Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Mantiki inabaki palepale kuwa maeneo hayo ni makazi ya Ngano tu!
Poor old man, you have never addaed any historical knowledge in this world, you only keep on barking like a toothless dog!
Kwa hiyo baba'ko na mama'ko wakati wanakukaripia kwa kukukanya unawaita baba'ko "baba koko" na mama'ko "mama koko" ndio Kiswahili kikuavyo hivo? au sivyo unavyotaka kusema, sasa huo u "wild" wa Dr. Harrith uko wapi? unaweza uonesha kwa kuufungulia nyuzi?, ili tusiharibu mada ya Yericko Nyerere?
Mimi ni ''product'' ya mazingira hayo.
Nimehadhiri kwingi na kuandika vitabu na publisher wenye hadhi duniani
kama Oxford University Press.
Unasemaje?
Bado unadharau majlis yangu ya kahawa?
poor old man, you have never addaed any historical knowledge in this world, you only keep on barking like a toothless dog!
Mama Nuru, Shamma na Shufaa. Aaah Sheikh Mohamed Said, unanipeleka nyumbani kabisa, hakuna ambae alikuwa hamjui mwenzake Kariakoo yetu, Kuanzia Gerezani Mpaka Kisutu mpaka Jangwani nani asiyemjuwa mwenzake? halafu hawa kina Yericko leo wanakuja humu badala ya kukaa na wapate faida wanaleta za kuleta? Namkumbuka Sharrif Saggaf na wanawe au watoto wa nduguze kina Ali "ndimu", kina Mzee Ali Awadh wa Mchikichi, "Gordon Scott", na wale mabulushi ambao baba yao alikuwa na dawa za kihindi (ayuverdic medicine) kina Marehem Shamim.
Tahiya ana uhusiano wowote na kina Tewa Saidi Tewa? kuna kijana pale kwao siku hizo alikuwa mdogo akiitwa Tewa.
Nasubiri kwa hamu kubwa habari za Nyerere ndani ya Sheikh Kassim.
Umenikumbusha Mnazi mmoja ya kweli hiyo na siku za sikukuu ya Eid. Amma kweli siku zinapita.
Turudi kwenye mada, maana hapa kina Yericko Nyerere na kikundi chake hawaambulii kitu.
Bahati mbaya kwako kuwa sita jibu habari unazothibitishia jukwaa kuwa ni:
"Kuna wakati Nyerere alipewa sifa mitaani ya kuwa ni "mchonga",
Kitendo tu chakuwa ni habari za MITAANI kwangu kinaniondolea sifa ya kujibu!
Huwa sijibu wala kujishughulisha na habari za mitaani/vijiwe vya kahawa kama afanyavyo Mohamed Said!
Lete hoja ya msingi kwa taifa letu achana na NGANO hizo kijana!
Mama Nuru, Shamma na Shufaa. Aaah Sheikh Mohamed Said, unanipeleka nyumbani kabisa, hakuna ambae alikuwa hamjui mwenzake Kariakoo yetu, Kuanzia Gerezani Mpaka Kisutu mpaka Jangwani nani asiyemjuwa mwenzake? halafu hawa kina Yericko leo wanakuja humu badala ya kukaa na wapate faida wanaleta za kuleta? Namkumbuka Sharrif Saggaf na wanawe au watoto wa nduguze kina Ali "ndimu", kina Mzee Ali Awadh wa Mchikichi, "Gordon Scott", na wale mabulushi ambao baba yao alikuwa na dawa za kihindi (ayuverdic medicine) kina Marehem Shamim.
Tahiya ana uhusiano wowote na kina Tewa Saidi Tewa? kuna kijana pale kwao siku hizo alikuwa mdogo akiitwa Tewa.
Nasubiri kwa hamu kubwa habari za Nyerere ndani ya Sheikh Kassim.
Umenikumbusha Mnazi mmoja ya kweli hiyo na siku za sikukuu ya Eid. Amma kweli siku zinapita.
Turudi kwenye mada, maana hapa kina Yericko Nyerere na kikundi chake hawaambulii kitu.
Na Picha nilizokuwekea huzioni?
Zomba,
1993.
Jana yake nimependa ndege kutoka Paris hadi London.
Nikitokea Le Havre Ufaransa.
Siku ya pili ni Eid Haj.
Asubuhi nimekwenda kuswali Regent Park Mosque msikiti mkubwa wa London.
Baada ya sala nimesimama nje ya msikiti nimepwelewa sina pa kwenda.
Mara nasikia makelele mtu ananita kwa jina langu la utani.
Nageuka namuona Shufaa na wanae na mkwewe Bi Asha (mama yake Yusuf, Kassu
na Mariam) wamesimama kando ya barabara.
Makelele yale akipiga Shufaa kuniita.
Nikapata pa kwenda na kupiga biriani.
Walikuwa wanakaa Surrey karibu na Wembley Stadium.
