Accepted, of course I understand. Very true to form...at least I expected that much. Your biggest mistake however, the one you will live to regret till the day you join your ancestors, was to underrate this forum. Endelea kuwajaza wasiokufahamu hizo ngano lakini kumbuka, from now on things will never be the same again. I know you wish you could take it all or some of it back but too late buddy, the jinn is outer the bag, just bear it and like it.Mag3, Nadhani unaelewa sana kuwa huwa sijibu kila post.
Bw Said wewe hujanipata mimi kabisa; sina tatizo na uandishi wako hata kidogo wala kuandika kwa kutumia mwanga wa Uislamu. Nilikuwa namjibu huyu kijana ambaye ameona miye kukuuliza kuhusu dini ya Kina Kleist na wazee wao kuwa ni udini. Hoja nzima ya kwako ya kitabu na kazi zako imejengwa kwenye dini kwa hiyo ni vizuri mtu akasoma hivyo na kufanya hivyo wala siyo udini ni uamuzi tu umeuchukua. Sasa na wasomaji nao wana haki ya kuulizia maswali ya dini kwa kadiri yanavyojitokeza katika uandishi wako sivyo?
Understood, you are free to refuse to answer questions or give documentary evidence if the response may expose you to social disgrace and loss of status. The privilege against self-incrimination forbids us from compelling you to give testimonial evidence that would likely incriminate you...bravo!Hivi nitumie lugha gani unielewe ndugu yangu mimi siko hapa kumjibu yoyote.
Understood, you are free to refuse to answer questions or give documentary evidence if the response may expose you to social disgrace and loss of status. The privilege against self-incrimination forbids us from compelling you to give testimonial evidence that would likely incriminate you...bravo!
But then the question arises, kwa nini uko hapa?
Hapo unajisikiaje? Roho inatamani kuona Founder wa TANU ni Abdu Sykes?
The only thing you seem to have learnt, not from Mohamed Said but from JF GT, is internet etiquette...congratulations! Those fonts were starting to get into our nerves! But Darasa? Oh come on, who are you kidding!To deliver A Darsa to those who are in need of it..! And forsure me,u and others we real value his time which he is spending with us over here..
mbona kila nchi wameandika founder na tanganyika wameweka leader!!
the only thing you seem to have learnt, not from mohamed said but from jf gt, is internet etiquette...congratulations! Those fonts were starting to get into our nerves! But darasa? Oh come on, who are you kidding!
Naona mnaumizwa kwa kuambiwa kuwa Nyerere hakuwa anafahamika Dar es Salaam.
Ngoja nikuambie.
Abdu hakuwa anamjua Nyerere kabla ya siku ile alipoletwa kwake na Kasella Bantu.
Ikiwa aliokuwa anajulikana na wenzake wa Makerere bado kwa mji wa Dar es Salaam
Nyerere alikuwa mgeni hajulikani.
Baba yangu alikuwa maarufu sana Dar es Salaam katika circle za vijana wenzake na
kamjua Nyerere nyumbani kwa Abdu Sykes.
Shariff Attas mtu maarufu Dar es Salaam hakuwa anamjua Nyerere hadi alipomuona anakuja
ofisini kwa Abdu Sykes Kariakoo Market.
Mzee Mshume mtu maarufu Dar es Salaam hakumjua Nyerere hadi alipojulishwa na Abdu pale sokoni.
Sheikh Hassan bin Amir hakumjua Nyerere hadi alipopelekwa kwake na Abdu na Dossa.
Sheikh Mohamed Ramia hakuwa anamjua Nyerere hadi alipoletwa kwake na Idd Tosiri na
Idd Faiz Mafongo.
Waliokuwa wanamjua Nyerere ni hao hao jamaa waliotoka pamoja sehemu za bara.
Kwa Dar es Salaam alikuwa ni mgeni.
Kwani cha ajabu nini?
Ugeni si kitu cha kukionea aibu.
Mengine sina haja ya kujibu.
hapo sasa ndipo kwenye swali kuu..!
Then cha kushangaza zaid huyu leader mwenyewe anabatizwa utakatifu..!
What a shame..!
Hivi nitumie lugha gani unielewe ndugu yangu mimi siko hapa kumjibu yoyote.
Uniulize wewe kama nani na iwe nini khasa?
Kitabu kina miaka nenda miaka rudi.
Nenda kaulize maswali Kivukoni College walioandika historia rasmi.
