Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Zomba,

This is per post number 3139; naomba unijengee hoja kwa mujibu wa maelezo hayo ya Mohamed Said ili nijue najibu hoja gani hasa, kwani as it stands, sana sana kwangu ni taarifa tu ambayo haitingishi historia iliyopo tofauti na mnavyopenda iwe. Ingekuwa vizuri zaidi iwapo wewe binafsi ungejengea hoja badala ya kudandia hoja. As it stands, sioni ni jinis gani inabadilisha role of Nyerere in the post TAA era, na pia haibadilishi ukweli kwamba kama kulikuwa na madudu ndani ya uongozi wa TAA na waasisi wake, kama nilivyokwisha jadili, Nyerere had less to do with that. Ningependa hapa pia katika maelezo yako, unganisha na majibu yako kwa maswali yangu kwenye bandiko namba 3259;

cc: Mohamed Said.

Nia yangu ilikuwa ni kuandika historia ya wazee wangu katika kupigania uhuru wa Tanganyika.
Hili nashukuru nimelifanya.

Ikiwa unaona kuandika kitabu hicho ni ulalamishi hivyo ndivyo dunia ilivyo.
Kila mtu ana uhuru wa kufikiri na kusema apendavyo.

Nafurahishwa sana na majibu ya Maalim Mohamed Said, unalo?
 
Ndugu yangu Bukyanagandi, ni pigo kubwa sana kwa wanaotafuta "muujiza" ili kumpandisha Nyerere kutoka alipo "mwenyeheri" kumpeleka kwenye "mtakatifu". Muujiza walioutegemea ni kumfanya kuwa yeye ni "super hero" wa Tanganyika aliyeweza kuwakabili wakoloni peke yake na kuipatia Tanganyika Uhuru alioudai yeye pekee. Lingethibitishwa hiilo ni moja kwa moja linampa status Nyerere ya kuwa ni mfanya "miujiza" (miracles) ambao ni kigezo cha u "sainthood".

Ukweli anaouweka wazi Mohamed Said, unaharibu hicho kigezo na ni lazima wagalatia wampinge Mohamed Said kwa nguvu zote. Lakini ukweli ni ukweli haufutiki na muujiza uwe wa kweli basi, si wa kubuni.

Bukyanagandi nafahamu kuwa wewe si Muislaam kama ulivyojieleza katika moja ya post zako, lakini u katika wale waupendao ukweli na inashangaza kuona watu humu wanapinga lakini wanachokipinga hawakioneshi, iliyobaki wanarusha kila istihizai, kejeli, vijembe kwa kuwa tu wanadhani ndio wanafanya "character assassination", laiti angelikuja mmoja wao akasema, Mshume ni wa kabuni hakuwepo, Abdulwahid Sykes hajawahi kumweka Nyerere, Dossa Aziz hajatowa mchango wake katika harakati za kudai Uhuru na wengine wote aliowataja Mohamed Said, japo mmoja wao au habari yao moja wakaipinga, hapo ningewaelewa, lakini tazama na soma kwa makini hilo hukuti.

Ni maradhi tu yaliyomo mioyoni mwao, na kwa uhakika hayapunguwi yanazidi. Unajuwa adui yako kila unapofanikiwa yeye ndiyo huzidi kuumia? ndio hawa wanaopinga, mradi wapinge tu.

Nakuelewa vizuri sana mkuu Zomba analysis yako ni spot on kabisa - ni kweli mimi ni Mkristo wa madhebu ya Kilutheli lakini ukoo wetu una Wakatoliki, Wapagani, Waislaam na Waislaam wa Bukoba wanakuwa Waislaam kupindukia Baba mdogo wangu kwa mfano alipokuwa anakuja kututembela alikuwa anabeba sufuria,vijiko na sahani zake anasema hawezi kutumia sufuria zetu zilizo tumika kupikia nguruwe.

Back 2 the point kuhusu ndugu Mohammed Said - mimi nilikuwa nimekaa kimya bila kuchangia kwa muda mrefu 4 a reason nikiangalia watu wakitetea vitu ambavyo vinaweza kulihingiza Taifa letu kwenye turmoil kwa kuendekeza u-fanatism wa mtu mmoja. Heading ya post na majibu ya baadhi ya wana jamvi yalionyesha wazi wazi kuna kikundi kulikuwa kimejipanga kumuharibia sifa ndugu Mohammed Said ili aonekane ni mdini, mkabila na mtu hatari ambaye amepania kuligawa Taifa letu kwa misingi ya imani za kidini - wanayasema hayo kimaksudi sio kwamba hawajuhi kwamba ni mambo ya kutunga tu!! Wanafikili Watanzania hawana akili za kuchambua mambo bila ya kuwa swayed na kikundi chochote.

Mimi na Watanzania wenzangu wengi wapenda amani katika Taifa letu tunasikitishwa sana na mbinu za jamaa hawa, hatuzipendi hata kidogo, personally sijawahi kujihisi niko threatened na Waislaam au dini yao. Ndugu Moh alifanya kitendo cha ujasiri - kwanza: Kunyoosha historia ya kweli kuhusu wanaharakati walio husika katika mapambano na wakoloni - wengi wao tukubali walikuwa ni Waislaam na Wakristo wachache kwani tatizo liko wapi hapo, cha ajabu kuna baadhi ya Wakristo fanatics ambao hawataki kulisikia/kukubali hilo; as far as they are concern Nyerere ndiye alikuwa Alpha na Omega - kundi hilo ndilo linamkalia kooni ndugu Mohammed Said!

Kama tunalitakia mema Taifa letu, kitu cha kwanza tulikuwa tunapaswa kumshukuru Ndugu Mohammed Said kwa kuwa muwazi kuhusu upindishwaji mkubwa wa historia ya wanaharakati, pili kueleza bayana Waislaam kutotendewa haki katika Taifa lao huru, malalamiko mengi anayo lalamikia Moh yana ukweli ndani yake - Sasa hapo amekosea nini?? Je angehamua kukaa kimya na kufikilia mambo mengine unfortunate akishirikiana na wenzake mgewafanya nini au mnafikili uwezo huo hawana? Tatizo tulilo nalo wengi wetu ni kukosa kutafakali mambo kwa kina - hivi inawaingia akilini kwamba mnaweza kupuuzia forever malamiko ya kweli ya madhebu ambayo ni nusu ya population ya Watanzania???

Mkuu ZOMBA hapa chini nilikuwa namjibu Yericko na WildCard -

nimejaribu kueleza kwa kirefu kwamba Wa Tanzania tukubali na kuwaenzi mashujaa walio shiriki katika mapambano na wakoloni hata kama walioshiriki hatupendi dini zao - ukweli utabaki palepale: God bless U mkuu.

Tukubali kwamba hoja zimemalizika. Tunarudia yaleyale. Niwashukuru mleta mada, Yericko Nyerere na Mzee Mohamed Said kwa kujisimamia mwenyewe na kujibu yale alooweza kujibu. Nimshukuru pia kwa kukiri makosa na mapungufu ya kitabu chake. Kwa anadai kitabu kinaendelea kutolewa bila shaka kuna atakalofanya kurekebisha baadhi ya hoja mle hasa ya UDINI aloompakazia Mwalimu na wazee wake.

Nchi yetu itabaki bila DINI kama Mungu, Allah mwenyewe asivyo nayo. WATANZANIA kila mtu ataendelea kuabudu anavyoona inafaa bila ya kumbugudhi mwenzake. Tunapoongelea Taifa letu tusiingize DINI, KABILA ingawa vitu hivi vilikuwepo, vipo na vitaendelea kuwepo.Watanganyika wote kabisa walipigania uhuru wa nchi yao. Historia isingeweza kuwaandika wote. Ambaye hakuandikwa sio kwamba ilidhamiriwa iwe hivo na yeyote. Hamuwezi kukaa na watu mkaunda CHAMA au UMOJA kwa madhumuni na malengo flani halafu ukataka wenzako wote wasahaulike kwa sababu ya DINI zao ambazo uliwakuta nazo. Haingii akilini hata kidogo.Kwa vyovyote vile tumeparurana katika mada hii. Tusameheane. Tubaki WATANZANIA. Hakuna aliyeshinda wala kushindwa. Wengi tuliowajadili humu wametangulia mbele ya haki. Hawakuyaandika karibu yote tulioyajadili na kubishana humu. Hakuna anayejua kwa uhakika kama wangepewa nafasi kama hii tuliopata wangeandika nini. Tumewalisha na kutafunisha maneno mengi tu. Hawakutaka kuonekana wanajikweza kwa kuandika HISTORIA walioitengeneza wenyewe.

Mkuu kwani nani kaleta hoja hii jamvini, au ulishirikiana kikamilifu na mleta hoja aliyepania kuonyesha Dunia kwamba Ndugu Mohammed Said ni mtu hatari sana na mchonganishi!! Inapokuja swala la ndugu Moh, Jericko keeps going in circles na hii si mara yake ya kwanza kuanzisha controversal posts za kumshambulia Mohammed Said bila simile!! Hapa mnajifanya eti hoja hii ifungwe na sijuhi tusameane lakini hapo hapo mnasema kwamba Moh. ni mdini, mkabila, anajikweza kuandika historia alioitengeneza mwenyewe and all vices you can imagine, tuwe wakweli hapa - unataka kueleza wana JF kwamba hakuna kitu chochote alichojifunza kutokana na kitabu/makala ya ndugu Moh; in other words wewe umebobea katika nyanja za historia ya kweli kuhusu Taifa letu, kama kuna ukweli wowote katika hilo mbona uleti jamvini tukaijadili. Mmekazania ku-teardown historia/maoni ya Ndugu Moh. mkiwa na imani kwamba hilo tu litaweza ku-built UP mtizamo wenu - what a folly!

