...
By Mag3 
Mwisho nina ombi kwa jukwaa (hii ni JF)...imeonekana kitabu/vitabu alivyoandika Mohamed Said havina ukweli na kama upo ni asilimia kidogo sana, sasa tusiishie hapa...tuende next step...wapotoshaji kama yeye adhabu yao ipo. Their works have to be discredited as academic dishonesty...a deliberate attempt to falsify, fabricate data, records, or information. Taasisi, Waandishi na wachapishaji wote aliowawekea maneno mdomoni kwa nukuu zisizo sahihi, juhudi zifanyike wajulishwe hatua ziweze kuchukuliwa. Nawapa changamoto wana JF.
By Pasco 
.......Kwa vile kitabu kiko published kwa miaka 15 sasa na kinasomwa kote, its about time ukweli halisi uandikiwe kitabu na kum denounce rasm Maalim Mahamed Said kama muongo, mzushi na mpotoshaji!, na hiyo truth ipelekwe kule kule alikopeleka uwongo na uzushi wake ili uwe scraped off toka katika literacy books!.
Pasco.
...
Mkuu Nguruvi3, kiukweli andiko la Mohamed Said ni Changamoto!, kuandika kitabu ni changamoto!.
Mara baada ya kifo cha Regia, baadhi ya wana jf, tulikutana pale British Council na tukaazimia kumuenzi kwa kuchapisha kitabu cha aliyoyapigania!. Hapo ndipo ilipozaliwa RMF.
Juzi wakati tunaadhimisha mwaka 1 wa kifo chake, nikitegemea kitabu kitazinduliwa, ndipo nikaelezwa na Mkuu Sanctus Mtsimbe, kitabu kimekwama kwa sababu hakuna funds, ilihitajika TZS 2,000,000 kuchapisha nakala 1000 za kwanza!.
Kiukweli nilisikitika na kujijutia nafsi yangu kwa sababu mimi ni mmoja wa wahusika, kama nilispend six figure kwenye msiba hadi mashishi, na kila mwaka ninaspend six figure as direct contri to support jf, tumeshindwaje ku raise TZS 2,000,000 ndani ya mwaka mzima!. Niliumia na kama mmoja wa waendeshaji wa kumbukumbu ile, niliiniate harambee na pale pale zilipatikana zaidi ya TZS 2,000,000!.
Hivyo hili suala na kuandika historia ya kweli, tukiamua, tunaweza!.
Nashauri, kwa vile Maalim Mohamed Said was "a man with a mission", na ame acomplish his mission for the past 15 years, tusiendelee kumbana humu, haisaidii zaidi ya kurefusha tuu huu mnakasha, lets be serious and do something positive as a counter measure!.
Kwa kuanzia liandaliwe tuu andiko dogo lenye kicha cha habari
Uwongo, Uzushi, Uchochezi na Upotoshaji wa Mohamed Said Dhidi ya Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere.
Humo tuweke ile mistari ya uwongo na ushushi ya Mhamed Saidi along side ukweli halisi wa mambo kama hatua ya awali ya kumfunga mdomo, asiendelee kupotosha humu, ili upotoshaji na uchochezi wake aendelee nao huko kwenye mihadhara, not jf, not anymore!.
Pasco.