Uchawi wa Simba Hadharani sasa. Hivi mpira wetu Unaelekea wapi?

Uchawi wa Simba Hadharani sasa. Hivi mpira wetu Unaelekea wapi?

this is football anything can happen, halafu usiwachukulie poa kihivyo kisa wamepoteza game Mbili.
Mwaka juzi simba alipoteza game mbili kwa vipigo vya hatari Congo akala hamsa na mjini Cairo akala hamsa na watu wote tulijua ule ndio ulikua mwisho wa simba lakini mnyama akatinga robo fainali na huo ndio mpira sometimes umdhaniaye kumbe sio
NB: wale jamaa wasudani mechi yao inayofata wanashinda ila sijui wanakutana na timu gani
Mzee! Simba kilichompitisha ule msimu wa hamsa hamsa ni kushinda mechi za home sasa huyu msudani hadi game za home anafungwa
 
Ulivyocomment ndio unajiona una akili.
Wachezaji wa simba unaweza kulinganisha na kina sarmpong na nchimbi, huyo Morison mnayemuitishia vikao kila siku mechi za kimataifa simba anakaa benchi tafuteni quality player ndio uje hapa ubishane au umesahau mapovu yalivyokuwa yanakutoka kabla ya mechi.
Dah! Kweli wewe ni zombie hao wakina sarmpong na Nchimbi wanatoka wapi tena mbona povu Kali sana brother.
 
Hakuna timu yenye washabiki mazombi kama simba.

Yahani mashabiki wa simba ukitaka wafurai wape sifa ambazo hata hawana sababu wanafurai sana wanaposikia timu yao ikipewa sifa za uongo, mfano waambie kwa hii simba ata aje Barcelona hatoki, konde Boy ni zaidi ya mesi, mwaka huu simba inatinga fainali club bigwa ya Africa.

Hapo walipo wako hatua ya makundi na ukiangalia kwenye kundi lao licha ya kua simba anaongoza kundi lakini ukweli ni kwamba kila timu bado ina nafsi ya kutinga robo fainali, hivyo wanasimba msianze tukana mamba wakati hamjavuka mto hii ni football sometimes hua hina surprise za kutisha tusije tukakimbiana humu.
Wewe uto rudi kajifunze mwandiko kwanza.
 
Hakuna timu yenye washabiki mazombi kama simba.

Yahani mashabiki wa simba ukitaka wafurai wape sifa ambazo hata hawana sababu wanafurai sana wanaposikia timu yao ikipewa sifa za uongo, mfano waambie kwa hii simba ata aje Barcelona hatoki, konde Boy ni zaidi ya mesi, mwaka huu simba inatinga fainali club bigwa ya Africa.

Hapo walipo wako hatua ya makundi na ukiangalia kwenye kundi lao licha ya kuwa simba anaongoza kundi lakini ukweli ni kwamba kila timu bado ina nafsi ya kutinga robo fainali. Hivyo wanasimba msianze tukana mamba wakati hamjavuka mto hii ni football sometimes hua hina surprise za kutisha tusije tukakimbiana humu.
Member kwa nini kwanza usingefanya hata swahili course? Maana hueleweki kabisa
 
Mpira ni uhawi! Angalia wachezaji 11 , ni kwa nini isiwe no ingine? Hiyo no ni Dili katika ulimwengu wa roho
 
Hakuna timu yenye washabiki mazombi kama simba.

Yahani mashabiki wa simba ukitaka wafurai wape sifa ambazo hata hawana sababu wanafurai sana wanaposikia timu yao ikipewa sifa za uongo, mfano waambie kwa hii simba ata aje Barcelona hatoki, konde Boy ni zaidi ya mesi, mwaka huu simba inatinga fainali club bigwa ya Africa.

Hapo walipo wako hatua ya makundi na ukiangalia kwenye kundi lao licha ya kuwa simba anaongoza kundi lakini ukweli ni kwamba kila timu bado ina nafsi ya kutinga robo fainali. Hivyo wanasimba msianze tukana mamba wakati hamjavuka mto hii ni football sometimes hua hina surprise za kutisha tusije tukakimbiana humu.
Hivi unafikiria kwa kutumia nini ndugu? Yaani unawashangaa mashabiki wa simba na kuwaita mazombi kwa vile tu wana matumaini ya kufika fainali, yaani wewe unaona simba kufika fainali haiwezekani, halafu hapo hapo unasema mpira una matokeo ya kushangaza simba wasijipe matumaini ya kuvuka Makundi.

Sasa hayo matokeo ya kushangaza hayawezi kutokea kwa simba hatua za robo na nusu na kutinga fainal? Nani kakuambia matokeo kwa simba hayatakuwepo ya kushangaza na yakiwepo yatakuwa against simba? Sasa huoni hapo wewe ndio zombi?
 