Please revisit headig ya hoja ya Jericko, hiko je? highly derogative isn't it!! Je hii ni bahati mbaya au? - Kwa nini tushangae alicho kuja zungumza baadae! Yuko obsessed na Mohammed Said as if Moh is some MONSTER, sijawahi kusikia Mohammed Said eating anyone dead or alive sasa tatizo liko wapi!! - watu waogope kuzungumza wanayo yajuwa kwa kuogopa kuzungumzia a virtual demi-GOD?
Kumbukeni kwamba Watanzania ni waelewa wa mambo, wana akili za kuchambanua mambo na kujua ukweli huko wapi, kama Jericko unaona Mohammed kaandika historia ambayo afikiani nayo kwa nini andiki historia ya kwake mbadala ukatuletea hapa jamvini tuakaijadili, ninacho kishuhudia humu ni baadhi ya wana JF specifically mleta hoja ana jump from tree 2 tree looking 4 anything however infinitesimal za kuweza kum-pin down Ndugu Moh - come rain or shine!!

Yaani hoja za Jericko kwa ndugu Mohammed wakati mwingine zinakuwa highly incoherent - mpaka watu tunapoteza -track unacho taka kuzungumzia ni nini hasa! Hata Mohammed mwenyewe nimeona akimkumbusha politely kama kawaida yake Moh, kwamba ndugu Jericko wakati mwingine anatumbukiza hoja nyingine ambazo azina mtililiko mzuri, kila mtu mwenye akili timamu anajua kwamba hiyo ni a clever ploy ya Ndugu Jericko ya kujaribu kumtega tega Ndugu Moh - forgetting kwamba this GUY(Moh) is capable of smelling a rat a MEGA miles away, there's no way u can play Ndugu Moh on your little finger - tukubaliane jamaa anajua mambo mengi - his creed notwithstanding, oh yes kipengele hicho ndicho naona mahasimu wake wanakitumia kwa hila kumzulia mambo na kumuhukumu! Mnaweza kutuonyesha ni wapi Moh amezungumzia kwamba anataka Tanzania hiwe Islamic Republic, wapi kanzungumizia mambo ya ukabila? Nyinyi ndio mnapalilia mambo ya ukabila nmasema sijuhi yeye ni Mmanyema, sijuhi walio anzisha TAA ni Wazaramo/Warufiji/Wamanyema ambao hawakwenda shule wanywa kahawa tu!! Sijuhi Ukoo wa Sykes asili yao ni Wazulu!! Kwa nini mnakazania hilo, tukianza kuulizana asili zetu nani atakuwa na haki ya kuitwa Mtanzania labda watu walio zaliwa pwani na katikati ya Tanzania, mbona hamna ubavu wa kuhoji asili ya Mwalimu Nyerere – nimesoma na mtoto wake Minaki kwa hiyo najua ninacho zungumza hapa.

Sijaona popote ambapo mkuu Moh akimlazimisha mtu kusoma makala yake, kama kuna watu awataki kumsikiliza basi wana hiari ya kumpuuzia na ku-move on, lakini sio kumkosea heshima, kumtukana na kibaya zaidi kuonyesha kiburi cha wazi wazi.

Mambo mengine yanashangaza sana! Hivi wewe na mwenzako nani kawapa a blank cheque ya kuwasemea Watanzania wenzako wenye akili timamu ili tumuone Ndugu Mohammed Said ni mtu wa kuogopwa kama ukoma - yaani nyinyi mnaji-appoint kwenye posts za kuwa Judge, Jury and executioner all rolled into ONE mlipania kumu hukumu ndugu Moh in a Kangaroo court! Eti "unamshukuru kwa kukiri makosa na mapungufu ya kitabu chake" – unaweza kutuonyesha ni wapi amekili makosa na mapungufu ya kitabu chake!!! .

Baada ya kufatilia uzi huu kwa muda mrefu bila ya ku-comment chochote leo nataka niwe MUWAZI kwa kusema "the truth of the matter ni kwamba mind set za wengi wetu ndizo zitakuja kulihingiza Taifa letu kweye machafuko yasiyo kifani" tusije tukajidanganya hapa kwamba madhehebu ya kislaam (half or more ya Tanzania population ni wa madhehebu haya) the Nation cannot afford kuto kuwatendewa haki forever-kama kuna baadhi yenu wenye fikila za kuwapuuzia 4ever 'am afraid kuwambieni kwamba you are DEAD WRONG na itakuja kutu-cost dearly, I am not a scare monger lakini ukweli unabaki pale pale.

Repeate - tunapaswa kumshukuru Mungu kwamba at least amajitokeza mtu msomi na mchambuzi anaye weka mambo wazi kuhusu historia ya Taifa letu na kero wanazo kumbana nazo ndugu zetu Waislaam nchini, ambazo nyingi ni za kweli; badala ya ku-address kero zao sisi tunabaki tuna wabeza beza na kuwa kejeli. Mtu ungetegemea wana JF na raia wengine wenye kuitakia amani nchi yetu wangeishauri Serikali yetu Tukufu iyavalie njuga maswala ya KERO za Waislaam ili tusije kujikuta tunapigana siku za usoni - hatari hiyo ya kuchezea kiberiti karibu na Gunpowder KEG nyinyi hilo amulioni, tumejaa dhalau TU.

Labda nimalizie kwa kusema kwamba, kitu kilicho msukuma Ndugu Moh. Said kuandika kitabu chake kinatokana na matukio ya kweli aliyo wahi kushuhudia au kusimuliwa na wazazi wake au wetu wengine wenye lika la wazazi wake au zaidi, kingine zaidi kilicho msukuma kuandika kitabu ni kile cha Serikali ya awamu ya kwanza kutowataja raia wote walioshiriki kikamilifu katika kupinga ukoloni wa Waingereza ambao hata jina la mzazi wake halikutajwa, je ingelikuwa ni wewe unalipenda Taifa lako bila ya kutukuza mtu mmoja ungefanya nini kuhusu uposhaji mkubwa wa historia? Nimesoma darasa la kwanza mpaka la saba kwenye somo la historia yetu sikuwahi kusikia majina aliyo taja Ndugu Moh, mfano Dr.Kyaruzi na Dr. Rugazia walijulikana huko Bukoba kama Doctors of medicine, lika letu hakuna aliye kuwa anajuwa kwamba waliwahi kuhusika na harakati za ukombozi, lakini mbona Moh kawataja kwenye kitabu chake, lakini niliona kulikuwa na watu wanamlahumu eti he didn't go far enough kuwazungumzia madaktari hao wakristo! Kichekesho kabisa, mnamlahumu Moh lakini amsemi chochote kuhusu Serikali ya awamu ya kwanza ambayo Mkristo mwenzao hakuwataja popote na wote walisoma Makerere. Nani wa kulahumiwa katika hilo – Moh aliye wataja kidogo au Serikali ya awamu ya kwanza iliyo kaa KIMYA?

Watu tulishuhudia juzi juzi hapa ndio busara za JK zilitumika kwa kuwatunuku nishani mashujaa wetu hawa waliokuwa wamefutwa kwenye historia ya Taifa letu, kumbuka imelichukua Taifa letu takribani miaka 50 na ushee kutaja/kukumbuka mashujaa hao! Ndugu Moh. alishawataja zaidi ya miaka15 iliyopita na wengi walio tajwa kwenye kitabu cha ndugu Moh walitunukiwa nishani, mbona hilo amlisemi - mmekazania UDINI X3.

Tukumbuke kuna Raia ambao wali wahi kupitia zahama zinazo fanana fanana na za baba yake Ndugu Mohammed Said na wenzake wakati wa utawala wa awamu ya kwanza, wako wengi walio fanyiwa vitendo ambavyo havipendezi kibinadamu usione wamekaa kimya kama bado wako hai au ndugu zao mkafikili ni wajinga. Sio vizuri kujaribu ku-muzzle watu wasiseme wanacho kijua, waacheni wafunguke kwa maslahi ya kurekebisha historia ya kweli kuhusu Taifa letu.
















 
Nakushukuru kwa busara yako! kwani kauri zako za awali zilikuwa na ukakasi kwa jambo dogo tu! lugha ya kiingereza ni utamaduni wa waingereza, wanapoongea au kuandika maneno yao huleta maana yatumikapo mahali muafaka!

Upo sahihi

Lakini tu, kauli zangu za awali zilikua na maana ndo maana nikaandika

Anyway, tuyaache hayo

Au unasemaje mkuu?
 
Duh umeandika pumba tupu bora ungekaa kimya upumbavu wako usingejulikana.

Nakuelewa vizuri sana mkuu Zomba analysis yako ni spot on kabisa - ni kweli mimi ni Mkristo wa madhebu ya Kilutheli lakini ukoo wetu una Wakatoliki, Wapagani, Waislaam na Waislaam wa Bukoba wanakuwa Waislaam kupindukia Baba mdogo wangu kwa mfano alipokuwa anakuja kututembela alikuwa anabeba sufuria,vijiko na sahani zake anasema hawezi kutumia sufuria zetu zilizo tumika kupikia nguruwe.

Back 2 the point kuhusu ndugu Mohammed Said - mimi nilikuwa nimekaa kimya bila kuchangia kwa muda mrefu 4 a reason nikiangalia watu wakitetea vitu ambavyo vinaweza kulihingiza Taifa letu kwenye turmoil kwa kuendekeza u-fanatism wa mtu mmoja. Heading ya post na majibu ya baadhi ya wana jamvi yalionyesha wazi wazi kuna kikundi kulikuwa kimejipanga kumuharibia sifa ndugu Mohammed Said ili aonekane ni mdini, mkabila na mtu hatari ambaye amepania kuligawa Taifa letu kwa misingi ya imani za kidini - wanayasema hayo kimaksudi sio kwamba hawajuhi kwamba ni mambo ya kutunga tu!! Wanafikili Watanzania hawana akili za kuchambua mambo bila ya kuwa swayed na kikundi chochote.

