Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar


si huyo tuh,yupo pia mzee mwanakijiji,hao wote ni watu tuliokawa tunawaheshim sana,lakini tumekuja kushangazwa na chuki zao za kidini pale walipozionesha wazi wazi katika mjadala huu,sasa sijajua nia ya mjadala huu ni kutambiana kiimani au kuhoji kuhusu historia inayofichuliwa na ndugu moh said?
Wanashangaza sana hao jamaa.
 
[QUOTEL=Yericko Nyerere;5557757]Si mimi tu bali wewe na Mohamed twaweza kushiriki vema katika haya!

FUTA KWANZA NENO NGANO KATIKA MATAMKO YAKO,,,
KAMA UNATAMBUA UMUHIM WAKE NA UNAHITAJI MCHANGO WAKE USINGEANZA KUBEZA KWANZA,
LILE SWALI LILILOHOJI YA KWAMBA UNA UHUSIANO GANI NA NYERERE BADO HUJAJIBU YERICKO NDUGU YANGU,
TUNAOMBA JIBU.[/QUOTE]

Siwezi kufuta kwakuwa NGANO zake bado zinasimama pale pale na sasa zimedhihirika rasmi baada ya mimi na wadu wengine kufanikiwa kuueleza umma wa waswahili na walimwengu wengine kuwa NGANO za Mohamed Said sio historia ya Watanzania wote bali ni ngano za wazee wake tu na chiki yake dhidi ya Hayati Baba wa Taifa hili!
 
Kituko,
Haya maneno ya Nyerere "Baada ya miezi 13, hapo 1954 tukaanzisha TANU. Jina hili lilipendekwezwa na kina Abbul Sykes. Walikuwa wamefikiria tangu zamani, walipokuwa askari Vitani huko Burma (Vita vya pili)"

Mwaka 1945 mkesho wa Krismas Abdulwahid na James Mkande, mdogo wake Ally pamoja na askari wengine walifafanya makubaliano ya kuunda chama hapo wametoka Chitangong wakielekea Imphal, Burma.

Kwa ufupi mimi nayajua hayo kama kuna mwingine anajau chochote basi tuzidi kujifunza.
 
Last edited by a moderator:
Maswali yako hayana tija. Nilifikiri unaleta hoja kuwa hiki ulichoandika siyo sahihi na sahihi ni hiki hapa. Wewe utamjuwa Abdul Wahid kuliko MS? Usitake kuleta viroja.
Hapo humsaidii chochote huyo mzee wenu hasidi na mchochezi, unazidi kumfanya aonekane kituko na husuda zake!
 

LAHAULAA..!
HIVI UMEKIONA ULICHOKIANDIKA?
YAN KWAMBA KUASISI NI KUONGOZA KWA MARA YA KWANZA KUNDI LENYE MALENGO FULANI?NI KWELI?
MFANO WATU WAPO KWENYE MCHAKATO WA KUANZISHA NGOs FLANI,KISHA BAADA YA KUKAMILISHA KILA KITU MWISHONI IKATOKEA WAKAMPATA MTU AMBAE WAO WANAONA NI ANAFAA KUWA MWAKILISHI AMA MSEMAJI WAO KWA NIABA YAO,NDIO UNATAKA KUTUAMINISHA YA KWAMBA HUYO MKARIBISHWA MWISHONI, ETI KWA KUWA TU NDIYE ALIKUWA KIONGOZI WA KWANZA WA NGOs HIYO BASI HUSTAHIKI KUITWA MUASISI MKUU?
CHUTAMA YERICKO..
 
Unafadhaishwa na unachokiita matusi, lakini madhara ya uchochezi wako hayo huyaoni? amakweli huna aibu mzee muovu wewe!
 
FUTA KWANZA NENO NGANO KATIKA MATAMKO YAKO,,,
KAMA UNATAMBUA UMUHIM WAKE NA UNAHITAJI MCHANGO WAKE USINGEANZA KUBEZA KWANZA,
LILE SWALI LILILOHOJI YA KWAMBA UNA UHUSIANO GANI NA NYERERE BADO HUJAJIBU YERICKO NDUGU YANGU,
TUNAOMBA JIBU.

