Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar


Wenzako waliuona ukweli, Jee. wewe uliingizwa huko na nani? Father Kit Cunningham?
 

Hahaha, somo lipi wakati halithibitishi usemi wowote wa kichwa cha mada. Mnakuja na mifano ambayo sisi tukiitumia hiyo hiyo kwa watu ambao walikuja wakawekwa majumbani na ilhali inajulikana wanawake ndio wanawekwa majumbani sijui mtajisikiaje?

Cha kushangaza ni kuwa hakuna mpaka sasa mmoja wenu anaekataa kuwa Abdul, Ali na Abbas walimweka nyerere kwao. Na wao ndio waliomkaribisha Nyerere na wao ndio walikuwa viongozi wa TAA na wao ndio walioibuni TANU. Nini cha ajabu hapo? huo uchochezi mnaoudai nyinyi uko wapi?

Ukweli leo kwenu umekuwa uchochezi? Hiyo TANU ilianzishwa nyumbani kwa nani? mbona hilo hamlisemi? au inauma.
 

JF siyo sehemu ya porojo hebu tutaijie hao watu wanaopita misikitini. Halafu tutajie na hiyo misikiti.
 
Uchochezi ni kama tunaouona hapa chini...Kujaribu kumhusisha Nyerere/Kanisa na madhila yote wanayokumbana nayo waislam.
Au hapa...

Inaelekea hujawasoma watu vizuri au unajifanya huelewi. Soma vizuri. Siyo kila kitu watu wanampinga Mohamed Said.
 
Uchochezi ni kama tunaouona hapa chini...Kujaribu kumhusisha Nyerere/Kanisa na madhila yote wanayokumbana nayo waislam.

Au hapa...


Inaelekea hujawasoma watu vizuri au unajifanya huelewi. Soma vizuri. Siyo kila kitu watu wanampinga Mohamed Said.

Soma vizuri utakuta na reference ya hayo maneno ya Pengo, huamini kuwa Pengo kayasema hayo?
 


inawauma sana mkuu zomba..
Tatizo ni roho za "hasad""
 
Soma vizuri utakuta na reference ya hayo maneno ya Pengo, huamini kuwa Pengo kayasema hayo?
Reference niliyopewa na Mohamed Said ni hii hapa chini:

Kwa hiyo gazeti la majira la tarehe 24 July ndilo lililochapisha habari hiyo?
 


hiyo post ya mwanakijiji unayoishupalia haina hoja mama ya kufuta ukweli aliouandika ndugu moh said hata kidogo mchambuzi..

Kwa maana ya kwamba alichokiongea mwanakijiji ni kwamba moh said amezungumzia umimi sana katika historia yake,yani katika maandishi yake moh said kazungumza kwa kirefu upande mmoja na kuegemea ya kwamba upande huo pekee ndio uliopigania uhuru kufananisha na wengine,,
ukweli haupo hivyo,na mwenyewe moh said kasema wazi,yeye kazungumzia history ya wale anaowafaham,na ambao jamii hiyo iliyopita iliwafaham,lakin kwa makusudi kabisa wakaachwa kando kwenye kumbu kumbu za historia ya nchi hii,na alichokifanya yeye ni kuwarudisha ili watu na jamii yote kwa ujumla ifaham upande wa pili ukoje,sasa wewe ukitaka aandike kipi??
Hao wengine nyinyi si tayari mnawafaham na washaandikwa??
Kwani kuna tatzo gani na hawa waliosahaulika nao wakaandikwa kwa maslahi ya historia njema ya nchi hii??
Tujifunze kuukubali ukweli.
 
Reference niliyopewa na Mohamed Said ni hii hapa chini:


Kwa hiyo gazeti la majira la tarehe 24 July ndilo lililochapisha habari hiyo?

Soma vizuri referenze za Mohamed Said, utakuja kuaibika.
 
Hakuna Uislaam wa namna, Muislaam ni Muislaam. Full Stop. Ikiwa walisilim basi waliuona ukweli uko wapi. Jee wewe? bado uko katika kuaminishwa kuwa Nyerere ni mtakatifu?
Mchakato wa UTAKATIFU ni mrefu sana, kuna uchunguzi wa kina sana. Hata haya UDINI aliopakazwa na mzee wetu Mohamed yanachunguzwa pia. Yakithibitika, yanamwondolea sifa. Hajatangazwa kuwa mwenye heri ninyi mnamuita mtakatifu! Hamuyajui haya. Yaacheni. Ni ya Kikatoliki sana. Hayawahusu ati!
 