Mimi na Watanzania wenzangu wengi wapenda amani katika Taifa letu tunasikitishwa sana na mbinu za jamaa hawa, hatuzipendi hata kidogo, personally sijawahi kujihisi niko threatened na Waislaam au dini yao. Ndugu Moh alifanya kitendo cha ujasiri - kwanza: Kunyoosha historia ya kweli kuhusu wanaharakati walio husika katika mapambano na wakoloni - wengi wao tukubali walikuwa ni Waislaam na Wakristo wachache kwani tatizo liko wapi hapo, cha ajabu kuna baadhi ya Wakristo fanatics ambao hawataki kulisikia/kukubali hilo; as far as they are concern Nyerere ndiye alikuwa Alpha na Omega - kundi hilo ndilo linamkalia kooni ndugu Mohammed Said!

Kama tunalitakia mema Taifa letu, kitu cha kwanza tulikuwa tunapaswa kumshukuru Ndugu Mohammed Said kwa kuwa muwazi kuhusu upindishwaji mkubwa wa historia ya wanaharakati, pili kueleza bayana Waislaam kutotendewa haki katika Taifa lao huru, malalamiko mengi anayo lalamikia Moh yana ukweli ndani yake - Sasa hapo amekosea nini?? Je angehamua kukaa kimya na kufikilia mambo mengine unfortunate akishirikiana na wenzake mgewafanya nini au mnafikili uwezo huo hawana? Tatizo tulilo nalo wengi wetu ni kukosa kutafakali mambo kwa kina - hivi inawaingia akilini kwamba mnaweza kupuuzia forever malamiko ya kweli ya madhebu ambayo ni nusu ya population ya Watanzania???

Mkuu ZOMBA hapa chini nilikuwa namjibu Yericko na WildCard -

nimejaribu kueleza kwa kirefu kwamba Wa Tanzania tukubali na kuwaenzi mashujaa walio shiriki katika mapambano na wakoloni hata kama walioshiriki hatupendi dini zao - ukweli utabaki palepale: God bless U mkuu.



Mkuu kwani nani kaleta hoja hii jamvini, au ulishirikiana kikamilifu na mleta hoja aliyepania kuonyesha Dunia kwamba Ndugu Mohammed Said ni mtu hatari sana na mchonganishi!! Inapokuja swala la ndugu Moh, Jericko keeps going in circles na hii si mara yake ya kwanza kuanzisha controversal posts za kumshambulia Mohammed Said bila simile!! Hapa mnajifanya eti hoja hii ifungwe na sijuhi tusameane lakini hapo hapo mnasema kwamba Moh. ni mdini, mkabila, anajikweza kuandika historia alioitengeneza mwenyewe and all vices you can imagine, tuwe wakweli hapa - unataka kueleza wana JF kwamba hakuna kitu chochote alichojifunza kutokana na kitabu/makala ya ndugu Moh; in other words wewe umebobea katika nyanja za historia ya kweli kuhusu Taifa letu, kama kuna ukweli wowote katika hilo mbona uleti jamvini tukaijadili. Mmekazania ku-teardown historia/maoni ya Ndugu Moh. mkiwa na imani kwamba hilo tu litaweza ku-built UP mtizamo wenu - what a folly!

Please revisit headig ya hoja ya Jericko, hiko je? highly derogative isn't it!! Je hii ni bahati mbaya au? - Kwa nini tushangae alicho kuja zungumza baadae! Yuko obsessed na Mohammed Said as if Moh is some MONSTER, sijawahi kusikia Mohammed Said eating anyone dead or alive sasa tatizo liko wapi!! - watu waogope kuzungumza wanayo yajuwa kwa kuogopa kuzungumzia a virtual demi-GOD?
Kumbukeni kwamba Watanzania ni waelewa wa mambo, wana akili za kuchambanua mambo na kujua ukweli huko wapi, kama Jericko unaona Mohammed kaandika historia ambayo afikiani nayo kwa nini andiki historia ya kwake mbadala ukatuletea hapa jamvini tuakaijadili, ninacho kishuhudia humu ni baadhi ya wana JF specifically mleta hoja ana jump from tree 2 tree looking 4 anything however infinitesimal za kuweza kum-pin down Ndugu Moh - come rain or shine!!

Yaani hoja za Jericko kwa ndugu Mohammed wakati mwingine zinakuwa highly incoherent - mpaka watu tunapoteza -track unacho taka kuzungumzia ni nini hasa! Hata Mohammed mwenyewe nimeona akimkumbusha politely kama kawaida yake Moh, kwamba ndugu Jericko wakati mwingine anatumbukiza hoja nyingine ambazo azina mtililiko mzuri, kila mtu mwenye akili timamu anajua kwamba hiyo ni a clever ploy ya Ndugu Jericko ya kujaribu kumtega tega Ndugu Moh - forgetting kwamba this GUY(Moh) is capable of smelling a rat a MEGA miles away, there's no way u can play Ndugu Moh on your little finger - tukubaliane jamaa anajua mambo mengi - his creed notwithstanding, oh yes kipengele hicho ndicho naona mahasimu wake wanakitumia kwa hila kumzulia mambo na kumuhukumu! Mnaweza kutuonyesha ni wapi Moh amezungumzia kwamba anataka Tanzania hiwe Islamic Republic, wapi kanzungumizia mambo ya ukabila? Nyinyi ndio mnapalilia mambo ya ukabila nmasema sijuhi yeye ni Mmanyema, sijuhi walio anzisha TAA ni Wazaramo/Warufiji/Wamanyema ambao hawakwenda shule wanywa kahawa tu!! Sijuhi Ukoo wa Sykes asili yao ni Wazulu!! Kwa nini mnakazania hilo, tukianza kuulizana asili zetu nani atakuwa na haki ya kuitwa Mtanzania labda watu walio zaliwa pwani na katikati ya Tanzania, mbona hamna ubavu wa kuhoji asili ya Mwalimu Nyerere – nimesoma na mtoto wake Minaki kwa hiyo najua ninacho zungumza hapa.

Sijaona popote ambapo mkuu Moh akimlazimisha mtu kusoma makala yake, kama kuna watu awataki kumsikiliza basi wana hiari ya kumpuuzia na ku-move on, lakini sio kumkosea heshima, kumtukana na kibaya zaidi kuonyesha kiburi cha wazi wazi.

Mambo mengine yanashangaza sana! Hivi wewe na mwenzako nani kawapa a blank cheque ya kuwasemea Watanzania wenzako wenye akili timamu ili tumuone Ndugu Mohammed Said ni mtu wa kuogopwa kama ukoma - yaani nyinyi mnaji-appoint kwenye posts za kuwa Judge, Jury and executioner all rolled into ONE mlipania kumu hukumu ndugu Moh in a Kangaroo court! Eti “unamshukuru kwa kukiri makosa na mapungufu ya kitabu chake” – unaweza kutuonyesha ni wapi amekili makosa na mapungufu ya kitabu chake!!! .

Baada ya kufatilia uzi huu kwa muda mrefu bila ya ku-comment chochote leo nataka niwe MUWAZI kwa kusema "the truth of the matter ni kwamba mind set za wengi wetu ndizo zitakuja kulihingiza Taifa letu kweye machafuko yasiyo kifani" tusije tukajidanganya hapa kwamba madhehebu ya kislaam (half or more ya Tanzania population ni wa madhehebu haya) the Nation cannot afford kuto kuwatendewa haki forever-kama kuna baadhi yenu wenye fikila za kuwapuuzia 4ever 'am afraid kuwambieni kwamba you are DEAD WRONG na itakuja kutu-cost dearly, I am not a scare monger lakini ukweli unabaki pale pale.

Repeate - tunapaswa kumshukuru Mungu kwamba at least amajitokeza mtu msomi na mchambuzi anaye weka mambo wazi kuhusu historia ya Taifa letu na kero wanazo kumbana nazo ndugu zetu Waislaam nchini, ambazo nyingi ni za kweli; badala ya ku-address kero zao sisi tunabaki tuna wabeza beza na kuwa kejeli. Mtu ungetegemea wana JF na raia wengine wenye kuitakia amani nchi yetu wangeishauri Serikali yetu Tukufu iyavalie njuga maswala ya KERO za Waislaam ili tusije kujikuta tunapigana siku za usoni - hatari hiyo ya kuchezea kiberiti karibu na Gunpowder KEG nyinyi hilo amulioni, tumejaa dhalau TU.

Labda nimalizie kwa kusema kwamba, kitu kilicho msukuma Ndugu Moh. Said kuandika kitabu chake kinatokana na matukio ya kweli aliyo wahi kushuhudia au kusimuliwa na wazazi wake au wetu wengine wenye lika la wazazi wake au zaidi, kingine zaidi kilicho msukuma kuandika kitabu ni kile cha Serikali ya awamu ya kwanza kutowataja raia wote walioshiriki kikamilifu katika kupinga ukoloni wa Waingereza ambao hata jina la mzazi wake halikutajwa, je ingelikuwa ni wewe unalipenda Taifa lako bila ya kutukuza mtu mmoja ungefanya nini kuhusu uposhaji mkubwa wa historia? Nimesoma darasa la kwanza mpaka la saba kwenye somo la historia yetu sikuwahi kusikia majina aliyo taja Ndugu Moh, mfano Dr.Kyaruzi na Dr. Rugazia walijulikana huko Bukoba kama Doctors of medicine, lika letu hakuna aliye kuwa anajuwa kwamba waliwahi kuhusika na harakati za ukombozi, lakini mbona Moh kawataja kwenye kitabu chake, lakini niliona kulikuwa na watu wanamlahumu eti he didn’t go far enough kuwazungumzia madaktari hao wakristo! Kichekesho kabisa, mnamlahumu Moh lakini amsemi chochote kuhusu Serikali ya awamu ya kwanza ambayo Mkristo mwenzao hakuwataja popote na wote walisoma Makerere. Nani wa kulahumiwa katika hilo – Moh aliye wataja kidogo au Serikali ya awamu ya kwanza iliyo kaa KIMYA?

