Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Jasusi,

Unajua kama Bi Titi aliteswa sana gerezani?
Na aliyemtesa alijulikana?

Huyu mtesaji unaijua khatma yake ilikuwaje?

Nani ataikubali kauli ya mtu aliyeteswa?
Mohamed,
Yote hiyo najua. Actually dada yangu alifanya mazungumzo marefu tu na Bibi Titi. Nimemshauri aandike kitabu. Sidhani kwamba kuteswa kwake gerezani ndiko kulikopelekea akiri kuwa alihusika katika njama za EAMWS kumwondoa Nyerere madarakani. Hii aliisema kwa hiari yake kabisa siyo chini ya mateso. Nina hakika wana JF wangependa kujua khatma ya mtesaji wa bibi Titi. Usibanie unachokifahamu.
 
Mohamed,
Mnakasha umeshathibitisha kuwa hii quote yako si sahihi:

.it was during this time that Abdulwahid, for the second time, advised Nyerere to resign from teaching so as to concentrate fully on the work of the Association.

This idea did not appeal to Nyerere, just as it had not appealed to Chief Kidaha Makwaia four years earlier.
 

Uzushi mwingine unatia kinyaa! Abdulwahid Sykes aliyemweka nyerere nyumbani kwake ni Mmanyema?
 

Vintage Mohamed Said!

Kitabu cha Mwakikagile hiki hapa.
Life in Tanganyika in The Fifties - Godfrey Mwakikagile - Google Books

Kitabu hiki ni mkusanyiko wa simulizi za watu walioishi Tanganyika katika miaka ya 50. Hiyo Appendix anayoizungumzia Shehe hapa ni kumbukumbu za Ally Sykes juu ya rafiki yake Peter Colmore. Hiyo plagiarism anayoizungumzia Mohamed Said iko wapi? Au anataka kutuambia ni yeye peke yake anayeruhusiwa kuongea na wakina Sykes? Au kilichomuuma ni huyu ndugu wa Abdulwahid anamkumbuka kwa mapenzi makubwa mmisheni aliyekuwa rafiki na mfanyabiashara mwenzake? Au wasiwasi ni kuwa tofauti na simulizi zake huu ni ushahidi kuwa wakina Sykes anaowazungumzia hawakuwa wadini?

Mohammed Said ni mchonganishi. Ni mtu mwenye pretensions of grandeur. Hana kingine zaidi ya hicho.

Amandla..........
 
Tulimzika Nyerere Butiama. Hatukuhitaji roho ngumu kuikaribia maiti yake. Pale Msasani, kabla maafisa wa usalama hawajafunga jeneza, niliisogelea maiti na kuigusa kifuani.

Mie niliokuwa natazama kwenye tv niliona miji-nzi ikinyemelea maiti, mpaka maiti ikajengewa kioo haraka haraka, hukuona?
 

Ningekuita punguani lakini itakuwa si vyema kimaadili, hebu tuambie uliposoma habari za Sykes kwenye hicho kitabu umeona zimeandikwa na nani? mie nimeona jina la gazeti, sasa nakuuliza, gazeti hujiandika lenyewe? msome vizuri Mohamed Said utamuelewa, wacha papara.
 

FM,

Hapana hilo neno ''plagiarism'' unalitumia wewe.
Mimi nililikwepa.

Unaandika kwa hasira sijui kwa nini.
Maneno kama ''mmisheni'' yanaondoa utamu wa majibu yako.

Mimi siwezi kuumwa na chochote kwa kuwa hiyo Appendix
ni mimi niliyeandika.

Ilikuwa ni orbituary ya Peter Colmore ambae mimi nikimjua toka
wakati mimi ni kijana mdogo sana.

Ofisi na makao yake akiwa Dar es Salaam yalikuwa jirani na nyumbani
kwetu katika miaka ya mwanzo ya 1960.