Hao ndiyo wa kuulizwa.
hapa tuingie kwenye filosofia kidogo. Wote hao uliwataja walipaswa kumjua? Maana unavyozungumza ni kana kwamba wao walipaswa kumjua. Lakini kwanini walitakiwa kumjua? Je hawa wote walimjua kila mtu mashuhuri jijini dar? Lakini jambo jingine ambalo binafsi silioni kwanini umelifanya kuwa la muhimu sana; kama nyerere alikuwa hajulikani mahali ambapo hakuzaliwa au kuishi ujana ulitarajia ajulikane vipi?
Maana wote hao uliowataja unafikiri walikuwa wanajulikana sehemu nyingine za tanzania? Ukienda tanga tu hapo utakuta kuwa baadhi ya hao uliowataja hawajulikani kabisa wakati huo au hata ukienda songea, au morogoro. Sasa kutokujulikana kwao ni kosa lao, ni jambo baya, au ni kukosa umashuhuri?
Unavyoandika unaashiria (imply) kuwa nyerere kutojulikana kwa hawa basi hakuwa mashuhuri; swali liinaweza kuulizwa kinyume chake je wao walikuwa wanajulikana kwa nyerere kabla hajaja dar-es-salaam? Jibu ni kuwa la hasha! Vinginevyo akiwa makerere angeshawajua na badala yake alikuja kuwasikia tu kutoka kwa watu wengine. Je kwa vile nyerere alikuwa hawajui ina maana hawakuwa maarufu dar?
Hoja hii ya nyerere kutokujulikana kwa baadhi ya wazee - maana ushahidi upo kuwa baadhi yao tayari walimjua kabla ya 1953 haina nguvu na kwa kweli ni mojawapo ya hoja dhaifu. Kutokumjua mtu kabla hujakutana naye si jambo la kujisifia na kujulikana siyo sifa kwani katika maisha watu wanajua na wengine hawajulikani. Kwa mfano, unafikiri wote wote tanzania wanakujua wewe? Na unaweza ukaamini wewe ni maarufu kweli kumbe wanaokujua ni wale tu waliopaswa kukujua. Na hilo ni kweli kwa kila mtu.
Nyerere kutokujulikana dar - kama unavyodai - siyo jambo la fedheha wala la kuonesha kuwa hakuwa maarufu. Inaonesha tu kuwa hawakuwa na nanafasi ya kukuutanishwa na kuthibitisha kuwa nyerere alikuwa ni maarufu kweli ndio maana sykes na kasela bantu wote walijitahidi kumtambulisha nyerere kwa wazee hawa au - unaweza kuwaangalia kwa kona nyingine - ni wazee hawa waliotambulishwa kwa nyerere kwani alikuwa hawajui japo waliamini wao ni maarufu zaidi. Na kuonesha nani alikuwa maarufu baina yao jibu ni jepesi.
Kwanini nasema nyerere alikuwa maarufu zaidi kuliko wazee wa dar ni kwa sababu moja - alikuwa ni maarufu zaidi kwa tanganyika kuliko wazee wa dar. Wao walikuwa maarufu mjini kwao nyerere umaarufu wake ulivuka mipaka ya mji. Na historia imeshuhudia hivyo na ndio maana hata leo ukienda kuwauliza wazee wengine nje ya dar hakuna anayemkumbuka mshume, sheikh ameir na hata kina sykes!
Lakini waulize kama wanamkumbuka nyerere....
Kitu cha ajabu ni hikiNaona mnaumizwa kwa kuambiwa kuwa Nyerere hakuwa anafahamika Dar es Salaam.
Ngoja nikuambie.
Abdu hakuwa anamjua Nyerere kabla ya siku ile alipoletwa kwake na Kasella Bantu.
Ikiwa aliokuwa anajulikana na wenzake wa Makerere bado kwa mji wa Dar es Salaam
Nyerere alikuwa mgeni hajulikani.
Baba yangu alikuwa maarufu sana Dar es Salaam katika circle za vijana wenzake na
kamjua Nyerere nyumbani kwa Abdu Sykes.
Shariff Attas mtu maarufu Dar es Salaam hakuwa anamjua Nyerere hadi alipomuona anakuja
ofisini kwa Abdu Sykes Kariakoo Market.
Mzee Mshume mtu maarufu Dar es Salaam hakumjua Nyerere hadi alipojulishwa na Abdu pale sokoni.
Sheikh Hassan bin Amir hakumjua Nyerere hadi alipopelekwa kwake na Abdu na Dossa.
Sheikh Mohamed Ramia hakuwa anamjua Nyerere hadi alipoletwa kwake na Idd Tosiri na
Idd Faiz Mafongo.
