Uchebe afikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kumshambulia Shilole

Sahv uchebe azipuzie media maana naye kutwa kuhojiwa, dem anataka kumkomoa amsweke Ndani asijisikie burdan

Ova
 
Ikifika hatua unamwambia mwanamke neno hatii, mpaka unampiga, my dear brother, uncle, father, katafute atakae kusikiliza na kukuheshimu.
Mwanamke akikupenda na kukuheshimu, atakutii. Ukiona heshima yake kwako unaipambania, hakuamkii mpaka umwambie kama mtoto mdogo, "wewe mbona huniamkii", anakuongelea shit, hakushirikishi tena mambo yake, kula kona bro, wanawake dunia hii wapo rundo, ukifeli kupata wa maana nicheki nitakuunga kwa wife material wa kila rika. Usimpige mwanamke, utafungwa bro.
 
serikali somtimes mna kiherehere ?
sasa kama aliyepigwa hajashtaki nyie yanawahusu nini ? au kesi zimeisha ?
 
karma is a bitch. kipindi anampiga Nuhu mziwanda hadharani yeye alichekelea tu. kipigo kimemrejea yeye na anajikuta nunda kushtaki mahakamani. huyu dada ange rewind kumbukumbu zake angejisikia aibu sana kwa kumpiga kofi nuhu.
 
Polisi wamefanyia kazi mambo ya mitandaoni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…