Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Pia juzi kati Gigy kamtandika bwana ake hadharani tena kwa viatu vyenye ncha kali.Mbona Shilole alikuwa anampiga sana Nuhu Mziwanda? Hizi Sheria za kukandamiza wanaume zitaleta chuki na mpasuko kwenye jamii
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Ikifika hatua unamwambia mwanamke neno hatii, mpaka unampiga, my dear brother, uncle, father, katafute atakae kusikiliza na kukuheshimu.
Mwanamke akikupenda na kukuheshimu, atakutii. Ukiona heshima yake kwako unaipambania, hakuamkii mpaka umwambie kama mtoto mdogo, "wewe mbona huniamkii", anakuongelea shit, hakushirikishi tena mambo yake, kula kona bro, wanawake dunia hii wapo rundo, ukifeli kupata wa maana nicheki nitakuunga kwa wife material wa kila rika. Usimpige mwanamke, utafungwa bro.
Kumbe hata Barnaba alishawahi kujiweka hapo.Kabla ya Nuhu alikuwepo Barnaba.
Mama hachagui habagui yule.Kumbe hata Barnaba alishawahi kujiweka hapo.
Uchebe bhana, yeye angesepa tuu na bag lake kumpiga mtu mzima hakumfunzi lolote .....Uchebe usihofu haya yatapita tu, stay strong
Jamhuri na shaidi namba moja ni mjeruhiwaNani kamshitaki
Mkuu kakutana na uzito wa juu kwenye mpambano baina yaoMbona Shilole alikuwa anampiga sana Nuhu Mziwanda? Hizi Sheria za kukandamiza wanaume zitaleta chuki na mpasuko kwenye jamii
Mama huruma.Mama hachagui habagui yule.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji2960][emoji2960][emoji2960]nimecheka sanaPia juzi kati Gigy kamtandika bwana ake hadharani tena kwa viatu vyenye ncha kali.
...πππ..Ccm tena? Ina maana Uchebe ni mpinzani?CCM wameamua kumbeba Shilole sababu ni mtu wao, Mungu amtetee Uchebe ashinde hili shauri...
Hata kama CCM Hana maslahi kwenye Chama....[emoji849][emoji849][emoji849]..Ccm tena? Ina maana Uchebe ni mpinzani?
Hili ndio neno, jamaa hapo alikuwa bwege,kutwa mitandaon, ana fame gani sasa akae huko, anajiharibia tu.Sahv uchebe azipuzie media maana naye kutwa kuhojiwa, dem anataka kumkomoa amsweke Ndani asijisikie burdan
Ova
Ukiwa huna hela gongs mbuye Sana ukianza kuishia viwili just umekaribia kupugwaIkifika hatua unamwambia mwanamke neno hatii, mpaka unampiga, my dear brother, uncle, father, katafute atakae kusikiliza na kukuheshimu.
Mwanamke akikupenda na kukuheshimu, atakutii. Ukiona heshima yake kwako unaipambania, hakuamkii mpaka umwambie kama mtoto mdogo, "wewe mbona huniamkii", anakuongelea shit, hakushirikishi tena mambo yake, kula kona bro, wanawake dunia hii wapo rundo, ukifeli kupata wa maana nicheki nitakuunga kwa wife material wa kila rika. Usimpige mwanamke, utafungwa bro.
Soma kwa sauti ulichoandikaUkiwa huna hela gongs mbuye Sana ukianza kuishia viwili just umekaribia kupugwa