Boko haram
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 3,256
- 1,231
Tatizo lako hutumii akili zako, upo hapa kulamba mabuti ya mzee Mohamedi Saidi, ungekua unajitegeemea kwa akili zako usingehangaika kujilizaliza kwa MODS, ebu jikumbushe upumbavu uliouandika hapa, mtoto unayejinasibu kupata mafunzo na maadili ya kiislam;
Huna unachokijua zaidi ya kujinafikisha kwa mzee Mohamed Saidi. Mijitu kama ninyi ni hatari sana, kwani hamjitambui kwamba ni mijinga na minafiki na kwasababu humjui kuwa hamjui kutwa mnashinda hapa mkipiga mayowe ya kipumbavu kushangilia upotoshaji wa mzee wenu. Aibu.
Naona umezidi ngoja nikueleze kisa kimoja kilichonifanya nikufananishe na ABUU JAHAL huyu bwana skumoja walikuwawanapanga njama ya kumuua mtume muhamad (s.a.w) akawa anawaambia makafiri wenzake tuongeeni taratibu mungu wa muhamad asisikie mipango yetu kabla ya hapo makafiri walikuwa wanamuita ABUL HAKAM(BABA WA HEKIMA) mtume kuanzia sku hiyo akamuita ABUU JAHAL na wewe nilikua nakuona unaakili sana sasa hivi nakuona ni IGNORANT