Huyu Tewa sikupata kumjua.
Mimi nimepata mengi katika historia ya Dar es Salaam kutoka kwa baba yangu.
Huyu Yericko msamehe.
Juu yako wala sina kikinza,
Utakumbuka kule nyuma nilieleza kuwa wanakualika ukawasimulie na wanafurahie NGANO zako zilizo zao la vibaraza vya kahawa kule Gerezani, sio KUHADHIRI historia ya Uhuru wa nchi hii, tena lifute kabisa kichwani na kinywani mwako kuwa NGANO zako ni Historia ya UHURU wa Tanganyika/Tanzania!
Nani kakudanganya kuwa historia ya nchi hii imeanzia na kuishia Gerezani hapo tu?
Zomba,
1993.
Jana yake nimependa ndege kutoka Paris hadi London.
Nikitokea Le Havre Ufaransa.
Siku ya pili ni Eid Haj.
Asubuhi nimekwenda kuswali Regent Park Mosque msikiti mkubwa wa London.
Baada ya sala nimesimama nje ya msikiti nimepwelewa sina pa kwenda.
Mara nasikia makelele mtu ananita kwa jina langu la utani.
Nageuka namuona Shufaa na wanae na mkwewe Bi Asha (mama yake Yusuf, Kassu
na Mariam) wamesimama kando ya barabara.
Makelele yale akipiga Shufaa kuniita.
Nikapata pa kwenda na kupiga biriani.
Walikuwa wanakaa Surrey karibu na Wembley Stadium.
Huyu Tewa sikupata kumjua.
Mimi nimepata mengi katika historia ya Dar es Salaam kutoka kwa baba yangu.
Huyu Yericko msamehe.
Kwa Shufaa, Harrow on the hill, napaona machoni. Juzi juzi tulikuwa nae Dar,. MashAllah. Mwenyeezi Mungu awarehem Bi. Asha na Yussuf.
Yericko,
Sijasema historia imeanza na kuishia mitaa ya Kiungani, Kipata, Somali, Kirk nk.
Mimi nimeeleza habari za wazee wangu.
Si zaidi si pungufu.
Nitafuta vipi historia hii na mimi nishangia Cambridge Journal of African History na Library of Congress
Washington, DC?
Na hapo Library of Congress nishafika na kitabu changu nakala chungu nzima zipo hapo.
Mtu unafutaje mambo haya?
Ndiyo nakwambia Yericko kusanya kundi la watu mfano wa wewe ndiyo labda...
Wewe peke yako huiniwezi ng'o.
mzee ms kama unayo wewe si uiweke? Na vipi kujibu baadhi ya maswali mepesi kwako halafu yale ya maana unayapotzea?Vipi clip ya hotuba?
Hiyo ndiye msema kweli.
Imeshindikana kupatikana?
Mkuu THE BIG SHOW, wapi mzee wako Mohamed katukanwa?nadhan sasa yericko x,kawambia mje kwa style ya matusi zaid,na kejeli zaid ili muharibu mada yote hii lakin haitasaidia,ukweli wote ushasemwa hadi kufikia sasa,,
kinachofanyika sasa ni kusherehesha tuh,,
sasa punguzen basi hizi ngebe zenu ili mjadala upate tamati na hitimisho la kueleweka,,
aliaga ndugu moh said mkasema kawakimbia,na mkamuomba arudi na kwamba mna mmis,,
sasa amerudi kujibo hoja zenu mmeanza kuingiwa na stress,,vipi??
Mohamed Said tambo,kiburi,jeuri na ututusa ni viinimacho vya binadamu mzandiki!
Sijui na siamini kama upo bereshi hilo! Lakini fikra zangu sahihi zinanipeleka mtazamo chanya!
Hivi nikikuuliza kuwa unapenda kuiona Tanzania ya aina gani mwaka 2015, unaweza kusemaje?
Kumbe zomba ni mzee? Leo ndio nimefumbuka macho, dini(sio udini) ni bangi!
Ndebile, P. O. Box. Private Bag, Mwashilalage- Kwimba, MWANZA.
Yericko,
Ala kutamba sifa ya yetu Wamanyema.
We ulikuwa hujui.
Si nimekuambia mtego wako umekamata chui.
Ulidhania natania.
Hilo la Tanzania itakuwaje 2015 hilo ni swali lenu nyie madhalim.
Mnadhulumu watu kwa dini zao halafu mnaleta jeuri, kejeli na kibri.
Tulia isome hii historia ya wazee wetu angalia walimpokeaje baba yako
na yeye aliwalipa nini...
Hivi wewe wa kumnanga marehemu Abdu Sykes?
Ati kashindwa kwenye uchaguzi na Nyerere...
Baba yako akimuheshimu.
Nimekuwekea post kuhusu uchaguzi ule wa 17 April 1953 kati ya Nyerere na
Abdu Sykes unajifanya hujaiona.