KERO Ucheleweshwaji wa malipo ya 'Booms' unakwamisha shughuli za Wanafunzi wa Chuo

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Vyuoni hamjui wajibu wenu mnasibiri asante kutoka kwa serekali, nyie kama wasomi lini mmekaa kuzungumzia yatokeayo nchini mpo mpo tu kama firigisi ya binadam
 
Mkuu wachuo cha udsm si juzi tu hapa ametamba kwamba mama mitano tena
 
Kijana hamna mwaka HESLB washakuwa serious ww pambana tu uone namna ya kutoboa kulia lia haisaidii.
Nakumbuka 2017 nipo 4th year Ardhi na Ada sijamalizia imebaki wiki nifanye final dessertation presentation ilibidi nifanye dili haramu mno kupata ile hela.(Niliowapiga Pc naamini walinisamehe)
Haya maisha
 
Mama e zao Heslb wanataka vijana waibe na wengine wauze chini ili walipe ada bila hivyo dirisha linafungwa njoo mwakani
 
Crdb wana account ya scholar ile unaweza kopeshwa boom ukisubiri hela iingie.
 
Sasa kujitapa kote kule kuwa Kuna mabilioni kadhaa washayapanga, kama hawana pesa si waseme tu wanafunzi wajue moja na siyo kuwaacha na dilemma.
 
Sasa kujitapa kote kule kuwa Kuna mabilioni kadhaa washayapanga, kama hawana pesa si waseme tu wanafunzi wajue moja na siyo kuwaacha na dilemma.
Waongo ni siasa tu.mwenye boom shida ambae ana boom shida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…