Soma vizuri referenze za Mohamed Said, utakuja kuaibika.
Unaonaje ndugu yangu ukinisaidia kuielewa hiyo reference!? Hapa hakuna kuaibika, tupo kujifunza. Mimi kiu yangu ni kujua kama ni kweli hii statement aliyoisema Pengo ilichapishwa kwenye gazeti la majira kwenye tarehe na mwaka husika!?
 
mimi kama kawaida yangu,napita hapa nachota elimu halafu huyo naishia zangu......mengine nawaaichia wenyewe.
 
[TABLE="class: infobox vcard, width: 22"]
[TR]
[TH="align: left"][/TH]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]


Hawa ndiyo watoto wa Nyerere...

[TABLE="class: infobox vcard, width: 22"]
[TR]
[TH="align: left"]Spouse(s)[/TH]
[TD]Maria Nyerere[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Children[/TH]
[TD]
7

  • Andrew
  • Anna
  • Magige
  • John
  • Makongoro
  • Madaraka
  • Rosemary

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[/TH]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
[TABLE="class: infobox vcard, width: 22"]
[TR]
[TH="colspan: 2, align: center"]Tanganyika African National Union[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD="class: logo, colspan: 2, align: center"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Leader[/TH]
[TD="class: agent"]Julius Nyerere[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Founded[/TH]
[TD]July 1954[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Dissolved[/TH]
[TD]January 1977[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Preceded by[/TH]
[TD]Tanganyika African Association[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Succeeded by[/TH]
[TD]Chama cha Mapinduzi[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Headquarters[/TH]
[TD="class: label"]Dar Es Salaam, Tanzania[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Ideology[/TH]
[TD="class: category"]African nationalism[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Cc. zomba, Mchambuzi,
 
Last edited by a moderator:

Hayo uyasemayo yanazidi kuudhirishia ulimwengu kuwa Nyerere alilitumikia kanisani katoliki zaidi ya alivyowatumikia Watanzania. Kwa hayo, hatushangazwi kuwa nyote mnaojidai kuikataa historia ya ukweli ni Wakatoliki. Kataa!
 
Ritz, unaiga kila kitu anachofanya Mohamed Saidi, alipoaga hapa jamvini na wewe ukaaga, aliporudi na mapovu kinywani na wewe ukarudi hapa! vipi huwezi kusimama kwa miguu yako?
 
Ritz, unaiga kila kitu anachofanya Mohamed Saidi, alipoaga hapa jamvini na wewe ukaaga, aliporudi na mapovu kinywani na wewe ukarudi hapa! vipi huwezi kusimama kwa miguu yako?

Hayo maneno mwambie Yericko Nyerere, Mag3, wote hawa waliaga na wakarudi vipi na hawezi kusimama kwa miguu yao au wanaiga kila kitu kutoka kwa Mohamed Said, au nikuletee mabandiko yao wanavyoaga kwa mbwembwe!! Mimi sina mapovu yeyote.
 
Last edited by a moderator:
Yericko Nyerere; Nakwambia ya kwamba huyu Mohamed Said huyu ninaweza kusema ya kwamba ni janga kwa nyakati hii tuliyonayo. Nakuomba achana naye kabisaaaa!


Ni kweli kabisa mkuu, aina za ushiriki wa mijadala ya wazi kwa Mohamed Said hasa kwa anaoona wanaijua historia ya nchi hii huwa anaikwepa sana!
 
Last edited by a moderator:
kikwete,s speech at Boston University
" Kikwete expressed a very positive view of all that Nyerere had done to achieve equity in the educational sector for the sake of religious tolerance, saying, "Drastic as they may seem, these steps went a long way toward promoting and projecting the larger cause of national unity and social harmony which has become the hallmark of Tanzania today."
 

Ndiyo umeleata ile audio ya Nyerere ulisema ndani ya masaa 24 leo siku ya saba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…