Watu tulishuhudia juzi juzi hapa ndio busara za JK zilitumika kwa kuwatunuku nishani mashujaa wetu hawa waliokuwa wamefutwa kwenye historia ya Taifa letu, kumbuka imelichukua Taifa letu takribani miaka 50 na ushee kutaja/kukumbuka mashujaa hao! Ndugu Moh. alishawataja zaidi ya miaka15 iliyopita na wengi walio tajwa kwenye kitabu cha ndugu Moh walitunukiwa nishani, mbona hilo amlisemi - mmekazania UDINI X3.

Tukumbuke kuna Raia ambao wali wahi kupitia zahama zinazo fanana fanana na za baba yake Ndugu Mohammed Said na wenzake wakati wa utawala wa awamu ya kwanza, wako wengi walio fanyiwa vitendo ambavyo havipendezi kibinadamu usione wamekaa kimya kama bado wako hai au ndugu zao mkafikili ni wajinga. Sio vizuri kujaribu ku-muzzle watu wasiseme wanacho kijua, waacheni wafunguke kwa maslahi ya kurekebisha historia ya kweli kuhusu Taifa letu.
 
Nafurahishwa sana na majibu ya Maalim Mohamed Said, unalo?
Hakuna sehemu nimehoji haki ya mohamed said, bali usahihi. Vinginevyo now its official kwamba wote hamna majibu yaliyojitosheleza kwa hoja zangu, angalau Mohamed Said anajadili kwa hoja based on haki yake per publication husika, wewe zomba ni mchangiaji kwa njia ya vibwagizo. Let the song continue...
 
Mchochezi Mkuu katimka kakimbia baada ya kugundua kuwa JF si kama uwanja wa mihadhara, watu wanahoji na wanadadisi...sasa wamebaki "cheerleaders" kumlilia kwa kuwaacha wakiwa! Jf kiboko, huko nyuma wako wengi waliokimbia kama yeye na hadi leo hata kuingia humu wanaogopa. Eti hadithi na simulizi za mtaa wa Gerezani zinaitwa historia!...hapana, hapa JF zinaitwa kwa jina lake halisi, ngano.

Nina hakika waliofuatilia mjadala huu kwa makini watakuwa wamejifunza mengi lakini tusije tukawashangaa wale ambao wameambulia sifuri...uelewa watu hutofautiana, wapo ambao wataendelea kulalamikia mtihani badala ya mapungufu yao, oh tunaonewa! Common sense is not that common otherwise id.io.ts would have no domicile! Wapo wanaoamini kwa akili finyu kwamba wanatoa darsa kumbe ni wao wanapewa darasa!

Baada ya maswali yangu kwa mchochezi kukosa majibu, na mimi naaga nikiwaachia uwanja the Barubaru's, the zomba's, the vichwangumu and company. You are free to go ahead and dance yourselves lame...unfortunately the music has long stopped.

Maswali yasio na kichwa wala miguu nani ahangaike nayo? umesahau hili jibu?

Mag3,

Mbona nilishakujibu siku nyingi kuhusu kujibu?

Nimesema huwa sijibu kila post.
Hutazama tija na mengineo.

Kubwa zaidi mie si mtu wa kulazimishwa.
Hufanya jambo kwa khiyari yangu.
 
Hakuna sehemu nimehoji haki ya mohamed said, bali usahihi. Vinginevyo now its official kwamba wote hamna majibu yaliyojitosheleza kwa hoja zangu, angalau Mohamed Said anajadili kwa hoja based on haki yake per publication husika, wewe zomba ni mchangiaji kwa njia ya vibwagizo. Let the song continue...

Soma kichwa cha habari halafu uje na japo mstari mmoja kutoka kwa Mohamed Said unaoashiria hilo, Naona umeridhika na majibu yake. Ulikuwa na fikra ya huu uzi ulifunguliwa kwa ajili ya Zomba? umechelewa jamvini karamu imeshaliwa, unaongelea vibwagizo umenikumbusha kuhusu Rashid Sisso, msome kidogo hapa:

Zomba,

Siku zote namshukuru Allah kwa kuniwezesha kuandika historia hii.

Kwa kweli ingelipotea Waislam tungekuwa si lolote si chochote katika
nchi hii.

Angalau leo tunasema uhuru wa nchi hii tuliupigania sisi.

Rashid Sisso alikuwa mtu muhimu sana katika uhamsishaji umma.
Hebu mtazame hapa chini:

[TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD] One of the founding leaders of the Bantu Group was Rashid Sisso.

During the struggle Sisso came to be very close to Nyerere and Nyerere gave him the nickname ‘Officer'.

During rallies Sisso would stand right behind Nyerere, and when Nyerere wanted to emphasise a point in his speech he would stop to speak and turn back to Sisso and ask him, "Is it not so, Officer?" and Sisso would shout a peculiar cry into the microphone and the people would shout back and applaud.

Nyerere and Sisso's act never failed to raise the morale of the audience.

Later when Nyerere became Prime Minister, Sisso had nothing useful to do for the Party and he turned himself into a court jester, hanging around at the TANU office to while away the time and amusing people with anecdotes from the struggle.

Whenever Nyerere came down from the Government House to the Party office at New Street with his motorcade, Sisso would go to him to amuse him with jokes or to show how close they were.

Sisso would approach him in an easy manner, shake hands and joke with him, while bodyguards and the crowd watched, wondering who that simple man was holding Nyerere's hand and attention.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 601"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Ungelimjuwa huyo kabla ya kumsoma Mohamed Said? historia ya kivukoni ilimuandika?
 
Nakuelewa vizuri sana mkuu Zomba analysis yako ni spot on kabisa - ni kweli mimi ni Mkristo wa madhebu ya Kilutheli lakini ukoo wetu una Wakatoliki, Wapagani, Waislaam na Waislaam wa Bukoba wanakuwa Waislaam kupindukia Baba mdogo wangu kwa mfano alipokuwa anakuja kututembela alikuwa anabeba sufuria,vijiko na sahani zake anasema hawezi kutumia sufuria zetu zilizo tumika kupikia nguruwe.

Back 2 the point kuhusu ndugu Mohammed Said - mimi nilikuwa nimekaa kimya bila kuchangia kwa muda mrefu 4 a reason nikiangalia watu wakitetea vitu ambavyo vinaweza kulihingiza Taifa letu kwenye turmoil kwa kuendekeza u-fanatism wa mtu mmoja. Heading ya post na majibu ya baadhi ya wana jamvi yalionyesha wazi wazi kuna kikundi kulikuwa kimejipanga kumuharibia sifa ndugu Mohammed Said ili aonekane ni mdini, mkabila na mtu hatari ambaye amepania kuligawa Taifa letu kwa misingi ya imani za kidini - wanayasema hayo kimaksudi sio kwamba hawajuhi kwamba ni mambo ya kutunga tu!! Wanafikili Watanzania hawana akili za kuchambua mambo bila ya kuwa swayed na kikundi chochote.

Mimi na Watanzania wenzangu wengi wapenda amani katika Taifa letu tunasikitishwa sana na mbinu za jamaa hawa, hatuzipendi hata kidogo, personally sijawahi kujihisi niko threatened na Waislaam au dini yao. Ndugu Moh alifanya kitendo cha ujasiri - kwanza: Kunyoosha historia ya kweli kuhusu wanaharakati walio husika katika mapambano na wakoloni - wengi wao tukubali walikuwa ni Waislaam na Wakristo wachache kwani tatizo liko wapi hapo, cha ajabu kuna baadhi ya Wakristo fanatics ambao hawataki kulisikia/kukubali hilo; as far as they are concern Nyerere ndiye alikuwa Alpha na Omega - kundi hilo ndilo linamkalia kooni ndugu Mohammed Said!

Kama tunalitakia mema Taifa letu, kitu cha kwanza tulikuwa tunapaswa kumshukuru Ndugu Mohammed Said kwa kuwa muwazi kuhusu upindishwaji mkubwa wa historia ya wanaharakati, pili kueleza bayana Waislaam kutotendewa haki katika Taifa lao huru, malalamiko mengi anayo lalamikia Moh yana ukweli ndani yake - Sasa hapo amekosea nini?? Je angehamua kukaa kimya na kufikilia mambo mengine unfortunate akishirikiana na wenzake mgewafanya nini au mnafikili uwezo huo hawana? Tatizo tulilo nalo wengi wetu ni kukosa kutafakali mambo kwa kina - hivi inawaingia akilini kwamba mnaweza kupuuzia forever malamiko ya kweli ya madhebu ambayo ni nusu ya population ya Watanzania???

Mkuu ZOMBA hapa chini nilikuwa namjibu Yericko na WildCard -

nimejaribu kueleza kwa kirefu kwamba Wa Tanzania tukubali na kuwaenzi mashujaa walio shiriki katika mapambano na wakoloni hata kama walioshiriki hatupendi dini zao - ukweli utabaki palepale: God bless U mkuu.



