Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar


Kama hujui ndiyo unafahamiswa chukuwa hii...

Kutofanikiwa


Siasa zake za ujamaa zilishindwa baada ya mwaka 1976.
Baada ya kuona kuwa uchumi wa Tanzania hautaweza kusimama kwa siasa za kijamaa na kutoweza kuvumilia kuendesha nchi kwa siasa ambazo yeye hakuwa muumini, Nyerere kwa maamuzi yake mwenyewe aliamua kustaafu nafasi ya uraisi baada ya uchaguzi wa mwaka 1985 na kumwachia usukani kwa Ali Hassan Mwinyi aliyetawala kwa siasa za uchumi wa soko huria.
Katika hali ya kukubali ukweli, Nyerere alitamka katika tafrija ya kumwaga juu ya siasa yake kiuchumi "Nimefeli. Tukubali hivyo."
 
WC,

Weka kejeli zangu kwa Nyerere tuzijadili.
Hii ya kujikweza tuifatutie muda.

Nimekupa yale kukuonyesha kuwa sisi tunayo
ya kueleza katika historia ya nchi hii usijifananishenasi.
Siwezi kujifananisha nawe MDINI wa kiwango hicho. Mimi namtanguliza Mungu sio DINI yangu katika mambo yangu yote. Mungu hana DINI. Tanzania pia haitakuwa na DINI.

Bora hata ungekuwa mwanasayansi ningetamani kujifananisha nawe. Historia hii ulioandika kuna mtu anatamani kujifananisha na wewe!
 

[h=3]Mafanikio[/h]kujenga umoja wa Taifa na utamaduni wa Kiafrika pamoja na lugha ya Kiswahili, kushinda ubaguzi wa rangi, kutetea usalama wa taifa katika vitani dhidi Idi Amin) Kutoa mchango kwa vyama vya ukombozi vya nchi za kusini ya Afrika kama; Zimbabwe {ZANU), Afrika Kusini (ANC na PAC), Namibia (SWAPO), Angola (MPLA) na Msumbiji (Frelimo)

Haya ndiyo mafanikio ya Nyerere.
 

MM,

Ikiwa wewe unaona Nyerere alikuwa maarufu Dar es Salaam hakuna shida.
Tusivutane na jambo dogo kama hilo.

Tuachie kuwa alikuwa mashuhuri na wote akina Shariff Attas, Tatu biti Mzee,
Abdu Sykes, Sheikh Hassan bin Amir na wengine wote wakimjua na hakukuwa
na haja yoyote ya yeye kutambulishwa kwa wanamji.

Na hii inaeleza ule wepesi wa yeye kuasisi TANU na katika miezi 10 tu akenda
UNO, New York.

Huyu ni mwanamji mtu maarufu.

Wasaa, fedha, umaarufu alikuwanao ndiyo maana alipofika Dar tu kaanzisha chama
cha siasa na kapata wanachama wengi.

Ndiyo maana hapakuwa na sababu ya kumtaja Abdu Sykes na nduguze katika historia
ya TANU ya Kivukoni kwa kuwa mambo yote Nyerere kafanya kwa nguvu zake mwenyewe.

Nyerere alikuwa maarufu.
Hakuwa muhitaji kwa yeyote yule katika wenyeji wa Dar es Salaam.
 

Hilo ni moja tu kati ya mengi aliyofeli. Naamini ipo siku utaanzishwa uzi humu wa kuorodhesha hayo.
 

Wewe siyo mdini sababu ni mkiristu wadini uwa waislam peke yao...kwako wewe hakuna jema lolote lilofanywa na Waislam kwanza unawaona waislam hawajasoma wana matatizo wewe na ukiristo wako ndiyo wabora.
 

WC,

Hebu soma hapa.
Hilo somo nasomesha ''daily'':

The second book is by Dr John C. Sivalon, who in his expose, Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985, [1] unmasks a conspiracy in the government to subvert Islam.

Sivalon revealed that the Catholic Church as far back as 1961 was worried by two prospects.

First, was the unity between the Muslim madhheb (sect) of Sunni, Bohora, Ismailia and Ithnasheri in Tanganyika; and the second, was the transfer of the headquarters of the East African Muslim Welfare Society (EAMWS) from Mombasa to Dar es Salaam.

The Church was worried that the resources in the hands of rich Asian Muslim community in East Africa, coupled with the political power of African Muslims, particularly in Tanganyika, would endanger Christian interests in East Africa.

