A Biology Laboratory
Member
- Feb 18, 2015
- 58
- 14
Kwani we hujion kua una kasoro
aso kua na haya usoni wajuz c watumorrow.
nasema nawe.
aso kua na haya usoni wajuz c watumorrow.
nasema nawe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani we hujion kua una kasoro
aso kua na haya usoni wajuz c watumorrow.
nasema nawe.
Lakini tubonge ukweli...TEAM KIBA most of them ni VILAZA sana.
Katika bara la Afrika.Nigeria ndio inayoongoza kwa uchawi na vitendo vya kishirikina.Wasanii wakubwa, wafanyabiashara, wacheza filamu, watumishi wa Mungu, wanasiasa, watu maarufu nchini Nigeria achilia mbali wananchi wa kawaida wengi wao ni waumini wa imani za kishetani na washirikina wakubwa.
Mafanikio ya ghafla ya Chibu na mlolongo wa tuzo.Zinatokana na kujihusisha katika imani hizi za Kinageria.Safari nyingi za Chibu za kwenda Nigeria na kurudi zinahusisha pia kupata nafasi ya kushiriki katika ibada zao na kwa ajili ya kutoa sadaka na kufanya matambiko.
Collabo nyingi za domo anazoforce kufanya na wanigeria ni katika muendelezo wake wa kua karibu na wanamuziki maarufu ambao nao ni waumini wa imani hizi za kichawi.
Inasemekana hata utajiri alionao mkewe mtarajiwa Zari(thebosslady) chimbuko lake ni uko uko.Siri ya pete ya dhahabu anayoivaa domo mkono wake wa kushoto ambayo wengi wanadhani ni pete ya uchumba.Lakini ukweli ni kua ni pete aliyoipata nchini Nigeria na inabeba siri kubwa ya mafanikio yake.
Ndumba Za Nigeria Zimekupumbaza Akili.Ndomana Huwez Kuuona Ukweli Unaropoka Tu Kama Umekatwa Kichwa.
Kwani wewe khasa mafanikio yao au hasara zao wewe zinakukera nini? unajua kua mshirikina sio mpaka wende ukaroge
kuwaonea wenzio kijicho mafanikio yao pia ni ushirikina,sasa wewe nawe pia mshirikina,kwanza ulijuaje kama na wewe humonao,au zamu yako bado na umechoka kusubiri ndio mana unaanza kusema wenzio?