Mkuu kwani nani kaleta hoja hii jamvini, au ulishirikiana kikamilifu na mleta hoja aliyepania kuonyesha Dunia kwamba Ndugu Mohammed Said ni mtu hatari sana na mchonganishi!! Inapokuja swala la ndugu Moh, Jericko keeps going in circles na hii si mara yake ya kwanza kuanzisha controversal posts za kumshambulia Mohammed Said bila simile!! Hapa mnajifanya eti hoja hii ifungwe na sijuhi tusameane lakini hapo hapo mnasema kwamba Moh. ni mdini, mkabila, anajikweza kuandika historia alioitengeneza mwenyewe and all vices you can imagine, tuwe wakweli hapa - unataka kueleza wana JF kwamba hakuna kitu chochote alichojifunza kutokana na kitabu/makala ya ndugu Moh; in other words wewe umebobea katika nyanja za historia ya kweli kuhusu Taifa letu, kama kuna ukweli wowote katika hilo mbona uleti jamvini tukaijadili. Mmekazania ku-teardown historia/maoni ya Ndugu Moh. mkiwa na imani kwamba hilo tu litaweza ku-built UP mtizamo wenu - what a folly!

Please revisit headig ya hoja ya Jericko, hiko je? highly derogative isn't it!! Je hii ni bahati mbaya au? - Kwa nini tushangae alicho kuja zungumza baadae! Yuko obsessed na Mohammed Said as if Moh is some MONSTER, sijawahi kusikia Mohammed Said eating anyone dead or alive sasa tatizo liko wapi!! - watu waogope kuzungumza wanayo yajuwa kwa kuogopa kuzungumzia a virtual demi-GOD?
Kumbukeni kwamba Watanzania ni waelewa wa mambo, wana akili za kuchambanua mambo na kujua ukweli huko wapi, kama Jericko unaona Mohammed kaandika historia ambayo afikiani nayo kwa nini andiki historia ya kwake mbadala ukatuletea hapa jamvini tuakaijadili, ninacho kishuhudia humu ni baadhi ya wana JF specifically mleta hoja ana jump from tree 2 tree looking 4 anything however infinitesimal za kuweza kum-pin down Ndugu Moh - come rain or shine!!

Yaani hoja za Jericko kwa ndugu Mohammed wakati mwingine zinakuwa highly incoherent - mpaka watu tunapoteza -track unacho taka kuzungumzia ni nini hasa! Hata Mohammed mwenyewe nimeona akimkumbusha politely kama kawaida yake Moh, kwamba ndugu Jericko wakati mwingine anatumbukiza hoja nyingine ambazo azina mtililiko mzuri, kila mtu mwenye akili timamu anajua kwamba hiyo ni a clever ploy ya Ndugu Jericko ya kujaribu kumtega tega Ndugu Moh - forgetting kwamba this GUY(Moh) is capable of smelling a rat a MEGA miles away, there's no way u can play Ndugu Moh on your little finger - tukubaliane jamaa anajua mambo mengi - his creed notwithstanding, oh yes kipengele hicho ndicho naona mahasimu wake wanakitumia kwa hila kumzulia mambo na kumuhukumu! Mnaweza kutuonyesha ni wapi Moh amezungumzia kwamba anataka Tanzania hiwe Islamic Republic, wapi kanzungumizia mambo ya ukabila? Nyinyi ndio mnapalilia mambo ya ukabila nmasema sijuhi yeye ni Mmanyema, sijuhi walio anzisha TAA ni Wazaramo/Warufiji/Wamanyema ambao hawakwenda shule wanywa kahawa tu!! Sijuhi Ukoo wa Sykes asili yao ni Wazulu!! Kwa nini mnakazania hilo, tukianza kuulizana asili zetu nani atakuwa na haki ya kuitwa Mtanzania labda watu walio zaliwa pwani na katikati ya Tanzania, mbona hamna ubavu wa kuhoji asili ya Mwalimu Nyerere – nimesoma na mtoto wake Minaki kwa hiyo najua ninacho zungumza hapa.

Sijaona popote ambapo mkuu Moh akimlazimisha mtu kusoma makala yake, kama kuna watu awataki kumsikiliza basi wana hiari ya kumpuuzia na ku-move on, lakini sio kumkosea heshima, kumtukana na kibaya zaidi kuonyesha kiburi cha wazi wazi.

Mambo mengine yanashangaza sana! Hivi wewe na mwenzako nani kawapa a blank cheque ya kuwasemea Watanzania wenzako wenye akili timamu ili tumuone Ndugu Mohammed Said ni mtu wa kuogopwa kama ukoma - yaani nyinyi mnaji-appoint kwenye posts za kuwa Judge, Jury and executioner all rolled into ONE mlipania kumu hukumu ndugu Moh in a Kangaroo court! Eti "unamshukuru kwa kukiri makosa na mapungufu ya kitabu chake" – unaweza kutuonyesha ni wapi amekili makosa na mapungufu ya kitabu chake!!! .

Baada ya kufatilia uzi huu kwa muda mrefu bila ya ku-comment chochote leo nataka niwe MUWAZI kwa kusema "the truth of the matter ni kwamba mind set za wengi wetu ndizo zitakuja kulihingiza Taifa letu kweye machafuko yasiyo kifani" tusije tukajidanganya hapa kwamba madhehebu ya kislaam (half or more ya Tanzania population ni wa madhehebu haya) the Nation cannot afford kuto kuwatendewa haki forever-kama kuna baadhi yenu wenye fikila za kuwapuuzia 4ever 'am afraid kuwambieni kwamba you are DEAD WRONG na itakuja kutu-cost dearly, I am not a scare monger lakini ukweli unabaki pale pale.

Repeate - tunapaswa kumshukuru Mungu kwamba at least amajitokeza mtu msomi na mchambuzi anaye weka mambo wazi kuhusu historia ya Taifa letu na kero wanazo kumbana nazo ndugu zetu Waislaam nchini, ambazo nyingi ni za kweli; badala ya ku-address kero zao sisi tunabaki tuna wabeza beza na kuwa kejeli. Mtu ungetegemea wana JF na raia wengine wenye kuitakia amani nchi yetu wangeishauri Serikali yetu Tukufu iyavalie njuga maswala ya KERO za Waislaam ili tusije kujikuta tunapigana siku za usoni - hatari hiyo ya kuchezea kiberiti karibu na Gunpowder KEG nyinyi hilo amulioni, tumejaa dhalau TU.

Labda nimalizie kwa kusema kwamba, kitu kilicho msukuma Ndugu Moh. Said kuandika kitabu chake kinatokana na matukio ya kweli aliyo wahi kushuhudia au kusimuliwa na wazazi wake au wetu wengine wenye lika la wazazi wake au zaidi, kingine zaidi kilicho msukuma kuandika kitabu ni kile cha Serikali ya awamu ya kwanza kutowataja raia wote walioshiriki kikamilifu katika kupinga ukoloni wa Waingereza ambao hata jina la mzazi wake halikutajwa, je ingelikuwa ni wewe unalipenda Taifa lako bila ya kutukuza mtu mmoja ungefanya nini kuhusu uposhaji mkubwa wa historia? Nimesoma darasa la kwanza mpaka la saba kwenye somo la historia yetu sikuwahi kusikia majina aliyo taja Ndugu Moh, mfano Dr.Kyaruzi na Dr. Rugazia walijulikana huko Bukoba kama Doctors of medicine, lika letu hakuna aliye kuwa anajuwa kwamba waliwahi kuhusika na harakati za ukombozi, lakini mbona Moh kawataja kwenye kitabu chake, lakini niliona kulikuwa na watu wanamlahumu eti he didn't go far enough kuwazungumzia madaktari hao wakristo! Kichekesho kabisa, mnamlahumu Moh lakini amsemi chochote kuhusu Serikali ya awamu ya kwanza ambayo Mkristo mwenzao hakuwataja popote na wote walisoma Makerere. Nani wa kulahumiwa katika hilo – Moh aliye wataja kidogo au Serikali ya awamu ya kwanza iliyo kaa KIMYA?

Watu tulishuhudia juzi juzi hapa ndio busara za JK zilitumika kwa kuwatunuku nishani mashujaa wetu hawa waliokuwa wamefutwa kwenye historia ya Taifa letu, kumbuka imelichukua Taifa letu takribani miaka 50 na ushee kutaja/kukumbuka mashujaa hao! Ndugu Moh. alishawataja zaidi ya miaka15 iliyopita na wengi walio tajwa kwenye kitabu cha ndugu Moh walitunukiwa nishani, mbona hilo amlisemi - mmekazania UDINI X3.

Tukumbuke kuna Raia ambao wali wahi kupitia zahama zinazo fanana fanana na za baba yake Ndugu Mohammed Said na wenzake wakati wa utawala wa awamu ya kwanza, wako wengi walio fanyiwa vitendo ambavyo havipendezi kibinadamu usione wamekaa kimya kama bado wako hai au ndugu zao mkafikili ni wajinga. Sio vizuri kujaribu ku-muzzle watu wasiseme wanacho kijua, waacheni wafunguke kwa maslahi ya kurekebisha historia ya kweli kuhusu Taifa letu.

















Hii ndiyo naiita post ya mwisho ya kuhitimisha huu mjadala.Imekamilika. None could do better.

Ahsante ndugu Bukyanagandi kwa kuwa muwazi na mkweli.
 
Unajua huu Munaaqasha ungekua wa faida nyingi kama ungeendelea kwenye radio au tv

Upande Yericko Nyerere upande Mzee Mohamed Said. Manake hapa, kama tulivoona, Munaaqasha ulikua interrupted mara kwa mara

Ni wazo tu

Ni wazo zuri, Mungu akijaalia tutaitafuta fursa hiyo na tuwajuze Watanzania wenzetu
 
Last edited by a moderator:
Mchochezi Mkuu katimka kakimbia baada ya kugundua kuwa JF si kama uwanja wa mihadhara, watu wanahoji na wanadadisi...sasa wamebaki "cheerleaders" kumlilia kwa kuwaacha wakiwa! Jf kiboko, huko nyuma wako wengi waliokimbia kama yeye na hadi leo hata kuingia humu wanaogopa. Eti hadithi na simulizi za mtaa wa Gerezani zinaitwa historia!...hapana, hapa JF zinaitwa kwa jina lake halisi, ngano.

