Uchawi wa wanawake ni gari, sitosahau gari yangu ya kwanza ilivyogeuka kuwa sumaku ya kuwatumia hadi kuwakinai, Gari! Gari! Gari!

Uchawi wa wanawake ni gari, sitosahau gari yangu ya kwanza ilivyogeuka kuwa sumaku ya kuwatumia hadi kuwakinai, Gari! Gari! Gari!

Nifah bwana umenichekesha sana na ghafla umenifanya nimkumbuke jamaa angu mmoja wa high school alikua pcm anaitwa Jeremiah, yeye hakua akipenda kabisaa kuegemea upande wa walio wengi. Akiona weng mmechagua huku yeye anachagua kulee hata kama kiuhalisia alikua anapenda kule kwingine. He always wanted to be unique or favoured the minority.

Kwahiyo wewe hupend mwenye ukwasi kama magar.
Japo ni mentality nzuri though


Nifah ain't a chick contrary to how many of you think of her, she's already way past that, don't let her avatar fool you, she a 80s aunt and very matured,

ashapita hizo age za vitu tunavyoongelea.
 
kakangu ana mabinti zake wameshafika chuo, kawanunulia magari kila mmoja. na amewawekea bili ya mafuta pia. nadhani hapo ndipo tunatofautiana, wengine magari wameyapata miaka 5 baada ya kuajiriwa, wakati mwingine wamezaliwa wanayaona nyumbani, wamefika 18 wametafutiwa leseni walikuwa wanaendesha kwenda sokoni na walipoenda chuo wazazi wao wamewanunuliwa. wakati wewe alichoki toka mwanza huko unasugua barabara hadi uje uajiriwe tena ukae miaka kadhaa mshahara wako uongezeke then ukopee hakohako kamshahara ununue gari. hao ndio huyu aliyeleta mada.

kuna siku kuna mdada fulani wa ofisini hapahapa DSM aliomba tumsogeze nyumbani kwao kwasababu siku hiyo hakuja na gari. ni mtu anajishusha huwezi amini kama sio maskini, tukampakia tukaseme tumpitishe kwao, wapi? nikashangaa anatuelekeza tuelekee Masaki duh, tulienda kumshusha kwenye nyumba hiyo, naomba niishie hapa nisiendelee kusema, nilibaki mdomo wazi. familia ambayo kale kagari ka ofisi yetu wanaweza kununua hata 20 huko. sikuongea kitu ila hata nikikutana naye huwa namwangalia tu kwa kumchungulia manake sisi wengine wachaga nafikiri unajua maisha yetu ni ya kimara, sinza huko na tunajifanya tuna maisha mazuri, nilipelekwa sehemu ambao imetuliaaaaa kama maji ya mtungi. pale hadi ubongo lazima utulie aisee. vijana tutafute hela mabinti zetu wasiliwe kimasihara.
Unaowazungumzia wewe sio wanazingumziwa humu usiishi kwa kukariri kwamba 1+1=2 kuna sehemu utaambiwa 1+1=11 na itakubidi ukubariane na maelezo
 
Katika wanawake ambao hawapendi magari mimi naongoza. Sio kila mwanamke ana ushamba wa magari jamani.

Basi tu sina namna ila natamani sana yule ninayempenda asiwe na gari. Tuishi maisha ya kawaida kabisa maana mentality za wanaume wengi wenye magari ndio kama hizi… wanawake.
Maisha ya roho juu siyawezi.
Upo matured Sana
 
Nifah bwana umenichekesha sana na ghafla umenifanya nimkumbuke jamaa angu mmoja wa high school alikua pcm anaitwa Jeremiah, yeye hakua akipenda kabisaa kuegemea upande wa walio wengi. Akiona weng mmechagua huku yeye anachagua kulee hata kama kiuhalisia alikua anapenda kule kwingine. He always wanted to be unique or favoured the minority.

Kwahiyo wewe hupend mwenye ukwasi kama magar.
Japo ni mentality nzuri though
Nafikiri kuna point ambayo bado hamjaielewa.
Kwangu mimi gari sio kielelezo cha ukwasi, mwanaume nitamheshimu zaidi kama ana nyumba zake za kutosha, hata moja sio mbaya, viwanja na vinginevyo ila sio gari huku akiwa hana lolote zaidi ya kuwaza kuwazuzua wanawake na gari.

Mwanaume mwenye akili ya gari/magari kabla ya mambo mengine sio. Ndio hao kama mleta mada hapa.

Vinginevyo, mimi kama mwanamke mwenye wivu mpenzi wangu akiwa na gari sina amani kusema za ukweli, ni bora tupande Bolt tukitoka out zetu 🤣🤣🤣
 
Hao wanaozuzuka na magari ni wale ambao hawajayazoea na wamezaliwa home hakuna magari..!!
 
Mwanaume mwenye akili ya gari/magari kabla ya mambo mengine sio. Ndio hao kama mleta mada hapa.

Vinginevyo, mimi kama mwanamke mwenye wivu mpenzi wangu akiwa na gari sina amani kusema za ukweli, ni bora tupande Bolt tukitoka out zetu 🤣🤣🤣
Uko sahihi..
Mimi bwana ulevi wa magari sijui ulinikosa kosa vipi. Sijui ni kwasababu nimekuja kuwa intouch na hiv vitu wakat tayar nishazoea maisha ya kawaida au???.

Kuna hiyo siku moja ndio huwa najicheka mpaka kesho, nilisahau gari ofisini nimekuja kukumbuka tayari nakaribia nyumbani 😂😂
 
Katika wanawake ambao hawapendi magari mimi naongoza. Sio kila mwanamke ana ushamba wa magari jamani.

Basi tu sina namna ila natamani sana yule ninayempenda asiwe na gari. Tuishi maisha ya kawaida kabisa maana mentality za wanaume wengi wenye magari ndio kama hizi… wanawake.
Maisha ya roho juu siyawezi.
njoo basi tuufurahie Ulimwengu pamoja... japo nina kapikipiki🤭🤭🤭🤭
 
Nafikiri kuna point ambayo bado hamjaielewa.
Kwangu mimi gari sio kielelezo cha ukwasi, mwanaume nitamheshimu zaidi kama ana nyumba zake za kutosha, hata moja sio mbaya, viwanja na vinginevyo ila sio gari huku akiwa hana lolote zaidi ya kuwaza kuwazuzua wanawake na gari.

Mwanaume mwenye akili ya gari/magari kabla ya mambo mengine sio. Ndio hao kama mleta mada hapa.

Vinginevyo, mimi kama mwanamke mwenye wivu mpenzi wangu akiwa na gari sina amani kusema za ukweli, ni bora tupande Bolt tukitoka out zetu 🤣🤣🤣
Niffah kwanza nikusalimie Shikamoo maana najua wewe Dada yetu hata kwa tulio na 35.

Wanawake wa age yenu tayari mnakuwa mna exposure ya maisha na matured mentality ya kuangalia maono mrefu kuzidi mafupi ndio maana sishangai magari haywazuzui tena, ni kwamba kuna umri ukipita huwa unapita na mambo yake, wewe ushapita huko.

Na sisi hayo mambo tulishayapita, tupo bize na kuangalia long term relationships hata kama ni michepuko sio tena one night stands.
 
Back
Top Bottom