Simba wamejitaidi, lakini mimi nachokiona ni kwa mashabiki wamekua na matarajio makubwa sana kwa mfano bahada ya kupata ushindi kwa as vita na mwarabu wanasimba wanaona kama wamemaliza kazi, mpaka kuna bahadhi walishaanza kupanga robo fainali watakutana na timu gani, wanasahau kua huu ni mpira sometimes hua unakuja na comeback za kushangaza.
Utopolo bhana, bahadhi .... Baadhi
bahada..... Baada!
 
Simba wamejitaidi, lakini mimi nachokiona ni kwa mashabiki wamekua na matarajio makubwa sana kwa mfano bahada ya kupata ushindi kwa as vita na mwarabu wanasimba wanaona kama wamemaliza kazi, mpaka kuna bahadhi walishaanza kupanga robo fainali watakutana na timu gani, wanasahau kua huu ni mpira sometimes hua unakuja na comeback za kushangaza.
Usipate shida kwani ukimaliza hatua hii si robo final kk? So si haba mtu kuwa na mipango ya juuu km hiyo

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna timu yenye washabiki mazombi kama simba.

Yahani mashabiki wa simba ukitaka wafurai wape sifa ambazo hata hawana sababu wanafurai sana wanaposikia timu yao ikipewa sifa za uongo, mfano waambie kwa hii simba ata aje Barcelona hatoki, konde Boy ni zaidi ya mesi, mwaka huu simba inatinga fainali club bigwa ya Africa.

Hapo walipo wako hatua ya makundi na ukiangalia kwenye kundi lao licha ya kuwa simba anaongoza kundi lakini ukweli ni kwamba kila timu bado ina nafsi ya kutinga robo fainali. Hivyo wanasimba msianze tukana mamba wakati hamjavuka mto hii ni football sometimes hua hina surprise za kutisha tusije tukakimbiana humu.

Utopolo utateseka sana!
Kwa upande wa mashabiki hivi kuna mazwazwa kama ya utopolo?
Just imagine huu uzwazwa mlioufanya hapa
IMG_5266.jpg

Mnajiona mlifanya bonge la ujanja[emoji196][emoji196][emoji196]
 
Hivi unafikiria kwa kutumia nini ndugu? Yaani unawashangaa mashabiki wa simba na kuwaita mazombi kwa vile tu wana matumaini ya kufika fainali, yaani wewe unaona simba kufika fainali haiwezekani, halafu hapo hapo unasema mpira una matokeo ya kushangaza simba wasijipe matumaini ya kuvuka Makundi.

Sasa hayo matokeo ya kushangaza hayawezi kutokea kwa simba hatua za robo na nusu na kutinga fainal? Nani kakuambia matokeo kwa simba hayatakuwepo ya kushangaza na yakiwepo yatakuwa against simba? Sasa huoni hapo wewe ndio zombi?
Kama Una akili za kizombi uwezi kunielewa nilichosema Mimi sio kwamba simba awezi kufika robot final hata final
Mimi nawapa tu taarifa usitukane mamba wakati bado ujavuka mto kwani mashabiki wengi wasimba baada ya kuwafunga waarabu wanadhani ndio wamemaliza kazi wakati kwenye hilo kundi bado kila timu ina nafasi ya kutinga robo fainali
 
Hilo jina nalo ulilikosea ukitaka andika california. Watu wanakujali ndo maana wanakufundisha bwana mdogo. Usishupaze shingo...
huna jipya unafikiri hiyo user name imekosewa,hivyo ndio ilivyo na akuna aliyekosea kama utaki kashitaki kwa manara
 
Kama Una akili za kizombi uwezi kunielewa nilichosema Mimi sio kwamba simba awezi kufika robot final hata final
Mimi nawapa tu taarifa usitukane mamba wakati bado ujavuka mto kwani mashabiki wengi wasimba baada ya kuwafunga waarabu wanadhani ndio wamemaliza kazi wakati kwenye hilo kundi bado kila timu ina nafasi ya kutinga robo fainali
Wewe mwenyewe umesema mashabiki wa simba wanapenda kuambiwa uongo kama vile kufika fainal, ila sasa unakataa kwamba hujasema simba haiwezi kufika fainal? Au hujasoma ulichoandika bwana utopolo? Halafu unaposema 'mashabiki wengi wa simba' kwa ushahidi gani ulio nao kwamba ni 'wengi'wanaamini simba ishafuzu? Huoni kwamba unatumia hisia za kiutopolo? Mambo ya mamba sijui mto ni ya walioshindwa kama timu lako bovu la utopolo unaloshabikia.
 
Back
Top Bottom