Uchebe: Nimefurahi Zuwena kukubali kunizalia, namuomba aendelee kuchapa kazi tusikose hela ya kula

ID fake hiyo, hakuna mtu anaweza kuandika kwenye mtandao kuwa mke wake alitaka kutoa mimba.

unaweza kufanya jambo ili mtu fulani aonekane mjinga kumbe wewe ndiyo unaonekana mjinga.
 
watu wa dar washamba kweli kweli.
 
Yy kujibidisha hataki anamwambia mke akazane kazi kweli kweli siku akichapiwa asije lalamika coz ndio anamtuma
 
Mbona shishi ana tag kwa uchebe na siyo uchebe 1
 
Yani unalazimisha na kuomba sana mke wako asiitoe mimba!!...Hii ni mpya kwakweli!..
 
Na mimi Mama Gaude wangu inabidi apige kazi ili mumewe nisikose hela za bia. Unajua Kombe la Dunia linachezwa mwaka huu? Bila kula bia Kombe la Dunia halinogi kabisa, linakuwa kama Kombe la Mbuzi tu.
Hivi ni mwezi wa ngapi linaanza?Natesekaga jamani kukesha!!
 
Kumuoa shilole inahitaji ujasiri zaidi ya kwenda kutupa takataka geti la ikulu au kumu-overtake mlala nje akitokea wazo na magari manne
 
Mnalalamika watu wanawaonea oneni sasa nini hiki!? Kweli kidume anamwambia mkewe ahustle kwa bidii ili wasije kosa hela!? You hoes ain't loyal kabisa!

Oneni akili za wanaume wa Dar!

HIYO ACCOUNT NI FAKE, REAL ACCOUNT NI @uchebe1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…