Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar


Mantiki ya mjadala huu ni kuchambue kwa hoja za kubeza kile kilichopotoshwa na mzee Mohamed
 
Porojo za wazee wa Gerezani bado zinaendelea, duh...! Hakuna adui wa maendeleo kama porojo...kama kawaida kuna watu porojo ni jadi yao! Wanakula porojo, wanavaa porojo na wanalala porojo, kwao porojo na ukweli ni kitu kimoja.

Inaelekea hizi ''porojo'' ni darsa tosha maana napokea simu nyingi za kunipongeza. Nakuwekea hapa ''porojo'' kutoka mdomoni kwake Abdulwahid alipozungumza na Historical Association of Tanzania:

Abdulwahid alipobaini kuwa historia ya Tanganyika inaweza kuwa chanzo cha husda na hasama kati yake na Nyerere na viongozi wengine wa TANU, akaamua kutosema chochote kuhusu hilo (mchango wake katika kuasisi TANU) ingawa kabla hajafa alikubali mwaliko wa Chama Cha Historia Cha Tanzania (Historical Association of Tanzania) (HAT).

Imeshindikana kujua Abdulwahid alizungumza kuhusu nini katika mwaliko ule, lakini inasemekana moja ya maswali aliyoulizwa ilikuwa kuwa kama si kweli Nyerere ndiye aliyekipa chama uhai kuanzia mwaka wa 1954.

Katika kujibu swali hili Abdulwahid alilirudisha swali lile kwa wasikilizaji wake kwa kutoa mfano wa John Glenn, Mmarekani wa kwanza kwenda angani kuzunguka dunia.

Abdulwahid aliwauliza wasikilizaji wake, ''Nani apewe sifa, wanasayansi wa Kimarekani waliotengeneza roketi ile au John Glenn aliyekuwa rubani wa chombo?''

(Kutoka ''Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes...''
 
Kumekuwa na waislam watatu waliongoza wizara hii. Juma Kapuya, Jumanne Maghembe na sasa Shukuru Kawambwa. Taarifa zako zinasemaje, na hawa wanapingwa na kanisa? Ni kwanini hawajagundua uoza aliogundua malima wakati zama hizi transparency ni kubwa na ni rahisi kuibua uoza kwenye wizara yeyote?
 
Porojo za wazee wa Gerezani bado zinaendelea, duh...! Hakuna adui wa maendeleo kama porojo...kama kawaida kuna watu porojo ni jadi yao! Wanakula porojo, wanavaa porojo na wanalala porojo, kwao porojo na ukweli ni kitu kimoja.
Mkuu, jamaa wako addicted na hizi porojo zinazowafanya wawe kama mazezeta yanayoambukizana uzezeta...sijaona hata sehemu moja mohamed said akiwahimiza waislam kusoma kwa bidii zaidi ya kulalamika...huyu ndiyo role model wao...full kulalamika/uzezeta...
 
Ukiondoa udini ambao in my view,Mohamed Said kautumia visivyo ku prop up sales za kitabu-ukweli usiopingika jamaa kashusha nondo nzito sana katika hiki kitabu
 

Unaandika umekasirika.

Mimi ni mashuhuri na naalikwa katika mahafali ya shule nyingi za Kiislam.
Huwezi kualikwa kama hupendi elimu.

Katika kitabu changu kuna habari muhimu kuhusu elimu na matatizo yaliyowakuta
Waislam katika EAMWS waliotaka kujenga chuo kikuu mwaka 1968.

Kisa hiki ni maarufu sana.

Hatulalamiki tunawatayarisha na kuwajulisha Waislam wajue historia yao na dhulma
wanayofanyiwa.

Matokeo ya juhudi hizi ndiyo haya unayoona leo.
Waislam wanadai haki zao.
 
Ukiondoa udini ambao in my view,Mohamed Said kautumia visivyo ku prop up sales za kitabu-ukweli usiopingika jamaa kashusha nondo nzito sana katika hiki kitabu
View attachment 79422
Nakushukuru kwa kuweka hapa kitabu.

Nakulaumu kwa kusema natafuta mauzo ya kitabu changu.
Hapana.

Kilichonisukuma ilikuwa kutoa jibu tu kwa kile kitabu kilichoandikwa
na Chuo Cha Kivukoni.
 

Itabidi ufungue uzi mpya tuzungumze kila kitu katika hiyo Wizara na mambo yake.
Ila kwa sasa ikutoshe tu kuwa Insha Allah hivi karibuni zitasikika taarifa za NECTA.

Usidhani ni maskhara.
Mengine hata mimi sijaweza kuamini.

Hawa jamaa wataalamu kwelikweli.
Wanajua kuwazunguka Waislam.

Sasa hivi wanashughulika na shule za kata.
Maana zimejaza Waislam.

Kuwa na subra.
 
Andrew,where arth thou,our hero father of the nation is being hanged out to dry-give us the other side of the coin-give us the real Nyerere
 
Last edited by a moderator:
Shule za kata hizi zenye walimu wawili wanafeli waislam tu? Dah...
 

you have worn the hearts of muslims especially those who cannot think out of the religious box,so brother u have the right to get a multitude of invitations to inspire the muslim congregations. But one thing i can't hestate to air it to the great thinkers' theatre is that mohamed said umetulia mzee hauna papara hilo silifichi
 

Naona umeishiwa hoja sasa umejikita kwenye viroja.

Leo siku ya tatu nakuona upo kwenye huu uzi ambayo unasema porojo na mazezeta.

Namshukuru sana Mohamed Said, kwa kutoa darsa muruwa. Kuna watu wanamkejeli huku wanajifunza kwake.

Ukiona mtu anaponda kitu halafu bado anakifuatilia kwa umakini wa hali ya juu hujue kavutiwa na nondo.
 
Last edited by a moderator:

huyu naye ni mchochezi mkubwa wa chuki za kidini

watu hawa ni hatari sana kwa taifa letu ... warudishwe kwao
 
Last edited by a moderator:
Hakika Mohamed Said, umetushibisha elimu umeweka mambo hadhwarani.

Nimejifunza mengi sana kutoka kwako jinsi ya kufanya munakasha kiungwana.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…