Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 2,254
- 5,161
SureHakuna wachawi kama Mapharaoh, wao walishindana na nguvu ya Mungu
Simba ni rahaa TuDu nmeshindwa ata ni comment kitu gani[emoji56]
Sawa dada mvaa vjoraSimba hawajui mpira kabisa, hap ahly wangekutana na timu yetu Yanga wangechapwa ka mbwa kajikojolea
Kwani mkuu unaionaje simba kwa mechi za club bingwa alizocheza mpaka sasa? (Ikiwemo mechi za kufuzu hatua ya makundi)Hakuna timu yenye washabiki mazombi kama simba...
Simba wamejitaidi, lakini mimi nachokiona ni kwa mashabiki wamekua na matarajio makubwa sana kwa mfano bahada ya kupata ushindi kwa as vita na mwarabu wanasimba wanaona kama wamemaliza kazi, mpaka kuna bahadhi walishaanza kupanga robo fainali watakutana na timu gani, wanasahau kua huu ni mpira sometimes hua unakuja na comeback za kushangaza.Kwani mkuu unaionaje simba kwa mechi za club bingwa alizocheza mpaka sasa?? (Ikiwemo mechi za kufuzu hatua ya makundi)
Mmhhh! Yaani wale wasudani unawaweka kwenye timu za kutinga robo?Hakuna timu yenye washabiki mazombi kama simba...
Zombi la kwanza ni wewe mzee wa utopolo.Hakuna timu yenye washabiki mazombi kama simba.
Yahani mashabiki wa simba ukitaka wafurai wape sifa ambazo hata hawana sababu wanafurai sana wanaposikia timu yao ikipewa sifa za uongo, mfano waambie kwa hii simba ata aje Barcelona hatoki, konde Boy ni zaidi ya mesi, mwaka huu simba inatinga fainali club bigwa ya Africa.
Hapo walipo wako hatua ya makundi na ukiangalia kwenye kundi lao licha ya kua simba anaongoza kundi lakini ukweli ni kwamba kila timu bado ina nafsi ya kutinga robo fainali, hivyo wanasimba msianze tukana mamba wakati hamjavuka mto hii ni football sometimes hua hina surprise za kutisha tusije tukakimbiana humu.
[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji1787]Hakuna timu yenye washabiki mazombi kama simba.
Yahani mashabiki wa simba ukitaka wafurai wape sifa ambazo hata hawana sababu wanafurai sana wanaposikia timu yao ikipewa sifa za uongo, mfano waambie kwa hii simba ata aje Barcelona hatoki, konde Boy ni zaidi ya mesi, mwaka huu simba inatinga fainali club bigwa ya Africa.
Hapo walipo wako hatua ya makundi na ukiangalia kwenye kundi lao licha ya kua simba anaongoza kundi lakini ukweli ni kwamba kila timu bado ina nafsi ya kutinga robo fainali, hivyo wanasimba msianze tukana mamba wakati hamjavuka mto hii ni football sometimes hua hina surprise za kutisha tusije tukakimbiana humu.
This is football anything can happen, halafu usiwachukulie poa kihivyo kisa wamepoteza game Mbili.Mhhh!
Mmhhh! Yaani wale wasudani unawaweka kwenye timu za kutinga robo?
Ulivyocomment ndio unajiona una akili.Hakuna timu yenye washabiki mazombi kama simba.
Yahani mashabiki wa simba ukitaka wafurai wape sifa ambazo hata hawana sababu wanafurai sana wanaposikia timu yao ikipewa sifa za uongo, mfano waambie kwa hii simba ata aje Barcelona hatoki, konde Boy ni zaidi ya mesi, mwaka huu simba inatinga fainali club bigwa ya Africa.
Hapo walipo wako hatua ya makundi na ukiangalia kwenye kundi lao licha ya kua simba anaongoza kundi lakini ukweli ni kwamba kila timu bado ina nafsi ya kutinga robo fainali, hivyo wanasimba msianze tukana mamba wakati hamjavuka mto hii ni football sometimes hua hina surprise za kutisha tusije tukakimbiana humu.