Nikaja kukutananae ukubwani wakati naandika ''Under the Shadow of
British Colonialism...''

Nikimfanyia mahojiano nyumbani kwake Muthaiga au Muthaiga Club
Nairobi.

Kilichonisukuma kuandika ile taazia ni pale nilipoona taazia zilizochapwa
na magazeti ya Kenya hayakumtendea haki.

Orbituary hiyo iliyo kwenye Appendix ilichapwa na The East African.
Mhariri wa The East African, James Odindo alinipigia simu kuniuliza vipi
nilimjua Peter Colmore kwa kiasi kile.

Jibu langu nilimwambia alikuwa ni mzee wangu.

Ikiwa unajua staili yangu ya uandishi utanisikia humo nazungumza.

Sasa ukipenda pita ndani ya kitabu hicho cha Mwakikagile utanikuta.
Sina sababu ya kusema uongo.

Kwa kumaliza napenda kukufahamisha hii si mara ya kwanza kwa maandishi
yangu kutumiwa na waandishi wengine ndani ya kitabu.

Lakini kama nilivyosema katika Uislam hilo si kosa.

Hiyo hukumu juu yangu kuwa mimi napenda ''pretensions of grandeur''
hizo ni fikra zako na una haki nazo.
 

Jasusi,

Nifahamishe ndugu yangu ikiwa nimekosea.
 

Jasusi,

Kumbe jamaa yangu fundi wa ''kukomalia.''

Huenda huu msamiati umekupita hiki ndicho Kiswahili
cha Dar siku hizi.

Maana yake unamshikilia mtu mpaka unajua mwisho wake.

Utasoma kichwa cha habari ''Waziri wa so and so Akomaliwa
Alete Majibu ya Ufisadi katika Wizara Yake.''

Huyu bwana yasemekana alimaliza siku zake za mwisho karukwa
na akili na mwishowe akajiua na kufa katika kifo cha maumivu
makubwa.

Hakika tuogope dua ya mwenye kudhulumiwa.
 
Mie niliokuwa natazama kwenye tv niliona miji-nzi ikinyemelea maiti, mpaka maiti ikajengewa kioo haraka haraka, hukuona?
Ni huyu ndiye aliyemkemea Mwanakijiji kwa kunukuu Korani! Akijinasibu ni muislam!!

Mwenyezi mungu tunakuomba maghfir na mswamaha,sisi ni viumbe wako dhaifu na hakika hakuna mkamilifu miongoni mwetu.Mwenyezi muumba msamehe Zomba na umfanyie wepesi katika kuielewa dini yako, amin.
Mfungue macho na masikio yarabi ili azione aya, hadithi na sunna, atambue halali, makuruh na haramu ili awe mja atakayeilingania dini yako na hakika awe miongoni mwa watoa daawa sio kati ya waliokufur.

Wanajamvi tuendelee na mnakasha
 

Amin na Amin
 
Mie niliokuwa natazama kwenye tv niliona miji-nzi ikinyemelea maiti, mpaka maiti ikajengewa kioo haraka haraka, hukuona?
Mode, kwa heshima ya utu, naomba uifute hii post!. Kama lugha zisizofaa kuwa zinawekewa nyota please do the need!.
Pasco.
 
Wanajamvi na Mohamed, naomba tuyatendee haki haya maswali. Ninakwenda mbele nikiyakumbuka narudi nyuma. Hebu tuyaangalie kwa jicho mujarabu.
 

Uliona Muislaam anaidharau na kuianika maiti ya jamaa yake? maiti hustiriwa haraka iwezekanavyo, huo ndio Uislaam.

Unataka kusema nini wewe? Unatafuta pakutokea? hapatokeki hapa mtajibadili kama vinyonga, nondo zile zile tu.

Jee, unajuwa kuwa nyerere alikuwa alikaribishwa na kuishi mtaa wa stanley nyumbani kwa Abdulwahid, Ally na Abbas Sykes?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…