Uchawi wa wanawake ni gari, sitosahau gari yangu ya kwanza ilivyogeuka kuwa sumaku ya kuwatumia hadi kuwakinai, Gari! Gari! Gari!



Nifah ain't a chick contrary to how many of you think of her, she's already way past that, don't let her avatar fool you, she a 80s aunt and very matured,

ashapita hizo age za vitu tunavyoongelea.
 
Unaowazungumzia wewe sio wanazingumziwa humu usiishi kwa kukariri kwamba 1+1=2 kuna sehemu utaambiwa 1+1=11 na itakubidi ukubariane na maelezo
 
Upo matured Sana
 
Nafikiri kuna point ambayo bado hamjaielewa.
Kwangu mimi gari sio kielelezo cha ukwasi, mwanaume nitamheshimu zaidi kama ana nyumba zake za kutosha, hata moja sio mbaya, viwanja na vinginevyo ila sio gari huku akiwa hana lolote zaidi ya kuwaza kuwazuzua wanawake na gari.

Mwanaume mwenye akili ya gari/magari kabla ya mambo mengine sio. Ndio hao kama mleta mada hapa.

Vinginevyo, mimi kama mwanamke mwenye wivu mpenzi wangu akiwa na gari sina amani kusema za ukweli, ni bora tupande Bolt tukitoka out zetu 🤣🤣🤣
 
Hao wanaozuzuka na magari ni wale ambao hawajayazoea na wamezaliwa home hakuna magari..!!
 
Uko sahihi..
Mimi bwana ulevi wa magari sijui ulinikosa kosa vipi. Sijui ni kwasababu nimekuja kuwa intouch na hiv vitu wakat tayar nishazoea maisha ya kawaida au???.

Kuna hiyo siku moja ndio huwa najicheka mpaka kesho, nilisahau gari ofisini nimekuja kukumbuka tayari nakaribia nyumbani 😂😂
 
njoo basi tuufurahie Ulimwengu pamoja... japo nina kapikipiki🤭🤭🤭🤭
 
Niffah kwanza nikusalimie Shikamoo maana najua wewe Dada yetu hata kwa tulio na 35.

Wanawake wa age yenu tayari mnakuwa mna exposure ya maisha na matured mentality ya kuangalia maono mrefu kuzidi mafupi ndio maana sishangai magari haywazuzui tena, ni kwamba kuna umri ukipita huwa unapita na mambo yake, wewe ushapita huko.

Na sisi hayo mambo tulishayapita, tupo bize na kuangalia long term relationships hata kama ni michepuko sio tena one night stands.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…