Nina hakika waliofuatilia mjadala huu kwa makini watakuwa wamejifunza mengi lakini tusije tukawashangaa wale ambao wameambulia sifuri...uelewa watu hutofautiana, wapo ambao wataendelea kulalamikia mtihani badala ya mapungufu yao, oh tunaonewa! Common sense is not that common otherwise id.io.ts would have no domicile! Wapo wanaoamini kwa akili finyu kwamba wanatoa darsa kumbe ni wao wanapewa darasa!

Baada ya maswali yangu kwa mchochezi kukosa majibu, na mimi naaga nikiwaachia uwanja the Barubaru's, the zomba's, the vichwangumu and company. You are free to go ahead and dance yourselves lame...unfortunately the music has long stopped playing!

Haahaaa haahaa mkuu nimeipenda kauli yako ya "hapa jf tunaziita ni Ngano"

Mohamed Said anatumia mwanya wa ufinyu wa uelewa wa Watanzania wengi juu ya historia yao!

Lakini tukiwa kama watu wenye hekima na maarifa tumemkanya na makanyo haya ni ya nyika, ayashike ipasavyo, akipuuza, laana ya wazee wake anaowatumia vibaya ijuu yake!
 
Shekhe Mohamed Said nakuomba kama upo jirani na runinga mda huu, angalia TBC1 kuna kipindi cha twambi, Shekhe Mkuu wa mkoa wa Dar anazungumza jambo moja muhimu sana juuu ya Waislamu na maendeleo nchini!
 
Mchochezi Mkuu katimka kakimbia baada ya kugundua kuwa JF si kama uwanja wa mihadhara, watu wanahoji na wanadadisi...sasa wamebaki "cheerleaders" kumlilia kwa kuwaacha wakiwa! Jf kiboko, huko nyuma wako wengi waliokimbia kama yeye na hadi leo hata kuingia humu wanaogopa. Eti hadithi na simulizi za mtaa wa Gerezani zinaitwa historia!...hapana, hapa JF zinaitwa kwa jina lake halisi, ngano.

Nina hakika waliofuatilia mjadala huu kwa makini watakuwa wamejifunza mengi lakini tusije tukawashangaa wale ambao wameambulia sifuri...uelewa watu hutofautiana, wapo ambao wataendelea kulalamikia mtihani badala ya mapungufu yao, oh tunaonewa! Common sense is not that common otherwise id.io.ts would have no domicile! Wapo wanaoamini kwa akili finyu kwamba wanatoa darsa kumbe ni wao wanapewa darasa!

Baada ya maswali yangu kwa mchochezi kukosa majibu, na mimi naaga nikiwaachia uwanja the Barubaru's, the zomba's, the vichwangumu and company. You are free to go ahead and dance yourselves lame...unfortunately the music has long stopped playing!

Mag3,

Wewe peke yako huniwezi.
Wewe na mfano wa wewe mje 20 na zaidi ya hapo.

Mchukue na kundi kubwa lisilo na idadi ya sampuli ya Yericko.
Hamfui dafu kwangu.

Sifanyi maskhara nasema kwa dhati ya nafsi yangu hamniwezi.

Kama majibu ya kitabu changu wangelijibu Idara ya Historia ya
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
 
Mag3,

Wewe peke yako huniwezi.
Wewe na mfano wa wewe mje 20 na zaidi ya hapo.

Mchukue na kundi kubwa lisilo na idadi ya sampuli ya Yericko.
Hamfui dafu kwangu.

Sifanyi maskhara nasema kwa dhati ya nafsi yangu hamniwezi.

Kama majibu ya kitabu changu wangelijibu Idara ya Historia ya
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Niliaga, nikifikiri nawe umeaga kumbe unakusanya nguvu! Safari hii kama umeamua kurudi naomba usitujazie server JF na simulizi na porojo za barazani Gerezani
Inawezekana katika fikra zako ulitegemea ungejibizana na Mwalimu (duh!) ukapuuzwa, ukadhani utajibizana na Kanisa (duh!) ukapuuzwa, ukadhani utajibizana na magwiji wa historia wa UDSM ukapuuzwa, ukakimbilia nje ya nchi kwa wageni, wakakusikiliza, ukakimbilia mihadhara ukapokewa kama shujaa, ukakimbilia radio imaan...kwa nini usingebaki huko huko? Angalia sasa unavyojuta kuleta porojo zako JF! Je unatofautiana vipi na Sheikh Ponda?, unatofautiana vipi na Sheikh Ilonga? Tafakari ndugu yangu.

Maadamu umeamua kurudi maswali yangu yako pale pale...tusaidie kwa kuyajibu.
Nadhani sasa ni muda muafaka wa kufanya mathalani tathmini kidogo ya yaliyojiri na ikiwezekana kuwawezesha wengi wanaofuatillia huu mjadala kutafakari yaliyojitokeza na kujiuliza maswali kadhaa. Mengi ya haya maswali ni yale ambayo ninaamini majibu yake hayapatikani kirahisi ndani ya vitabu alivyoviandika Mohamed Said kuhusiana na harakati za kudai uhuru wa Tanganyika. Hata hivyo nina ombi moja tu kwamba kuanzia sasa kama kuna hoja ama ufafanuzi unatakiwa kutolewa, utolewe kwa njia inayokubalika kwa lengo la kuelimishana lakini kama mtu hana hoja au jibu sahihi ingefaa sana akibakia msomaji tu.

Wanajamvi naomba kwanza tujaribu kujizuia na majibu ya dhihaka na kejeli tuweze angalau kudumisha amani, upendo, undugu na utanzania ambao tumejivunia kwa miaka mingi bila kubaguana kwa misingi aliyotuwekea Baba wa Taifa. Na pili naomba mimi niwe wa kwanza kumuuliza Mohamed Said maswali mawili matatu ambayo yanaleta utata katika maandiko yake ambayo, kama anavyodai ameyafanyia utafiti wa muda mrefu, sidhani kama atashindwa kuyajibu kwa ufasaha.. Mohamed Said, maswali yangu kwako ni haya;



  1. Baada ya TANU kuasisiwa, viongozi wake wengine wa juu, pasi Mwalimu Nyerere aliyechaguliwa kwa kishindo kuwa Raisi wake wa Kwanza, walikuwa ni akina nani, walipatikanaje (kuteuliwa au kupigiwa kura?) na kwa sifa zipi? Hapa nina maana ya Makamu Raisi, Katibu na msaidizi wake, Katibu Mwenezi kama alikuwapo, Mweka Hazina n.k Hapo naongelea iliyokuwa kama kamati kuu ya TANU baada ya kuzinduliwa kama iliwahi kuwepo.
  2. Kama viongozi hawa waliteuliwa, ni nani aliyewateua na kwa kuzingatia nini. Je, katiba ya TANU ilikuwa inasemaje na je ilifuatwa katika kuwateua?
  3. Kama viongozi hawa walichaguliwa, walipendekezwa na nani waweze kupigiwa kura? Je hawa wajumbe waliowachagua walipatikanaje? Je majina yao yanaweza kuwekwa wazi kwa wanaofuatilia mjadala huu?
  4. Mohamed Said, umedai kuwa TANU ilivyozidi kupanuka na kuenea sehemu mbali mbali, idadi ya viongozi Wakristo iliongezeka kwa kasi na kuanza kuwatia shaka wenzao wa Kiislaam...je hawa viongozi walipatikanaje? Je waliteuliwa au walichaguliwa kwa kupigiwa kura?... vyovyote vile je katiba ya TANU ilifuatwa?


Wanajamvi naamini haya maswali ya mwanzo ni muhimu sana katika kuangalia, kutafakari na kujiridhisha na timeline kuhusu baadhi ya Watanganyika walioshiriki karika harakati za kudai uhuru kutokuwa na imani na uongozi wa Mwalimu kabla ya uhuru. Baadaye tutaingia kwenye awamu ya pili nayo ni baada ya uhuru...kitu gani kilileta kutokuaminiana?
 
Niliaga, nikifikiri nawe umeaga kumbe unakusanya nguvu! Safari hii kama umeamua kurudi naomba usitujazie server JF na simulizi na porojo za barazani Gerezani
Inawezekana katika fikra zako ulitegemea ungejibizana na Mwalimu (duh!) ukapuuzwa, ukadhani utajibizana na Kanisa (duh!) ukapuuzwa, ukadhani utajibizana na magwiji wa historia wa UDSM ukapuuzwa, ukakimbilia nje ya nchi kwa wageni, wakakusikiliza, ukakimbilia mihadhara ukapokewa kama shujaa, ukakimbilia radio imaan...kwa nini usingebaki huko huko? Angalia sasa unavyojuta kuleta porojo zako JF! Je unatofautiana vipi na Sheikh Ponda?, unatofautiana vipi na Sheikh Ilonga? Tafakari ndugu yangu.

Maadamu umeamua kurudi maswali yangu yako pale pale...tusaidie kwa kuyajibu.

Kichwa cha gramafoni kilichokwama kwenye sahani ya santuri HMV.

Kila kikifika kwenye kishimo kinakwama hakendi mbele kinajirudia hapo
hapo hadi aje mtu kukisogeza mbele...

Kichwa cha gramafoni ndiyo wewe na maswali yako yanayochusha.
Nami nikiona unachusha nakupuuza sikujibu.

Wenzako walikusanya magazeti ya Africa Events wakayachoma moto.
Hilo ndilo lilikuwa jibu lao.