Siwezi kufuta kwakuwa NGANO zake bado zinasimama pale pale na sasa zimedhihirika rasmi baada ya mimi na wadu wengine kufanikiwa kuueleza umma wa waswahili na walimwengu wengine kuwa NGANO za Mohamed Said sio historia ya Watanzania wote bali ni ngano za wazee wake tu na chiki yake dhidi ya Hayati Baba wa Taifa hili![/QUOTE]

ANYWAY,WEWE NI NDUGU YANGU,UTABAKIA KUWA NDUGU YANGU,SIWEZ KUKULAZIMISHA WALA KUKUSHIKIA BAKORA KWA KITU ULICHOKIGANDISHA AKILINI MWAKO KWA MAKUSUDI,
HILO SWALI LA PILI BADO UNALIKWEPA,
UNA MAHUSIANO GANI NA HAYATI JULIUS NYERERE??
TUNAOMBA JIBU TAFADHALI.
 
Kumbe hayo ndiyo yanayokufanya umchukie Nyerere!
 
Hapo humsaidii chochote huyo mzee wenu hasidi na mchochezi, unazidi kumfanya aonekane kituko na husuda zake!

Unaweza kututajia wanachama 20 wa mwanzo wa TANU. Unamjua Clement Mtamila alikuwa nani kwenye TANU.
 
Hivi umemesoma vizuri kituko alichokuuliza? Ungesema tu ndiyo au hapana...
By Kituko


sipati picha unaposema Nyerere sio Mwasisi wa TANU, au una Maaana sio mwasisi wa JINA TANU?
Hapa chini ni bandiko la Mohamed Said
Au ulikuwa una maana ya muasisi wa 'wa jina TANU' kama alivyosema kituko?
 

Kaka Ritz,
Hakuna anayekataa hilo hata Nyerere naye alikuwa na Chama chake pale Makerere kabla ya kukivunja na kuwa tawi la TAA

mimi ninachopinga ni kwa wewe kusema Nyerere hakuwa mwasisi wa TANU, sio wote waasisi wa CCM ndio waliobuni hilo jina, jina lilibuniwa na wachache lakini waasissi wa chama ni wengi, same na TANU, Nyerere, Rupia, Syskes na wengine walikuwa waasisisi wa TANU na ndio maana kadi ya Nyerere ni namba moja kwa kuthibitisha hilo, Nyerere ni mwasisi wa TANU lakini si mwasisi wa hilo jina, majina yalikuwa mengi mezani na yalibuniwa na watu mbalimbali lakini jina lililopita ni hilo la TANU
 
Unaweza kututajia wanachama 20 wa mwanzo wa TANU. Unamjua Clement Mtamila alikuwa nani kwenye TANU.
Hii itasidiaje kufuta uovu na uzandiki wa mzee wenu Mohamedi Saidi dhidi ya vijana wa kiislam?
 

Unachokosa ni hapo kwenye ubinafsi/uboramimi unaposema mkaribishwa!

Mwalimu hakuwa mkaribishwa, kijana funguka!
 
Kaka, Nyerere mwenyewe anakiri kuwa jina la TANU walikuwa wamelifikiria tangu zamani, wewe unatuambia yalikuwa majina mengi mezani wakachagua TANU. Unaweza kukutajia hayo majina mengine ambayo yalikuwa mezani tuyafahamu. Chama cha kina Nyerere TAWA kilikuwa cha wanafunzi peke yao.
 

Naunga mkono
 
unachokosa ni hapo kwenye ubinafsi/uboramimi unaposema mkaribishwa!

Mwalimu hakuwa mkaribishwa, kijana funguka!

kama ni kwa hoja zile ulizozitoa,nadhan utakubaliana na ndugu moh said ya kwamba julius hakuwa mwasisi,unakubali au unakataa??
Once again,yericko nyerere,una uhusiano gani wa moja kwa moja na julius,babu yako,mjomba wako,mzee wako kiukoo ama uhusiano wako nayeye ukoje??
 
Waislam wenye mtazamo chanya kama nyinyi mmejificha wapi? Mbona sauti zenu zimefunikwa na akina Mohamed Said, Ustaadh Ilunga, Shehe Ponda na wengine kama hao?
Hatuwezi shindana nao kwa midomo, vita yetu iko shuleni watakaohitimu hawatawasikiliza tena na Jua lao hao linaelekea kuzama.
 
Nimetoa tafsiri ya mwasisi hapo juu hebu isome mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…