Uchawi wa Nigeria: Siri ya mafanikio ya Chibu lakini sio uwezo wake

Uchawi wa Nigeria: Siri ya mafanikio ya Chibu lakini sio uwezo wake

Wakati mwingine mkubali tu kuwa Mungu anatenda kazi..siyo kuusifia uchawi na ndumba tu...ina maana haiwezekani kufanikiwa kwa juhudi??akina jay-z,n.k....nao wanaenda nigeria???
 
Lakini tubonge ukweli...TEAM KIBA most of them ni VILAZA sana.

alafu wana inferiority complex syndrome, hawanaga jema wa diamond, wao hujiona ndio wanaostahili ndio maana wanapiga vita kuwanacho diamond, akili yao inawadanganya alichonacho diamond alipaswa kuwa nacho kiba, sasa kukubali ni diamind ndio mwenye nacho na sio kiba wanadhani sio bure kuna mkono wa kichawi, lakini angekuwa nacho kiba wangeona ni stahiki yake. wakafie mbeleeee daima cha dai kitabaki kuwa chake, fungu la kukosa poleni.
 
Watz akili zetu huwa zinasrutch itadhani cd mbovu na chafu..

Huwa tunashindwa kuwaza na kufkiri..bali huwa tuna haha hasa baada ya kuona mtu kafanikiwa na kuanza kuzusha ili tu ashuke...akili zetu huzunguka kinyumenyume kama saa iliyoishia betri
 
Katika bara la Afrika.Nigeria ndio inayoongoza kwa uchawi na vitendo vya kishirikina.Wasanii wakubwa, wafanyabiashara, wacheza filamu, watumishi wa Mungu, wanasiasa, watu maarufu nchini Nigeria achilia mbali wananchi wa kawaida wengi wao ni waumini wa imani za kishetani na washirikina wakubwa.

Mafanikio ya ghafla ya Chibu na mlolongo wa tuzo.Zinatokana na kujihusisha katika imani hizi za Kinageria.Safari nyingi za Chibu za kwenda Nigeria na kurudi zinahusisha pia kupata nafasi ya kushiriki katika ibada zao na kwa ajili ya kutoa sadaka na kufanya matambiko.

Collabo nyingi za domo anazoforce kufanya na wanigeria ni katika muendelezo wake wa kua karibu na wanamuziki maarufu ambao nao ni waumini wa imani hizi za kichawi.

Inasemekana hata utajiri alionao mkewe mtarajiwa Zari(thebosslady) chimbuko lake ni uko uko.Siri ya pete ya dhahabu anayoivaa domo mkono wake wa kushoto ambayo wengi wanadhani ni pete ya uchumba.Lakini ukweli ni kua ni pete aliyoipata nchini Nigeria na inabeba siri kubwa ya mafanikio yake.

So what?????????
 
Ndumba Za Nigeria Zimekupumbaza Akili.Ndomana Huwez Kuuona Ukweli Unaropoka Tu Kama Umekatwa Kichwa.

kwani sisi tukipumbazwa na ndumba za mpendwa wenu inawauma nini?? acha tupumbazwe kwa wakati nyie mliopumbazwa na zile ndumba akizo mwaga kiba fiesta yeye akaruka ukuta,hivi mlijishtukia??? au ndio kichaa hajui kama yeye ni kichaa?? mbona nyie mmelogwa na kiba lakini hatusemi, mnavyoona hizi akili mlizonazo sasa ni pure? lile ndumba la fiesta alilozindika kibakuli tena wazi wazi unadhani hatukuona?? sema tulipotezea koz tunajua jamaa alishapotea kwenye ramani ya mziki siku nyingi. kinachowauma sio diamond kuwa mchawi,kinachowauma ni kwa vile kiba nae anatuloga lakini hatulogekiiiii, alafu ndumba lake la nguvu ya soda, waliozomea siku ile mbona sijawaskia tena?? kwendreeeeeni kuleeeeeee, uchawi uchawiiiii, tunalogwa tunalogwa kumbe uchawi mnatembea nao wenyewe.
 
Ulimwengu wasasa, umetawaliwa na shetani ibilisi kwa asilimia 80. ndiomana katika matajiri 20 duniani hakuna aliepata iyo pesa kwanjia ya halali. fanya utafiti, utaona.
 
Baadhi ya Watanzania ndivyo walivyo!!! Wakimuona mtu ana mafanikio ya kimaisha basi ni lazima waanze kutafuta vitu negative vya kuhusisha na mafanikio yake.

Huyu kapata mafanikio kwanza nchini mwetu na baadaye Afrika ya Mashariki na Kati, South Africa, Africa na sasa duniani lakini bado wenye akili finyu hawawezi kuyakubali mafanikio yake kwamba yametokana na kujituma kwake.

Ahsante sana kwa bandiko lako, nimelipenda.

Kwani wewe khasa mafanikio yao au hasara zao wewe zinakukera nini? unajua kua mshirikina sio mpaka wende ukaroge
kuwaonea wenzio kijicho mafanikio yao pia ni ushirikina,sasa wewe nawe pia mshirikina,kwanza ulijuaje kama na wewe humonao,au zamu yako bado na umechoka kusubiri ndio mana unaanza kusema wenzio?
 
kwahyo wewe ndo huwa unamsindikiza kwenye hizo ibada?maana unaonekana unajua mengi
 
Back
Top Bottom