Kanisa limejibu.
Au huna taarifa?

Soma tamko la Maaskofu la Xmas.
Ukiwa hukuliona jibu lao rudi hapa uniulize kwa adabu nitakupa jibu.

Nyerere ameandika hadi anakwenda hospitali akiandika...
Au hujui?

Saida Othmann Yahya (mke wa marehemu Prof. Haroub Othman) na
Prof. Issa Shivji wanaandika hivi sasa maisha ya Nyerere.

Au na hili hujui?

Chanzo cha kazi hii ya kuandika maisha ya Nyerere ni kitabu changu na
cha Ali Muhsin ''Conflict and Harmony in Zanzibar.''

Wewe huna moja ujualo katika mawanda haya.

Kuhusu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Idara ya Historia...

Mie sitakupa jibu hebu wewe nenda pale kaulize kwa nini mko kimya sasa
mwaka wa 15 hamjaandika kitabu kujibu ''ngano'' za Mohamed Said.

Au ukipenda waulize mbona hamkufanya ''review'' ya kitabu chake?

Kimya chao hadi leo ndiyo jibu lao.

Sikukimbilia Marekani na Ulaya.
Vyuo Vikuu mtu hakimbilii.

Unaalikwa kwa sifa zako.
Au hili nalo hulijui?

Au we hapa JF ndiyo unaona umefika huna tena safari?
Ushatua mizigo yako.

Unataka kutamba kwa kuuliza swali JF...
Kwanza hebu jiangalie unavyoandika wewe na fananisha ninavyoandika...

Jitathmini mwenyewe.

''Paper'' nilizoandika na makala wala sijui hesabu zake.

Hakuna gazeti na jarida ambalo sijaandika kuanzia Africa Confidential hadi
The Economist.

Hakuna radio station ambayo sijafanyanayo mahojiano.
Zisizopenda kuzungumza na mimi ni hizi za hapa nyumbani.

Ni baada ya kitabu kutangazwa na ''publisher'' katika duru za kisomi na ''riviews''
kuandikwa ndipo nikaanza kutafutwa.

Sifa kubwa ya kitabu chochote cha kisomi ni kuja na habari mpya iliyokuwa haijulikani.
Habari mpya katika kitabu changu ilikuwa ''Islam and Politics in Colonial Tanganyika.''

Angalia katika ''catalogue'' hiyo ndiyo ''classification'' ya kitabu changu.

Kitabu kikapata ''reviews'' mbili katika Cambridge Journal of African History.
Ukiingia humo umefika.

Au hili pia hulijui?
Wewe ni JF, JF, JF...

Hapa nyumbani kitabu kikapewa ''serialisation'' tatu katika The East African.
Naamini juu ya hayo yote unajua hadhi ya The East African.

Zitafute hizo ''series'' utazipata ilikuwa December 1998.

Narudia tena kukuambia wewe peke yako huniwezi wewe njoo na wenzako 20
au na zaidi mimi nitakuwa peke yangu.

Sifanyi maskhara.
Mjikusanye kama mnavyojikusanya JF...

Wewe peke yako huniwezi.
Kuna mtu hapa jamvini alikuonya akakuambia, ''Huyu mume mkubwa humuwezi.''

Bado hujaamini?
Au ulidhania anakufanyia utani?

Bado unaamini John Iliffe, Jonathan Glassman, James Brenan na wengineo, wasomi
hawa mabingwa wa African History waliokifanyia ''review'' kitabu changu walikuwa
wanareview ngano?

Bado unaamini The East African ile ''serialisation,'' iliyodumu wiki tatu walikuwa waki
''serialise'' ngano?

Bado unaamini Amazon, WH Smith, Africa House (London) hawa wote waliokuwa wakiuza
kitabu changu walikuwa wakiuza unga wa ngano?

Bado unaamini Phoenix Publishers, Nairobi ambao sasa wanakwenda toleo la tatu la kitabu
changu nakala ya Kiswahili wanachapa kitabu cha ''ngano?''

Utabaki hivyo hivo na hizo chuki, kejeli, choyo na husda zako.
Kama hujui maana khasa ya ''hasad'' Ritz au Zomba watakufahamisha.

Nimerudi kukata hicho kibri chako.
Nakusihi ukae kimya sitopenda Insha Allah kusemezana na wewe tena baada ya leo.
 
Nakuelewa vizuri sana mkuu Zomba analysis yako ni spot on kabisa - ni kweli mimi ni Mkristo wa madhebu ya Kilutheli lakini ukoo wetu una Wakatoliki, Wapagani, Waislaam na Waislaam wa Bukoba wanakuwa Waislaam kupindukia Baba mdogo wangu kwa mfano alipokuwa anakuja kututembela alikuwa anabeba sufuria,vijiko na sahani zake anasema hawezi kutumia sufuria zetu zilizo tumika kupikia nguruwe.

Back 2 the point kuhusu ndugu Mohammed Said - mimi nilikuwa nimekaa kimya bila kuchangia kwa muda mrefu 4 a reason nikiangalia watu wakitetea vitu ambavyo vinaweza kulihingiza Taifa letu kwenye turmoil kwa kuendekeza u-fanatism wa mtu mmoja. Heading ya post na majibu ya baadhi ya wana jamvi yalionyesha wazi wazi kuna kikundi kulikuwa kimejipanga kumuharibia sifa ndugu Mohammed Said ili aonekane ni mdini, mkabila na mtu hatari ambaye amepania kuligawa Taifa letu kwa misingi ya imani za kidini - wanayasema hayo kimaksudi sio kwamba hawajuhi kwamba ni mambo ya kutunga tu!! Wanafikili Watanzania hawana akili za kuchambua mambo bila ya kuwa swayed na kikundi chochote.

Mimi na Watanzania wenzangu wengi wapenda amani katika Taifa letu tunasikitishwa sana na mbinu za jamaa hawa, hatuzipendi hata kidogo, personally sijawahi kujihisi niko threatened na Waislaam au dini yao. Ndugu Moh alifanya kitendo cha ujasiri - kwanza: Kunyoosha historia ya kweli kuhusu wanaharakati walio husika katika mapambano na wakoloni - wengi wao tukubali walikuwa ni Waislaam na Wakristo wachache kwani tatizo liko wapi hapo, cha ajabu kuna baadhi ya Wakristo fanatics ambao hawataki kulisikia/kukubali hilo; as far as they are concern Nyerere ndiye alikuwa Alpha na Omega - kundi hilo ndilo linamkalia kooni ndugu Mohammed Said!

Kama tunalitakia mema Taifa letu, kitu cha kwanza tulikuwa tunapaswa kumshukuru Ndugu Mohammed Said kwa kuwa muwazi kuhusu upindishwaji mkubwa wa historia ya wanaharakati, pili kueleza bayana Waislaam kutotendewa haki katika Taifa lao huru, malalamiko mengi anayo lalamikia Moh yana ukweli ndani yake - Sasa hapo amekosea nini?? Je angehamua kukaa kimya na kufikilia mambo mengine unfortunate akishirikiana na wenzake mgewafanya nini au mnafikili uwezo huo hawana? Tatizo tulilo nalo wengi wetu ni kukosa kutafakali mambo kwa kina - hivi inawaingia akilini kwamba mnaweza kupuuzia forever malamiko ya kweli ya madhebu ambayo ni nusu ya population ya Watanzania???

Mkuu ZOMBA hapa chini nilikuwa namjibu Yericko na WildCard -

nimejaribu kueleza kwa kirefu kwamba Wa Tanzania tukubali na kuwaenzi mashujaa walio shiriki katika mapambano na wakoloni hata kama walioshiriki hatupendi dini zao - ukweli utabaki palepale: God bless U mkuu.



Mkuu kwani nani kaleta hoja hii jamvini, au ulishirikiana kikamilifu na mleta hoja aliyepania kuonyesha Dunia kwamba Ndugu Mohammed Said ni mtu hatari sana na mchonganishi!! Inapokuja swala la ndugu Moh, Jericko keeps going in circles na hii si mara yake ya kwanza kuanzisha controversal posts za kumshambulia Mohammed Said bila simile!! Hapa mnajifanya eti hoja hii ifungwe na sijuhi tusameane lakini hapo hapo mnasema kwamba Moh. ni mdini, mkabila, anajikweza kuandika historia alioitengeneza mwenyewe and all vices you can imagine, tuwe wakweli hapa - unataka kueleza wana JF kwamba hakuna kitu chochote alichojifunza kutokana na kitabu/makala ya ndugu Moh; in other words wewe umebobea katika nyanja za historia ya kweli kuhusu Taifa letu, kama kuna ukweli wowote katika hilo mbona uleti jamvini tukaijadili. Mmekazania ku-teardown historia/maoni ya Ndugu Moh. mkiwa na imani kwamba hilo tu litaweza ku-built UP mtizamo wenu - what a folly!

Please revisit headig ya hoja ya Jericko, hiko je? highly derogative isn't it!! Je hii ni bahati mbaya au? - Kwa nini tushangae alicho kuja zungumza baadae! Yuko obsessed na Mohammed Said as if Moh is some MONSTER, sijawahi kusikia Mohammed Said eating anyone dead or alive sasa tatizo liko wapi!! - watu waogope kuzungumza wanayo yajuwa kwa kuogopa kuzungumzia a virtual demi-GOD?
Kumbukeni kwamba Watanzania ni waelewa wa mambo, wana akili za kuchambanua mambo na kujua ukweli huko wapi, kama Jericko unaona Mohammed kaandika historia ambayo afikiani nayo kwa nini andiki historia ya kwake mbadala ukatuletea hapa jamvini tuakaijadili, ninacho kishuhudia humu ni baadhi ya wana JF specifically mleta hoja ana jump from tree 2 tree looking 4 anything however infinitesimal za kuweza kum-pin down Ndugu Moh - come rain or shine!!
du, bora ulikaa kimya sababu hueleweki,huchangii hoja badala yake unampaka mafuta mmoja na kumnanga mwingine!
 
