Uchawi wa wanawake ni gari, sitosahau gari yangu ya kwanza ilivyogeuka kuwa sumaku ya kuwatumia hadi kuwakinai, Gari! Gari! Gari!

Watachezewa Sana Kwa Namna Hiyo.
Shida ya kuzaliwa familia maskini zisizo na magari anaonyesha wazi kazaliwa familia ya maskini huyo mleta mada gari kalipatia ukubwani wakati watoti wa matajiri gari Kwao ni kama Doli tu wameanza kuyatumia Toka wakiwa wachanga
 
Pole mleta mada, sikuhizi tunamiliki gari kali kuliko hata nyie wanaume, kwa hiyo ukishi kwa kigezo cha gari utawapata wasiojielewa wanaobabaika na
magari

Zama zimebadilika sana, wanawake wanapambana kuwa namaisha mazuri ambayo sio tegemezi kwa sababu ya mentality kama yako
 
Yeah!...kwenye Uzi wako Kuna chembechembe nyingi za ukweli....Ila kuna baadhi ya Siri za Kambi umeuza mkuu!😅😄😄🙌
 
Ukizungumzia Toyota be specific ni Toyota gani,kuna Toyota century unaifahamu?
 
Ngoja nikupakie kwenye toyota century yangu,halafu tuone kama hutapenda
 
Mimi nilimkosa mdada wa maana kabisa kisa kuwa na gari, anasema angependa tuanze chini wote, nilishangaa sana

Kwahiyo mleta mada, huo mkweche wako utakukosesha dhahabu za maana huko ukichekelea kubeba mawe.
Chini ya kila mtu inategemea,chini ya mtoto wa bakhresa sio chini yangu
 
Unanifaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…