The Church therefore declared Islam as its enemy in the country and plotted to thwart its progress.[2]


[1] John C. Sivalon, Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985, (Ndanda, 1992).

[2] Ibid. p 37.
 
Wewe siyo mdini sababu ni mkiristu wadini uwa waislam peke yao...kwako wewe hakuna jema lolote lilofanywa na Waislam kwanza unawaona waislam hawajasoma wana matatizo wewe na ukiristo wako ndiyo wabora.
Ukristo wangu haunisumbui wala kuwasumbua watu wengine. Wakati wowote nikitaka kuubadili na kuwa Muislam nitafanya hivo. Sijapata tu binti mzuri wa Kimanyema hapo Kariakoo nikaridhika naye! Simthaminishi mtu kwa DINI yake.
 

Du!

Ili Muislam awe Muislam mzuri akubali dhulma hii kwa kuwa ni ya muda mrefu...
na anatibiwa Bugando na kwa kuwa wanatumia ulevi sawa na wewe...

Mke wa Makongoro Muislam kwa hiyo hiyo ni sifa katika Uislam...
Sina hata la kuongeza...

Labda Zomba ataingia humu hizo ni anga zake.
 
Ukristo wangu haunisumbui wala kuwasumbua watu wengine. Wakati wowote nikitaka kuubadili na kuwa Muislam nitafanya hivo. Sijapata tu binti mzuri wa Kimanyema hapo Kariakoo nikaridhika naye! Simthaminishi mtu kwa DINI yake.

Labda angesema mtu mwingine lakini siyo wewe uliojaa kajeli na dhihaka dhidi ya Uislam.
 
mzee wangu Mohamed Said naomba nikuulize swali moja
Majuzi ktk pita pita zangu,maeneo ya mwananyamala kwa mwinjuma ccm,

karibu na msikiti,kuna nyumba moja nje kuna kibao kinaonesha ndipo TANU ilipoanzishwa
vipi habari za hapo zikoje

Nyumba ya Mzee Mwinjuma Mwinyikambi.

Mimi hilo likinishangaza siku zote.
Huyo mzee ni mzee wangu nikimfahamu hata mkewe.
 
yaani nimekufuatilia saa nyingi kwenye post zako sijawahi ona mtu ignorant kama ww wewe umeona mwanasayansi ni mtu wa maana sana lakini sio makosa yako kosa lako uko kwenye dini ya urembo
 

wamekosa maswali ya kuuliza inabidi warudie waliyokwisha uliza.

tulieni na msome kwa utufu.
 
ndugu zangu hii ni nin sasa?
Hizi nazo ni hoja tena?
Unaturudisha kwenye hoja ya serikali ya kikwete hali ya kuwa unafaham fika hoja kuu ya mjadala huu hii ni haki?
Haipendezi namna hii,tuheshimiane.

wameishiwa maswali.

chezea mzee mohamed weweeee
 
Mohamed katika post moja umesema waislam walianza kujenga mashule chini ya EAMWS. Ndipo njama za kuhujumu zikaanza.
Mimi huwa sikuelewi pale ambapo unaongelea general na hutaki kutoa specifics

Hebu tuambie shule gani na ngapi zilijengwa kati ya 1961-1968 ili tuone speed hiyo kwa ku-extrapolate hadi 2013.

Pili, tupe ushahidi wa kimazingira au matokeo uliokuwepo kuhusu kanisa kushiriki katika kuua EMWS. Nashangazwa sana unarudia jambo hili lakini ukitakiwa ufafanue hutaki.

Mohamed, Kenya kule Mombasa hali haina tofauti na Kilwa kule Tanzania.
Swali linabaki, je, na Mombasa nako Nyerere na kanisa walihusika?

Moani:
Mohamed, hivi unajua kuna shule zilikuwa zinatolewa nafasi za wananfunzi kwa kanda na katika shule hizo wanafunzi walishindwa kupatikana. I mean hata kuchaguliwa na si kufaulu bado ilikuwa taabu.

Mohamed, hivi mwaka 1966 Kulikuwa na mwamko gani wa elimu kule Kilwa kiasi cha kuamini kuwa hali ingekuwa tofauti na sasa ambako shule zinafungwa kwa kukosa wanafunzi.

Waambie watu ukweli wa tatizo usitafute sababu, miaka mingine 40 tangu 1968 itakwisha ukiwapa watu stori zisizowasaidia.
Vipi ungewaambia kuhusu madhara ya shule kufungwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…