Niliaga, nikifikiri nawe umeaga kumbe unakusanya nguvu! Safari hii kama umeamua kurudi naomba usitujazie server JF na simulizi na porojo za barazani Gerezani
Inawezekana katika fikra zako ulitegemea ungejibizana na Mwalimu (duh!) ukapuuzwa, ukadhani utajibizana na Kanisa (duh!) ukapuuzwa, ukadhani utajibizana na magwiji wa historia wa UDSM ukapuuzwa, ukakimbilia nje ya nchi kwa wageni, wakakusikiliza, ukakimbilia mihadhara ukapokewa kama shujaa, ukakimbilia radio imaan...kwa nini usingebaki huko huko? Angalia sasa unavyojuta kuleta porojo zako JF! Je unatofautiana vipi na Sheikh Ponda?, unatofautiana vipi na Sheikh Ilonga? Tafakari ndugu yangu.

Maadamu umeamua kurudi maswali yangu yako pale pale...tusaidie kwa kuyajibu.

Tumeaga wote na tumerudi wote.

Mag3, unaposema usitujazie server kwani JF ni mali yako halafu usipende kuwasema wanabodi wa JF kwa niaba yao wewe jisimamie peke yake yako hakuna member yeyote alikutuma unatumia maneno eti sisi JF. JF tunaita ngano.

JF kuna members zaidi ya laki moja huna mamlaka ya kuwasemea jenga hoja zako na kundi lako la kina Yericko.

Halafu hapa hatupo kwenye chumba cha mtihani kama unaijua historia andika watu wakusome siyo kujifungia na chumbani kuleta maswali ya chekechea.

Wafuatiliaji ndiyo wanapima mambo siyo wewe, hebu andika tukusome na wewe siyo kujificha nyuma ya laptop huku unatoa kejeli na matusi, au JF kwako ndiyo umefika.

JF kuna fikra nyingi kuna wasomi makini, kuna wasomi wapuuzi, kuna watu wanaheshimika kwa michango yao, kuna kundi la wajinga pia, kuna kundi la kutukana pia. Wewe mimi na members wengine ni sehemu tu ya JF.

Tarudi tena kujibizana na wewe ambaye unajifanya rais wa JF.
 
Last edited by a moderator:
Kichwa cha gramafoni kilichokwama kwenye sahani ya santuri HMV.

Kila kikifika kwenye kishimo kinakwama hakendi mbele kinajirudia hapo
hapo hadi aje mtu kukisogeza mbele...

Kichwa cha gramafoni ndiyo wewe na maswali yako yanayochusha.
Nami nikiona unachusha nakupuuza sikujibu.

Wenzako walikusanya magazeti ya Africa Events wakayachoma moto.
Hilo ndilo lilikuwa jibu lao.

Kanisa limejibu.
Au huna taarifa?

Soma tamko la Maaskofu la Xmas.
Ukiwa hukuliona jibu lao rudi hapa uniulize kwa adabu nitakupa jibu.

Nyerere ameandika hadi anakwenda hospitali akiandika...
Au hujui?

Saida Othmann Yahya (mke wa marehemu Prof. Haroub Othman) na
Prof. Issa Shivji wanaandika hivi sasa maisha ya Nyerere.

Au na hili hujui?

Chanzo cha kazi hii ya kuandika maisha ya Nyerere ni kitabu changu na
cha Ali Muhsin ''Conflict and Harmony in Zanzibar.''

Wewe huna moja ujualo katika mawanda haya.

Kuhusu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Idara ya Historia...

Mie sitakupa jibu hebu wewe nenda pale kaulize kwa nini mko kimya sasa
mwaka wa 15 hamjaandika kitabu kujibu ''ngano'' za Mohamed Said.

Au ukipenda waulize mbona hamkufanya ''review'' ya kitabu chake?

Kimya chao hadi leo ndiyo jibu lao.

Sikukimbilia Marekani na Ulaya.
Vyuo Vikuu mtu hakimbilii.

Unaalikwa kwa sifa zako.
Au hili nalo hulijui?

Au we hapa JF ndiyo unaona umefika huna tena safari?
Ushatua mizigo yako.

Unataka kutamba kwa kuuliza swali JF...
Kwanza hebu jiangalie unavyoandika wewe na fananisha ninavyoandika...

Jitathmini mwenyewe.

''Paper'' nilizoandika na makala wala sijui hesabu zake.

Hakuna gazeti na jarida ambalo sijaandika kuanzia Africa Confidential hadi
The Economist.

Hakuna radio station ambayo sijafanyanayo mahojiano.
Zisizopenda kuzungumza na mimi ni hizi za hapa nyumbani.

Ni baada ya kitabu kutangazwa na ''publisher'' katika duru za kisomi na ''riviews''
kuandikwa ndipo nikaanza kutafutwa.

Sifa kubwa ya kitabu chochote cha kisomi ni kuja na habari mpya iliyokuwa haijulikani.
Habari mpya katika kitabu changu ilikuwa ''Islam and Politics in Colonial Tanganyika.''

Angalia katika ''catalogue'' hiyo ndiyo ''classification'' ya kitabu changu.

Kitabu kikapata ''reviews'' mbili katika Cambridge Journal of African History.
Ukiingia humo umefika.

Au hili pia hulijui?
Wewe ni JF, JF, JF...

Hapa nyumbani kitabu kikapewa ''serialisation'' tatu katika The East African.
Naamini juu ya hayo yote unajua hadhi ya The East African.

Zitafute hizo ''series'' utazipata ilikuwa December 1998.

Narudia tena kukuambia wewe peke yako huniwezi wewe njoo na wenzako 20
au na zaidi mimi nitakuwa peke yangu.

Sifanyi maskhara.
Mjikusanye kama mnavyojikusanya JF...

Wewe peke yako huniwezi.
Kuna mtu hapa jamvini alikuonya akakuambia, ''Huyu mume mkubwa humuwezi.''

Bado hujaamini?
Au ulidhania anakufanyia utani?

Bado unaamini John Iliffe, Jonathan Glassman, James Brenan na wengineo, wasomi
hawa mabingwa wa African History waliokifanyia ''review'' kitabu changu walikuwa
wanareview ngano?

Bado unaamini The East African ile ''serialisation,'' iliyodumu wiki tatu walikuwa waki
''serialise'' ngano?

Bado unaamini Amazon, WH Smith, Africa House (London) hawa wote waliokuwa wakiuza
kitabu changu walikuwa wakiuza unga wa ngano?

Bado unaamini Phoenix Publishers, Nairobi ambao sasa wanakwenda toleo la tatu la kitabu
changu nakala ya Kiswahili wanachapa kitabu cha ''ngano?''

Utabaki hivyo hivo na hizo chuki, kejeli, choyo na husda zako.
Kama hujui maana khasa ya ''hasad'' Ritz au Zomba watakufahamisha.

Nimerudi kukata hicho kibri chako.
Nakusihi ukae kimya sitopenda Insha Allah kusemezana na wewe tena baada ya leo.

Maneno ya John Dryden.


"Uongo, kama vile nyasi juu ya maji huelea; Atafutae lulu hana budi kupiga mbizi.
 
Naona kumbe mjadala huu unaweza kuendelea,

Tatizo ni kuwa mjadala wetu hauna jipya kutoka kwa Mchochezi Mohamed Said zaidi ya majigambo ya ngano zake tu!
 
Mag3.

Maalim wangu kanitaka nikupe darsa kuhusu hasad:

Hasad; "envy", "jealousy", kijicho, wivu, roho mbaya, zongo, kutamani na kujaribu huwezi. Na mengineyo mengi ya namna hiyo.

Kuna aina mbili kuu za wivu, moja ni ile ya kutamani kitu alicho nacho mwenzako bila kumuonea uchungu na kupenda nawe uwe nacho kama kile na kuwatamania wengine wawe nacho kama kile au zaidi ya kile kwa manufaa yake na ya wengine. Mfano mzuri, umuanapo mwenzako ana elimu nzuri, adabu nzuri, heshima nzuri, ukaionea wivu na kutamani uwe nayo kama ile na au kuzidi na ukajifunza kutoka kwa yule aliyo nayo na wengine ili nawe uwe nayo na wengine wawe nayo kama ile au zaidi ya ile kwa faida ya wote, basi huo ni wivu mwema na huitwa "ghibtah" Kiislaam. Na wivu kama huu unahimizwa.

Wivu mwingine ni ule ambao ambao unaona kwanini mwenzako kapata, kafanya (lolote liwalo) iwe elimu, mali, mke mzuri, nyumba nzuri, ama kingine chochote na wewe unasononeka roho yako na kufanya kila hila kuzuwia au kupaka matope au kuharibu alichokipata na kufanya kila hila asipate zaidi na ikiwezekana hata hicho alicho nacho kisiwepo, kukiponda, kumponda, ili mradi utafanya vitimbi vya kila aina kwa roho mbaya tu. Huu unaitwa uhasidi na afanyae hivyo huwa ana "hasad' (chuki) ya hali ya juu, kwa kuwa tu yeye hana na hawezi na hapendi mwenzake awe nacho.

Mohamed Said kuupa umma elimu yake kumehamasisha kujitokeza hapa JF watu wa aina mbili, wenye "Ghibtah" na wenye "Hasad". Utajaza mwenyewe upo kundi lipi.

Mimi nimejaribu kutoa darsa fupi kama alivyonitaka Maalim wangu, Wa Allahu Ya Alam.
 
Back
Top Bottom