Waliokuwa wanamjua Nyerere ni hao hao jamaa waliotoka pamoja sehemu za bara.
Kwa Dar es Salaam alikuwa ni mgeni.
Kwani cha ajabu nini? Ugeni si kitu cha kukionea aibu.Mengine sina haja ya kujibu.
Kwa maneno yako umesema alikuwa hajulikani katika duru za siasa za Tanganyaika. Hayo ni maneno yako, sasa unasema alikuwa hajulikani Dar es Salaam! Angalia unavyojikanyaga mzee Mohamed, Dar es Salaam siyo Tanganyika hivyo ulipaswa kusema hakujulikana Dar es Salaam. Ulipotaja Tanganyika tu umeondoa maana nzima ya kile ulichokusudia.hapaMohamed: Hiki ni kitu kikinishughulisha sana. Jambo hili likishighulisha sana fikra zangu kwa kujiuliza mbona Kyaruzi anamruka Abdulwahid Sykes katika historia yao ya uongozi wa TAA mwaka wa 1950 na kumwingiza Nyerere ilhali Nyerere wakati ule hakuwa anafahamika na yeyote katika duru za siasa za Tanganyika? Nikawa nashangaa nikijiuliza kwani Dk. Kyaruzi hajui kuwa Nyerere aliingia katika uongozi wa TAA mwaka 1953? Nilikuwa nikijifariji kwa kusema kuwa haya ndiyo matatizo ya historia ya uhuru wa Tanganyika
well said indeed,
ulichokifanya ni kujazia jazia nyama hoja hii ya ndug moh said,ni ukweli kabisa tena ukweli uliotukuka ya kwamba mtu hufahamika zaid pale alipozaliwa na kukulia kwa kias kikubwa,mara nyingi sana huwa hivo,
na ni kweli wengi wao sasa miongoni mwa wazee hapa mjin ukiwauliza kuhusu mshume,sheikh ameiry,bibi titi,kina sykes n.k,bila shaka sio wengi watakaokuambia ya kwamba wanawafaham watu hao japo kuwa ni wazawa hasa wa eneo hilo na washirika wakubwa katika harakati za ukombozi wa nchi hii,
lakini ukiwauliza kuhus julius kambarage utashangaa hakuna atakaelishangaa jina hilo hata kama si mzaliwa pale,na katika harakati nayeye alishiriki kama walivoshiriki wenzake ambao si maarufu kama yeye,ilihali wao ndio waliompokea sehemu hizo na kumjumuisha kwenye harakati za mapambano,,
na ndipo hapo sasa ilipobid watu wazame kwa undani kuelezea kwanini mambo yakawa hivo,kwanini tumefikia hapo?
Sasa wanapojaribu kuelezea uhalisia jins ulivyo tunashangaa wananyooshewa vidole eti ya kwamba wao ni wadini,alaah..!sasa kumbe mkitakaje?
Historia fichwa isifichuliwe??
Ni makosa hayo hayo yaliyopo katika jalada la kitabu chako ukieleza historia ya Tanganyika halafu sasa unatuambia ni historia ya wazee wako wa Kipata na Mchikichi.
Tanganyika is more than Kipata, Mchikichi, New street and Narung'ombe dear Mzee.
MMKama hutaki kuuliza maswali kwanini usiamue kukaa kimya basi ubakia na mawazo yako kichwani? Unapotoa madai na hoja unategemea watu wazime wapokee kama makinda ya kasuku? Unapokataa kujibu maswali ya mambo ambayo wewe mwenyewe umesema unadhihirisha tu kuwa hauna uwezo wa kuyajibu na unaogopa kuyajibu kwani ukiyajibu utaharibu simulizi lako. Hiyo historia ya Kivukoni hadi leo hujaiweka hadharrani lakini unataka watu waamini kuwa ndivyo ilivyo kwa sababu wewe umesema.
Usipotaka kuulizwa maswali usiendelee kutoa madai. Sisi siyo watoto ambao wanaambiwa "baba kasema" na hawaendelei kuuliza. Lakini ukiendelea kutoa madai yasiyo na kichwa wala miguu au ambayo hayana ukweli katika historia tutaendelea kuwaonesha wasomaji kwa njia ya maswali na kuwafungua waelewe udhaifu wa madai yako na waaamue kama unasema kweli au unajaribu kuwachezea akili.
