Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,005
- 20,425
- Thread starter
- #421
kwani amekulazimisha ukisome??toa hoja wapi kuna upotoshaji kwenye maandiko yake??
Hapa mchochezi na mwenye choko choko unaonekana ni wewe,,hueleweki hasa unataka nini,au unaenjoy kuona huu mjadala upo unaendelea,unachangiwa na wengi,muanzilishaji ni wewe n,k.,hueleweki ni hasa unataka,unatuchosha yericko,,
what the hell are you talking about??actions are by their intentions,so whats your intention mr??
Mantiki ya mjadala huu ni kuchambue kwa hoja za kubeza kile kilichopotoshwa na mzee Mohamed
