjielewi Hata Mnachokiongea Na Kukiamini Na Kukisupport.Mnajiona Mko Sawa Lakini Sio Kosa Lenu
 
Mafanikio gan ya gafla kwan mziki kaanza juz huyo, ana miaka ming tu yupo kwenye mzik ila ni juhud zake ndio zmemfikisha hapo hajawah kuridhika na mafanikio yake. So stop thz stupidty.. Ukihic utajiri unapatikana Nigeria bas funga safar na wew uende.

Mkiendelea Na Ubishi Huu.Hipo Siku Tutamuanika Live Na Mambo Yake Yote Anayoyafanya Akiwa Nigeria.Nyie Endeleeni Tu Na Umburula Kwa Kumpigia Makofi Na Kumshangilia.Wakati Hamjui Siri Nzito Iliyondani Ya Mafanikio Yake.Msitulazimishe Tumuumbue Humu.
 
Kuna Njia tano (5) Rahisi na Muhimu za kufata ukitaka kuwa Tajiri.....

1. Kaa chini Design Bidhaa/huduma au Product yoyote ambayo unahisi ina-uhitaji kwenye jamii yako (Ukikosa boresha zilizopo)

2. Izalishe kwa kiwango cha ubora wa hali ya juu (Manufacturing)

3. I-park kwa ustadi iwe inavutia wateja wako/ kama ni huduma ifanyie advertisement

4. Isafirishe hadi sokoni (Pia nako hapa unaweza kuitangaza)

5. Simamia mauzo (Ikibidi ilinde kisheria kabisaa kwa kuithamini)

Na ndo anachokifanya dogo so sioni ajabu ya mafanikio yake..!
 
Daaah nyie watu bana.. Kwa hiyo uchawi ndio unamuwezesha kutunga mistari?

Hata Mr.Nice Alikua Anatunga Mistari.Mistari Mibovu Ambayo Haieleweki.Lakini Kwasababu Ya Ndumba Alikua Gumzo Kila Kona.Mwisho Wa Binadamu Kama Hawa Ni Anguko Takatifu Na La Milele!
 
Mkiendelea Na Ubishi Huu.Hipo Siku Tutamuanika Live Na Mambo Yake Yote Anayoyafanya Akiwa Nigeria.Nyie Endeleeni Tu Na Umburula Kwa Kumpigia Makofi Na Kumshangilia.Wakati Hamjui Siri Nzito Iliyondani Ya Mafanikio Yake.Msitulazimishe Tumuumbue Humu.

Wewe na nani msilazimishwe kumuumbua Domo?
 
Hata Mr.Nice Alikua Anatunga Mistari.Mistari Mibovu Ambayo Haieleweki.Lakini Kwasababu Ya Ndumba Alikua Gumzo Kila Kona.Mwisho Wa Binadamu Kama Hawa Ni Anguko Takatifu Na La Milele!

Daaah haya bana..
 
Wewe na nani msilazimishwe kumuumbua Domo?

Mimi Na Wale Wote Tunaojua Siri Nzito Iliyonyuma Ya Pazia.Kuhusiana Na Mafanikio Yake Ya Ghafla Na Tuzo Zake Anazopewa Kiholela.
 
Ingekuwa hivy wanaigeria woote wanguwa matajiri basi, usikubali kuwe chuki zako hadharani. Mafanikio hayaji kwa uchawi dada.

Tunashukuru Kwa Mchango Wako Mamdogo.
 
We mwanga shidayako ninini labda? Kapakatwe huko kama mchawi au sio we yanakuhusu nini labda? M. B. Wa wewee k kabisa
 
Binadamu bwana kafanikiwa maneno mshirikina asingefanikiwa ungesikia tulijua tu huyo ni kilaza......kuna siku moja nilikuwa namsikiliza MH.Msigwa ITV....Jamaa alisema tujifunze kwa watu waliofanikiwa wale ambao hawajafanikiwa jifunze kwa nini hawakufanikiwa katika njia zao....Alitolea mfano..Akasema watu matajiri duniani na maarufu huwa wanaandika vitabu na makala mbali mbali jinsi walivyoanza hadi wakafanikiwa...wewe ambaye hujafanikiwa ukisoma utajifunza kitu..lakini mwingine atabaki anasema tunajua jamaa alianza kubrash viatu yule haiwezekani akawa tajiri vile lazima alienda kwa mganga....hutofanikiwa kwa kuwaza hivyo......kwa hiyo ndugu yangu Kijana Diamond anajituma tu katika kazi yake ndo maana anafanikiwa.
 
Back
Top Bottom