Uchebe afikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kumshambulia Shilole

Uchebe afikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kumshambulia Shilole

Ikifika hatua unamwambia mwanamke neno hatii, mpaka unampiga, my dear brother, uncle, father, katafute atakae kusikiliza na kukuheshimu.
Mwanamke akikupenda na kukuheshimu, atakutii. Ukiona heshima yake kwako unaipambania, hakuamkii mpaka umwambie kama mtoto mdogo, "wewe mbona huniamkii", anakuongelea shit, hakushirikishi tena mambo yake, kula kona bro, wanawake dunia hii wapo rundo, ukifeli kupata wa maana nicheki nitakuunga kwa wife material wa kila rika. Usimpige mwanamke, utafungwa bro.
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Sahv uchebe azipuzie media maana naye kutwa kuhojiwa, dem anataka kumkomoa amsweke Ndani asijisikie burdan

Ova
Hili ndio neno, jamaa hapo alikuwa bwege,kutwa mitandaon, ana fame gani sasa akae huko, anajiharibia tu.
 
Ikifika hatua unamwambia mwanamke neno hatii, mpaka unampiga, my dear brother, uncle, father, katafute atakae kusikiliza na kukuheshimu.
Mwanamke akikupenda na kukuheshimu, atakutii. Ukiona heshima yake kwako unaipambania, hakuamkii mpaka umwambie kama mtoto mdogo, "wewe mbona huniamkii", anakuongelea shit, hakushirikishi tena mambo yake, kula kona bro, wanawake dunia hii wapo rundo, ukifeli kupata wa maana nicheki nitakuunga kwa wife material wa kila rika. Usimpige mwanamke, utafungwa bro.
Ukiwa huna hela gongs mbuye Sana ukianza kuishia viwili just umekaribia kupugwa
 
Yaani humu watu hawapo serious kabisa, nimepitia comments nimecheka sana. Aisee acheni hizo mwenzenu ana kesi mahakamani
 
Back
Top Bottom