Big Show nitasema kitu kimoja ambacho sipendi sana kutumia; unapokejeli imani za watu unafungulia na wewe imani yako kukejeliwa. Suala la utakatifu ni suala la imani ya Wakatoliki (siyo Wakristu wote) na akiwa Mtakatifu hawi mtakatifu wa Tanzania bali wa Wakatoliki. Hivyo, huna sababu ya kukejeli imani hiyo ya wengine ukidhani kuwa una haki hiyo kwani wenzako nao wakianza kukejeli imani yako unaweza kuja juu na kuanza kulia kuwa unakashfiwa.
Tujadiliane kwa heshima.[/QUOTE
SAWA SAWA,
KUJADILIANA KWA HESHIMA NA KUVUMILIANA NDIO HASA KUTAKOLETA MAELEWANO,NAMIMI NALIAFIKI HILO BILA KIPINGAMIZ CHOCHOTE,NA NAKUHAKIKISHIA,JARIBU KUANGALIA POST ZANGU ZOTE TOKEA NIMEJIUNGA NA JF SIJAWAHI KUIKASHIFU WALA KUIKEJELI IMAN YA MWENZANGU KWA NAMNA YOYOTE ILE,KWA SABABU DINI YANGU YA UISLAM INANIKEMEA KUKEJELI IMAN YA MWENZANGU NA KUNIFUNDISHA KUIHESHIMU IMANI YA MWENZANGU,,
HATUTAKUWA NA TATIZO HATA KIDOGO KAMA TUKISKIA WAKATOLIKI WANAMUITA NYERERE MTAKATIFU KULINGANA NA MIPAKA YA IMANI YAO,HATUTAKUWA NA SHIDA NA HILO HATA KIDOGO,
ILA SASA JULIUS KAMBARAGE AKIJA KWENYE MACHO YETU SISI WATANZANIA KAMA WANANCHI WAKE ALIOWAHI KUTUONGOZA KAMA RAIS WETU HATUWEZ KUMPA CHEO CHA UTAKATIFU,HILO HALIWEZEKANI KWETU,ILA AKIENDA KANISANI NA KWA WAUMIN WENZAKE WAKAAMUA KUMPA STATUS HIYO WALA HAINA SHIDA KWETU,WAMPE VYEO VYOTE VINAVOSTAHILI KULINGANA NA IMAN YAO INAVOWAAMBIA,,
LAKIN JINS YERICKO ALIVOTUMIA HUO UTAKATIFU WAKE HAPA JUKWAANI,ALIKUWA ANATAKA KUIGENERALIZE HOJA HIYO IONEKANE YA KWAMBA KWA MAMBO MENGI MAKUBWA ALIYOYAFANYA KATIKA NCHI HII BASI ANASTAHIKI AVIKWE UTAKATIFU,,THATS WHY TUKAMUULIZA ANAMVIKA UTAKATIFU KWA VIGEZO GANI?HASEMI,HATOI JIBU,,
LAIT ANGEJIBU YA KWAMBA NI KWA IMAN ZAO HUKO KANISANI HOJA ILE INGEKUFA PALE PALE,TENA NATURAL DEATH..
[/b]inaonekana akili yako imekataa kabisa kukubali ukweli wa kihistoria. Nyerere hakushirikishwa na wazee wa dar katika mapambano; alishaanza yeye mwenyewe nje ya dar. Wazee wa dar-es-salaam walimhitaji nyerere zaidi kuliko yeye alivyowahitaji wao. Hakuna kati ya wazee wote wa dar aliyekuwa maarufu tanganyika kuliko nyerere. None. Siyo john rupia, siyo dr. Kyaruzi wala sykes. Nyerere alikuwa maarufu zaidi na siyo maarufu tu alikuwa ameonesha uwezo zaidi wa kupambana na wakoloni kuliko wengine wote waliomtangulia.
hapana; tatizo hawaelezi 'uhalisia' wanaelezea 'uhisia' kwani ili simulizi lao likubaliwe na watu kama wewe inabidi wafute katika historia ukweli wote ili kuupa kiti cha enzi uongo.
MM
Amesema kaandika anavyojua yeye!!
Hana haja yakujibu maswali.
Amekupa maelekezo kuhusu Kivukoni kwanini usichukue muda wewe kutuonyesha walichoandika Kivukoni.
Itakua rahisi wewe kuja na kitabu au facts nyingine zinazopinga kitabu chake itakua rahisi kuelewa sisi wafuatiliaji.
Kama mtu anakuambia 6+9 = 69 ni wewe kumkosoa na kile unachokijua nakuweka ushahidi kwamba 6+9 sio 69